Geofre Maseta
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 881
- 1,632
Wanao mlilia walikuwa sehemu ya akina Sabaya na makonda ...majizi yoote ndo yanamlilia bila kujali yalikuwa TISS au JWTZ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata JMP akitukanwa kwa namna gani yoyote ile hawezi kujibu Wala kujitetea kwa sababu alishalala milele. Muacheni mzee wa watu apumzike kwa amani. Mtoa hukumu n Mungu na si mwanadamu awaye yote.Hiyo takataka imezikwa Chato inaoza huko, hakuna mtu mwenye akili anataka, labda nyinyi wajinga tu.
Lakini hili Liwe fundisho. Fanya mema duniani ilin usemee vizuri kama nyerere na mkapaHata JMP akitukanwa kwa namna gani yoyote ile hawezi kujibu Wala kujitetea kwa sababu alishalala milele. Muacheni mzee wa watu apumzike kwa amani. Mtoa hukumu n Mungu na si mwanadamu awaye yote.
Na Mungu lazima amuadhibu sana kwa kuwaua akina Ben Saanane, Azory na Lwajabe.Hata JMP akitukanwa kwa namna gani yoyote ile hawezi kujibu Wala kujitetea kwa sababu alishalala milele. Muacheni mzee wa watu apumzike kwa amani. Mtoa hukumu n Mungu na si mwanadamu awaye yote.
Kwa sababu aliwaruhusu wale rushwa akaiita hela ya kupiga viatu brashi.Amani iwe nanyi.
Mimi ni mmoja wa watumiaji wa mitandao ya kijamii, specifically Whatsapp. Katika matumizi hayo, napitia sana Status za marafiki pamoja na jamaa zangu.
Ninao jamaa ambao nawafahamu wanafanya kazi katika idara na majeshi husika. Japo hawapost mara nyingi, ila wanapopost huwa wanamweka Magufuli katika kurasa zao hizo, ikiambatana na caption mbakimbali kama Mwamba, emoji za machozi, nk
Ukifatilia trend, hata hapo majuzi wakati wa Sikukuu ya Noeli, video ya Magufuli ndiyo iliyotrend zaidi ya video ya Mh Rais Samia. Video ile ilisambazwa kwa wingi na sehemu kubwa ya Watumishi majeshi tajwa.
Watu hao katika post zao tisa kwa wastani, basi Mh Samia atapostiwa mara moja pekee au asipostiwe kabisa.
Sina shaka na kuwaamulia watu hao nini cha kupost, ila nina hamu kufahamu nini haswa kinawafanya wamkumbuke Rais Magufuli zaidi ya Mh Samia?
Katika kuwadodosa, wanasema wazi Magufuli aliboresha maisha yao na kuwapa meno kwa kiasi kikubwa..
Rais Samia kwa upande mwingine anaonekana kuwabana na kuwarudisha katika mstari wa kusimamia haki na kuwalinda Raia.
Je,nini haswa kinawafanya Wamkumbuke Rais Magufuli kuliko Amri Jeshi Mkuu wa sasa?
Kuna siri nyuma ya pazia ambayo hatuifahamu?
Muwe namtutajia na waliyo peponi ili tujifunze pia.Na Mungu lazima amuadhibu sana kwa kuwaua akina Ben Saanane, Azory na Lwajabe.
Na ukome kusema apumzike kwa amani, hapumziki huyu pimbi kamwe ni moto tu
Hao askari watakuwa ni wapumbavu sana kama kweli wapo kuweza kumlilia mtu aliyekufa na kuzikwa miaka 2 iliyopita. Kimsingi ni majuha
kwa nn unasema majuha wakati kuna wengine waligomea ruzuku kwa sababu hawakuutambua uchaguzi wa 2020 lkn leo wamechukua.hapo juha ni nani!Hao askari watakuwa ni wapumbavu sana kama kweli wapo kuweza kumlilia mtu aliyekufa na kuzikwa miaka 2 iliyopita. Kimsingi ni majuha
Juha ni yule shetani Magufuli aliyevuruga uchaguzi na kuiba kura!kwa nn unasema majuha wakati kuna wengine waligomea ruzuku kwa sababu hawakuutambua uchaguzi wa 2020 lkn leo wamechukua.hapo juha ni nani!
Na mhuni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni kweli itachukua muda mrefu kupata mtu kama Magufuli ambaye alikuwa mwongo, mwizi na muuaji wa wakosoaji.
100%✓kweli.karibu bangwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Juha ni yule shetani Magufuli aliyevuruga uchaguzi na kuiba kura!
😂😂😂100%✓kweli.karibu bangwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ruzuku ni fedha zitokanazo na kodi ya Watanzania. Hakuna uhusiano kati ya wizi wa kura za 2020 na kupokea ruzuku. Walisusia mwanzoni ili iwe kigezo cha kupeleka ujumbe kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki.kwa nn unasema majuha wakati kuna wengine waligomea ruzuku kwa sababu hawakuutambua uchaguzi wa 2020 lkn leo wamechukua.hapo juha ni nani!