Kwa nini wanachama wa vyama vya siasa Marekani hawasemi Republicans/Democrats oyeee?

Kwa nini wanachama wa vyama vya siasa Marekani hawasemi Republicans/Democrats oyeee?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Nimeangalia conventions mbili za vyama vya siasa Marekani na pia huwa naangalia mara kadhaa mikutano yao ya kisiasa, kinachonishangaza ni kama huwa hakuna kauli za hamasa za ki-vyama kwenye mikutano ya chama au kampeni. Amsha amsha za vyama vyote huwa wanaimba tu USA USA USA.

Hakuna mambo ya protocol imezingatiwa, mtu akipanda jukwaani anaenda moja kwa moja kwenye mada.

Hawasali, hawafungui mkutano kwa maombi au kuombewa. Wanaimba wimbo wa taifa tu.

Hakuna nyimbo za kuwasfia wagombea na vyama.

Hawajali sana rangi za vyama na hakuna mavazi ya chama. Kwenye mkutano wa Democrats rangi nyekundu ipo ya kutosha, kwenye mkutano wa Republicans blue ipo ya kutosha.

Muda mwingi wanautumia zaidi kwa watu kuzungumza speech badala ya burudani na kuhamasisha.

Tumechelewa sana.
 
☝🏿Hamia huko.

Tumechelewa nini?

=========
Hakuna nyimbo za kuwasfia wagombea na vyama
Yoda. Yoda Yoda. Kid Rock alikuwa akiimba nini katika republican convention?

Hawasali, hawafungui mkutano kwa maombi au kuombewa. Wanaimba wimbo wa taifa tu.
Kwa sababu hawaonyeshi kwenye T.V tu. Ila maombi huwa yanafanyika. Na wakati yanafanyika, kwenye T.V wanaonyesha mahojiano na chambuzi za wana siasa na waandishi wa habari.
(Nimetoka huko juzi kati)

Hatahivyo huu ulimbukeni wa kufikiria kwamba Maendeleo ya Siasa ama yeyote yale Tanzania yataletwa na Utamaduni na mila za nje-Unakosea sana, tena sana. Itoshe ishathibitishwa, haiwezekani.

Wacha kushambulia Utamaduni wetu na Mila zetu.
 
Nimeangalia conventions mbili za vyama vya siasa Marekani na pia huwa naangalia mara kadhaa mikutano yao ya kisiasa, kinachonishangaza ni kama huwa hakuna kauli za hamasa za ki-vyama kwenye mikutano ya chama au kampeni. Amsha amsha za vyama vyote huwa wanaimba tu USA USA USA...

Hakuna mambo ya protocol imezingatiwa, mtu akipanda jukwaani anaenda moja kwa moja kwenye mada.

Hawasali, hawafungui mkutano kwa maombi au kuombewa. Wanaimba wimbo wa taifa tu.

Hakuna nyimbo za kuwasfia wagombea na vyama

Hawajali sana rangi za vyama na hakuna mavazi ya chama. Kwenye mkutano wa Democrats rangi nyekundu ipo ya kutosha, kwenye mkutano wa Republicans blue ipo ya kutosha.

Muda mwingi wanautumia zaidi katika watu kuzungumza speech badala ya burudani na kuhamasisha.

Tumechelewa sana.
Swali la kijinga sana,unaifananishaje Marekani na Tanzania?

Uwezo wako wa kurizoni ni hovyo sana,


MODERATORS futeni huu uzi
 
Nimeangalia conventions mbili za vyama vya siasa Marekani na pia huwa naangalia mara kadhaa mikutano yao ya kisiasa, kinachonishangaza ni kama huwa hakuna kauli za hamasa za ki-vyama kwenye mikutano ya chama au kampeni. Amsha amsha za vyama vyote huwa wanaimba tu USA USA USA...

Hakuna mambo ya protocol imezingatiwa, mtu akipanda jukwaani anaenda moja kwa moja kwenye mada.

Hawasali, hawafungui mkutano kwa maombi au kuombewa. Wanaimba wimbo wa taifa tu.

Hakuna nyimbo za kuwasfia wagombea na vyama

Hawajali sana rangi za vyama na hakuna mavazi ya chama. Kwenye mkutano wa Democrats rangi nyekundu ipo ya kutosha, kwenye mkutano wa Republicans blue ipo ya kutosha.

