Kwa nini Wanajeshi, polisi, magereza na Usalama wa Taifa bado wanamlilia Rais Magufuli?

Kwa nini Wanajeshi, polisi, magereza na Usalama wa Taifa bado wanamlilia Rais Magufuli?

Haya ni baadhi ya matukio niliyoyakumbuka kwa haraka,

1. Alizika uhuru wa vyombo vya habari na kutia saini sheria kandamizi kwa vyombo vya habari. Vyomno vyote vililazimishwa kumuandika kwa kumsifu na kumpamba, kilichothubutu kumkosoa kilifungiwa.

2. Alitumia nguvu nyingi kupambana na upinzani na kutesa wanasiasa wa upinzani kwa kuwafungulia kesi za uongo

3. Aligawanya nchi kwa misingi ya ukabila, ukanda, uchama na udini na ubaguzi wa kijinsia.

4. Alibomoa nyumba za wakazi wa Kimara- Kibamba bila kuwafidia huku akiwaacha wa Mwanza kwa kuwa ndiyo walimpigia kura

5. Alihakikisha wakuu wa vyombo vya ulinzi wanatoka kanda ya ziwa ili kumlinda likitokea lolote, CDF - Mara, IGP - Mara na CGP - Geita na CGF - Mwanza. Madikteta wote hufanya hivi maana wanajua watu wa kwao hawawezi kuwageuka.

6. Hakupandisha mishahara kwa wafanyakazi wa umma kwa miaka yote 6 ya utawala wake.

7. Hakutangaza ajira mpya katika kipindi chote cha utawala wake. Waalimu waliomaliza vyuo mwaka 2015 hadi leo wapo mtaaji jobless.

8. Aliua sekta binafsi kwa kutoza kodi kubwa, na kuharibu mazingira ya biashara. Hoteli nyingi za kitalii zimekufa kama vile Ngurdoto, Impala, Naura Spring na nyingine zimegeuka hostel za wanafunzi kama Landmark ya Ubungo.

9. Alipunguza mzunguko wa pesa mtaani na kuhakikisha matajiri wanaishi kama mashetani.

10. Katika utawala wake waliibuka watu wasiojulikana ambao waliteka, kujeruhi na kuua watu wasio na hatia. Watu hao walimpiga risasi Tundu Lissu mchana kweupe na mpaka leo hawajakamatwa.

11. Aliwapa nguvu baadhi ya viongozi kama vile Makonda na Sabaya kutesa na kuumiza wananchi kadri walivyojisikia. Makonda alishambulia kituo cha CMG kwa mitutu ya bunduki lakini hakuchukuliwa hatua yoyote.

12. Alifuta fao la kujitoa na kusababisha watumishi wengi wenye mikataba ya muda mfupi kuishi maisha magumu baada ya ajira zao kukoma.

13. Katika serikali yake Wapinzani walionekana maadui na sio watu wenye mawazo mbadala. Waliteswa na kufunguliwa kesi za uchochezi. Alitamani upinzani ufe.

15. Katika utawala wake maiti 17 ziliokotwa ufukwe wa Coco na nyingine 6 ziliokotwa mto Ruvu kwa pamoja zikiwa zimefungwa kwenye sandarusi, na baadhi zikivuja damu.

16. Aliharibu mahusiano ya kidiplomasia na mataifa mengi ukimwenguni. Serikali yake ilichoma vifaranga vya kuku kutoka Kenya na kutaifisha ng'ombe waliovuka mpaka kuja Tanzania.

17. Alisababisha wanasiasa wa Tanzania wakimbie nchi na kuishi uhamisho kama wakimbizi wa kisiasa wakiwemo Ansbert Ngurumo, Tundu Lissu na Godbless Lema.

18. Alitumia mabavu kulazimisha ushindi kwenye uchaguzi wa 2020 na kuhakikisha CCM inashinda majimbo yote. Alipora ushindi wa upinzani kwenye majimbo mengi kwa mtutu wa bunduki.

19. Alitumia sheria ya uhujumu uchumi kutesa wapinzani wake kisiasa na wafanyabiashara aliokua na kisasi kwa mfano Rugemala na Lema wa Elerai Construction.

20. Alipenda kuabudiwa, kutukuzwa na kuogopwa. Wote waliomnyenyekea aliwapa vyeo.

21. Aliamini mawazo yake ndio sahihi na hakutaka kushauriwa kwenye jambo lolote. Aliwahi kusema yeye hapangiwi cha kufanya.

