Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Wadhani yule dogo alikurupuka tu na kufanya mapinduzi?Sasa wanalialia mtandaoni sie raia tufanyeje,tuwasaidie vipi?
They should man up,grow a spine,and conduct a coup d'etat!!wamchomoe tu Ikulu!!,kama Wana hasira!!,
Tatizo lao wengi ni wanajeshi jina tu,waliingizwa jeshini na mjomba/shangazi kupata ajira tu!!
Vijana wadogo wa Afrika magharibi Tena wenye vyeo vya chini,wanapindua nchi!,wa huku kwetu Tena mageneral wanawaza kugombea uenyekiti wa ccm wakishastaafu!!,akili zao haziwazi nje ya ccm!!!
Watanzania wengi ni kama wale wanawake ambao usipowapiga wanaona huwapendi.Hivi huyu JPM mbona Mambo yake yanaibuka sana humu Jf,hakuna siku unaweza pita humu ukakosa Uzi mpya unaomuhusu huyu shujaa aliyekwisha Lala na Cha kuhuzunisha hawezi kuamka walau kujibu Tuhuma zake au Pongezi zake.
Mnatia hofu sana Mama huko IKULU...RIP JPM.
Wewe siburi sheria yenu ya upinde wa mvua ipite mfanye mambo yenu kwa hili tuache plzWatanzania wengi ni kama wale wanawake ambao usipowapiga wanaona huwapendi.
Sasa bwana wao aliyekuwa anawapigapiga na kuwatukana tukana amekufa wanammiss sana.
Ni matatizo ya kisaikolojia kama Stockholm Syndrome.
Duuh wanajesh gan tena? Yaan mim hapa ambaye ni mjeda tena meja general mstahiki igp siwezi kulilia mfu kamweHa ha ha ha, mkuu Magufuli alikuwa mtu makini saana, itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu kama huyo tena... miaka mingi sana nasema
Dr restart..Uko wap umuhim wa videos, picha?Amani iwe nanyi.
Mimi ni mmoja wa watumiaji wa mitandao ya kijamii, specifically Whatsapp. Katika matumizi hayo, napitia sana Status za marafiki pamoja na jamaa zangu.
Ninao jamaa ambao nawafahamu wanafanya kazi katika idara na majeshi husika. Japo hawapost mara nyingi, ila wanapopost huwa wanamweka Magufuli katika kurasa zao hizo, ikiambatana na caption mbakimbali kama Mwamba, emoji za machozi, nk
Ukifatilia trend, hata hapo majuzi wakati wa Sikukuu ya Noeli, video ya Magufuli ndiyo iliyotrend zaidi ya video ya Mh Rais Samia. Video ile ilisambazwa kwa wingi na sehemu kubwa ya Watumishi majeshi tajwa.
Watu hao katika post zao tisa kwa wastani, basi Mh Samia atapostiwa mara moja pekee au asipostiwe kabisa.
Sina shaka na kuwaamulia watu hao nini cha kupost, ila nina hamu kufahamu nini haswa kinawafanya wamkumbuke Rais Magufuli zaidi ya Mh Samia?
Katika kuwadodosa, wanasema wazi Magufuli aliboresha maisha yao na kuwapa meno kwa kiasi kikubwa..
Rais Samia kwa upande mwingine anaonekana kuwabana na kuwarudisha katika mstari wa kusimamia haki na kuwalinda Raia.
Je,nini haswa kinawafanya Wamkumbuke Rais Magufuli kuliko Amri Jeshi Mkuu wa sasa?
Kuna siri nyuma ya pazia ambayo hatuifahamu?
Huna hoja, unaleta viroja vya ad hominem.Wewe siburi sheria yenu ya upinde wa mvua ipite mfanye mambo yenu kwa hili tuache plz
Unaweza sana kuchambua jambo mkuu,yaani huku usione mtu anacheo kikubwa ukadhani yaliyomo yamo ,niujinga mtupu!!!Sasa wanalialia mtandaoni sie raia tufanyeje,tuwasaidie vipi?
They should man up,grow a spine,and conduct a coup d'etat!!wamchomoe tu Ikulu!!,kama Wana hasira!!,
Tatizo lao wengi ni wanajeshi jina tu,waliingizwa jeshini na mjomba/shangazi kupata ajira tu!!
Vijana wadogo wa Afrika magharibi Tena wenye vyeo vya chini,wanapindua nchi!,wa huku kwetu Tena mageneral wanawaza kugombea uenyekiti wa ccm wakishastaafu!!,akili zao haziwazi nje ya ccm!!!
Hicho propaganda zakoNi kweli itachukua muda mrefu kupata mtu kama Magufuli ambaye alikuwa mwongo, mwizi na muuaji wa wakosoaji.
Una ushahidi huoSaa nane alimuua kwa mkono wake
Nchi hii kuna wapinzani au wafanyabiashara wa siasa wanajitafutia kipato kwa njia isiyohalali na halali..Magufuli aliwawezesha kupiga na kutesa wapinzani na hivyo wakajiona wana nguvu.
..ukiwauliza kama ktk kipindi cha Magufuli walianza ujenzi, walianzisha mradi, walinunua baiskeli au pikipiki, sidhani kama utapata majibu yenye kutia moyo.
..Ccm ndio kuna mpaka magenge ya wauaji.Nchi hii kuna wapinzani au wafanyabiashara wa siasa wanajitafutia kipato kwa njia isiyohalali na halali
My friend, Mungu anaipenda Tanzania. Tusubiri tuone Miujiza ya Mungu. AmenHa ha ha ha, mkuu Magufuli alikuwa mtu makini saana, itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu kama huyo tena... miaka mingi sana nasema