Muda mwingi wanautumia zaidi katika watu kuzungumza speech badala ya burudani na kuhamasisha.

Tumechelewa sana.
Historia za siasa za kimarekani ni tofauti na hizi za kwetu. Marekani limekuwa ni taifa huru tangu mwaka 1776 karibu miaka 250 iliyopita Tanzania tuna miaka 64. Ni vitu viwili tofauti.
 
Historia za siasa za kimarekani ni tofauti na hizi za kwetu. Marekani limekuwa ni taifa huru tangu mwaka 1776 karibu miaka 250 iliyopita Tanzania tuna miaka 64. Ni vitu viwili tofauti.
Inawezekana huko zamani wakati wanaanza kama taifa walikuwa kama sisi wakati huu??
 
Nimeangalia conventions mbili za vyama vya siasa Marekani na pia huwa naangalia mara kadhaa mikutano yao ya kisiasa, kinachonishangaza ni kama huwa hakuna kauli za hamasa za ki-vyama kwenye mikutano ya chama au kampeni. Amsha amsha za vyama vyote huwa wanaimba tu USA USA USA...

Hakuna mambo ya protocol imezingatiwa, mtu akipanda jukwaani anaenda moja kwa moja kwenye mada.

Hawasali, hawafungui mkutano kwa maombi au kuombewa. Wanaimba wimbo wa taifa tu.

Hakuna nyimbo za kuwasfia wagombea na vyama

Hawajali sana rangi za vyama na hakuna mavazi ya chama. Kwenye mkutano wa Democrats rangi nyekundu ipo ya kutosha, kwenye mkutano wa Republicans blue ipo ya kutosha.

Muda mwingi wanautumia zaidi katika watu kuzungumza speech badala ya burudani na kuhamasisha.

Tumechelewa sana.
Wale hawana kitu kinaitwa kujipendekeza wala kulamba mtu miguu.

Wazungu wanaamini katika uwezo binafisi katika kutoboa, Sisi tunaamini kwenye kujikomba komba kujipendekeza na kulambana miguu, hio ndio tofauti.

Saaa kwenye kulambana miguu ndiko kuna kuja na milolongo ya kusifiana,
 
Inawezekana huko zamani wakati wanaanza kama taifa walikuwa kama sisi wakati huu??
Hawajiwahi kuwa na ujinga huo kama wa huku, huku ni kwamba wamejaa wajinga. sasa hio stage hawajaipitia kumbuka hawa wana akili tangu Taifa lao linaanzishwa,
 
Wenzetu hawana cha oyieeee na mambo ya zungusha ngumi, wenzetu wanaangalia unafanya nini kipi?, wapi?, kinaonekana, au sounds, kama ni mtu wa sounds wanakubwaga tu!
 
Nimeangalia conventions mbili za vyama vya siasa Marekani na pia huwa naangalia mara kadhaa mikutano yao ya kisiasa, kinachonishangaza ni kama huwa hakuna kauli za hamasa za ki-vyama kwenye mikutano ya chama au kampeni. Amsha amsha za vyama vyote huwa wanaimba tu USA USA USA...

Hakuna mambo ya protocol imezingatiwa, mtu akipanda jukwaani anaenda moja kwa moja kwenye mada.

Hawasali, hawafungui mkutano kwa maombi au kuombewa. Wanaimba wimbo wa taifa tu.

Hakuna nyimbo za kuwasfia wagombea na vyama

Hawajali sana rangi za vyama na hakuna mavazi ya chama. Kwenye mkutano wa Democrats rangi nyekundu ipo ya kutosha, kwenye mkutano wa Republicans blue ipo ya kutosha.

Muda mwingi wanautumia zaidi kwa watu kuzungumza speech badala ya burudani na kuhamasisha.

Tumechelewa sana.
Kwamba kitu ile kiwe bora ni lazima kifanane na Marekani au Ulaya.??? Kila jamii ina namna yake. Mjifunze basi kutofautisha. Hata kwenye familia kila familia ina namna yake ya kuishi.
 
Waafrica ni manyani tuliochangamka, bado tunapitia mchakato wa kuwa binadamu.
Una hasira sana.
Kwi kwi kwi.

