Kwa nini Wanajeshi, polisi, magereza na Usalama wa Taifa bado wanamlilia Rais Magufuli?

Kwa nini Wanajeshi, polisi, magereza na Usalama wa Taifa bado wanamlilia Rais Magufuli?

Wanao mlilia walikuwa sehemu ya akina Sabaya na makonda ...majizi yoote ndo yanamlilia bila kujali yalikuwa TISS au JWTZ
 
Hiyo takataka imezikwa Chato inaoza huko, hakuna mtu mwenye akili anataka, labda nyinyi wajinga tu.
Hata JMP akitukanwa kwa namna gani yoyote ile hawezi kujibu Wala kujitetea kwa sababu alishalala milele. Muacheni mzee wa watu apumzike kwa amani. Mtoa hukumu n Mungu na si mwanadamu awaye yote.
 
Hata JMP akitukanwa kwa namna gani yoyote ile hawezi kujibu Wala kujitetea kwa sababu alishalala milele. Muacheni mzee wa watu apumzike kwa amani. Mtoa hukumu n Mungu na si mwanadamu awaye yote.
Na Mungu lazima amuadhibu sana kwa kuwaua akina Ben Saanane, Azory na Lwajabe.

Na ukome kusema apumzike kwa amani, hapumziki huyu pimbi kamwe ni moto tu
 
Amani iwe nanyi.

Mimi ni mmoja wa watumiaji wa mitandao ya kijamii, specifically Whatsapp. Katika matumizi hayo, napitia sana Status za marafiki pamoja na jamaa zangu.

Ninao jamaa ambao nawafahamu wanafanya kazi katika idara na majeshi husika. Japo hawapost mara nyingi, ila wanapopost huwa wanamweka Magufuli katika kurasa zao hizo, ikiambatana na caption mbakimbali kama Mwamba, emoji za machozi, nk

Ukifatilia trend, hata hapo majuzi wakati wa Sikukuu ya Noeli, video ya Magufuli ndiyo iliyotrend zaidi ya video ya Mh Rais Samia. Video ile ilisambazwa kwa wingi na sehemu kubwa ya Watumishi majeshi tajwa.

Watu hao katika post zao tisa kwa wastani, basi Mh Samia atapostiwa mara moja pekee au asipostiwe kabisa.

Sina shaka na kuwaamulia watu hao nini cha kupost, ila nina hamu kufahamu nini haswa kinawafanya wamkumbuke Rais Magufuli zaidi ya Mh Samia?

Katika kuwadodosa, wanasema wazi Magufuli aliboresha maisha yao na kuwapa meno kwa kiasi kikubwa..

Rais Samia kwa upande mwingine anaonekana kuwabana na kuwarudisha katika mstari wa kusimamia haki na kuwalinda Raia.

Je,nini haswa kinawafanya Wamkumbuke Rais Magufuli kuliko Amri Jeshi Mkuu wa sasa?

Kuna siri nyuma ya pazia ambayo hatuifahamu?
Kwa sababu aliwaruhusu wale rushwa akaiita hela ya kupiga viatu brashi.
 
Hao askari watakuwa ni wapumbavu sana kama kweli wapo kuweza kumlilia mtu aliyekufa na kuzikwa miaka 2 iliyopita. Kimsingi ni majuha
kwa nn unasema majuha wakati kuna wengine waligomea ruzuku kwa sababu hawakuutambua uchaguzi wa 2020 lkn leo wamechukua.hapo juha ni nani!
 
kwa nn unasema majuha wakati kuna wengine waligomea ruzuku kwa sababu hawakuutambua uchaguzi wa 2020 lkn leo wamechukua.hapo juha ni nani!
Juha ni yule shetani Magufuli aliyevuruga uchaguzi na kuiba kura!
 
Sababu ni hii hapa😁👇
16409521842520.jpg
 
 
kwa nn unasema majuha wakati kuna wengine waligomea ruzuku kwa sababu hawakuutambua uchaguzi wa 2020 lkn leo wamechukua.hapo juha ni nani!
Ruzuku ni fedha zitokanazo na kodi ya Watanzania. Hakuna uhusiano kati ya wizi wa kura za 2020 na kupokea ruzuku. Walisusia mwanzoni ili iwe kigezo cha kupeleka ujumbe kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki.

Wameanza kupokea kama sehemu ya maridhiano. Maridhiano ni 2-way traffic au ni give and take. Hakuna principle ya winner takes all.
 
Back
Top Bottom