Inajulikana duniani kote kuwa nyani au manyani ndio wenye maarifa makubwa. Usha wahi kujiuliza kwanini wanatumia nyani kufanya utafiti?

Kama sio manyani leo wazungu wote wangekuwa wamekwisha na Visonono, Gonorea n.k Kwi kwi kwi
 
☝🏿Hamia huko.

Tumechelewa nini?

=========

Yoda. Yoda Yoda. Kid Rock alikuwa akiimba nini katika republican convention?


Kwa sababu hawaonyeshi kwenye T.V tu. Ila maombi huwa yanafanyika. Na wakati yanafanyika, kwenye T.V wanaonyesha mahojiano na chambuzi za wana siasa na waandishi wa habari.
(Nimetoka huko juzi kati)

Hatahivyo huu ulimbukeni wa kufikiria kwamba Maendeleo ya Siasa ama yeyote yale Tanzania yataletwa na Utamaduni na mila za nje-Unakosea sana, tena sana. Itoshe ishathibitishwa, haiwezekani.

Wacha kushambulia Utamaduni wetu na Mila zetu.
Unaujua utamaduni wetu na mila zetu au una ropoka tu.
 
Kwamba kitu ile kiwe bora ni lazima kifanane na Marekani au Ulaya.??? Kila jamii ina namna yake. Mjifunze basi kutofautisha. Hata kwenye familia kila familia ina namna yake ya kuishi.
Huyu yoda na genge lake naweza kusema ni kama magaidi wengine wa Mtandaoni. Yupo hapa kutukuza Ukuu wa wazungu tu haladu anajinasibu kuwa yeye ni Mtanzania🙌🏾
 
Republican wanatumia "GOP GOP"( grad old part)
 
People's......Power

Ccm hoyeeeeee.....hoyeeeeee

Mheshimiwa mwenyekiti wa chama cha mapinduzi, mheshimiwa mama yetu daktari.......
Mheshimiwa makamu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi, mheshimiwa balozi daktari........
Mheshimiwa...........

It's stupid, boring and tiresome.
 
CCM hawapo marekan ndio maana huo ujinga haupo uko ,ila naimani CCM ingekuwepo marekan wangeimba tu maana CCM akili zao wanazijua wao .

Km taifa tunasafari ndefu sanaa
 
Hata kwenye familia kila familia ina namna yake ya kuishi.
Ukiulizwa na mtoto wako kwa nini kila siku wanakula dagaa na hawali kuku kama familia nyingine inabidi uwe na majibu ya kueleweka sio huo upupu kusema kila familia ina namna yake ya kuishi, halafu sisi sio familia ni taifa.
 
Nimeangalia conventions mbili za vyama vya siasa Marekani na pia huwa naangalia mara kadhaa mikutano yao ya kisiasa, kinachonishangaza ni kama huwa hakuna kauli za hamasa za ki-vyama kwenye mikutano ya chama au kampeni. Amsha amsha za vyama vyote huwa wanaimba tu USA USA USA...

Hakuna mambo ya protocol imezingatiwa, mtu akipanda jukwaani anaenda moja kwa moja kwenye mada.

Hawasali, hawafungui mkutano kwa maombi au kuombewa. Wanaimba wimbo wa taifa tu.

Hakuna nyimbo za kuwasfia wagombea na vyama

Hawajali sana rangi za vyama na hakuna mavazi ya chama. Kwenye mkutano wa Democrats rangi nyekundu ipo ya kutosha, kwenye mkutano wa Republicans blue ipo ya kutosha.

Muda mwingi wanautumia zaidi kwa watu kuzungumza speech badala ya burudani na kuhamasisha.

Tumechelewa sana.
Nembo ya Republican
IMG_2652.jpeg


Nembo ya Democrat
IMG_2654.jpeg


Nembo za Vyama
IMG_2655.jpeg


Halafu kuna hii symbol ya Uncle Sam. Hii ina represent US Patriotism. Kwenye jambo lenye maslahi ya taifa likiganywa huku likiambatanishwa hiyo symbol, hapo wamatekani hawachomoi, lazima waungani, na hiyo symbol hilo pose ni ujumbe na order inauosema “I want You”
IMG_2657.jpeg
 
Back
Top Bottom