22. Alipenda kuonekana mcha Mungu japo kiuhalisia ni dikteta katili aliyetisha. Alimpoteza Ben Saanane baada ya kuhoji kuhusu PHD yake.

23. Alitangaza kuwa Tanzania haina corona na akataka watu wasivae barakoa wala wasikubali chanjo kutoka nje ya nchi.

24. Alipeleka miradi mingi ya maendeleo kijijini kwake Chato kama uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, benkiz barabara za lami na mbuga ya wanyama ambayo haikua na wanyama ikabidi kuhamisha kutoka mbuza zingine.

25. Aliingilia mihimili yote ya dola ikiwemo mahakama na bunge. Aliwazawadia vyeo vya ujaji mahakimu waliowafunga wapinzani jela.

26. Aliigeuza Tanzania kama mali yake binafsi na katika kila mradi alipenda atajwe yeye. Aliamini akiondoka hakuna atakayeweza kuendeleza yale aliyofanya.

Bunge liliwahi kupendekeza kumuongezea muda wa kutawala atakapomaliza mihula yake miwili, kumbe Mungu ana mipango yake hata hiyo miezi 4 hakumaliza ya kura alizoiba
This is nonsense
 
Haya ni baadhi ya matukio niliyoyakumbuka kwa haraka,

1. Alizika uhuru wa vyombo vya habari na kutia saini sheria kandamizi kwa vyombo vya habari. Vyomno vyote vililazimishwa kumuandika kwa kumsifu na kumpamba, kilichothubutu kumkosoa kilifungiwa.

2. Alitumia nguvu nyingi kupambana na upinzani na kutesa wanasiasa wa upinzani kwa kuwafungulia kesi za uongo

3. Aligawanya nchi kwa misingi ya ukabila, ukanda, uchama na udini na ubaguzi wa kijinsia.

4. Alibomoa nyumba za wakazi wa Kimara- Kibamba bila kuwafidia huku akiwaacha wa Mwanza kwa kuwa ndiyo walimpigia kura

5. Alihakikisha wakuu wa vyombo vya ulinzi wanatoka kanda ya ziwa ili kumlinda likitokea lolote, CDF - Mara, IGP - Mara na CGP - Geita na CGF - Mwanza. Madikteta wote hufanya hivi maana wanajua watu wa kwao hawawezi kuwageuka.

6. Hakupandisha mishahara kwa wafanyakazi wa umma kwa miaka yote 6 ya utawala wake.

7. Hakutangaza ajira mpya katika kipindi chote cha utawala wake. Waalimu waliomaliza vyuo mwaka 2015 hadi leo wapo mtaaji jobless.

8. Aliua sekta binafsi kwa kutoza kodi kubwa, na kuharibu mazingira ya biashara. Hoteli nyingi za kitalii zimekufa kama vile Ngurdoto, Impala, Naura Spring na nyingine zimegeuka hostel za wanafunzi kama Landmark ya Ubungo.

9. Alipunguza mzunguko wa pesa mtaani na kuhakikisha matajiri wanaishi kama mashetani.

10. Katika utawala wake waliibuka watu wasiojulikana ambao waliteka, kujeruhi na kuua watu wasio na hatia. Watu hao walimpiga risasi Tundu Lissu mchana kweupe na mpaka leo hawajakamatwa.

11. Aliwapa nguvu baadhi ya viongozi kama vile Makonda na Sabaya kutesa na kuumiza wananchi kadri walivyojisikia. Makonda alishambulia kituo cha CMG kwa mitutu ya bunduki lakini hakuchukuliwa hatua yoyote.

12. Alifuta fao la kujitoa na kusababisha watumishi wengi wenye mikataba ya muda mfupi kuishi maisha magumu baada ya ajira zao kukoma.

13. Katika serikali yake Wapinzani walionekana maadui na sio watu wenye mawazo mbadala. Waliteswa na kufunguliwa kesi za uchochezi. Alitamani upinzani ufe.

15. Katika utawala wake maiti 17 ziliokotwa ufukwe wa Coco na nyingine 6 ziliokotwa mto Ruvu kwa pamoja zikiwa zimefungwa kwenye sandarusi, na baadhi zikivuja damu.

16. Aliharibu mahusiano ya kidiplomasia na mataifa mengi ukimwenguni. Serikali yake ilichoma vifaranga vya kuku kutoka Kenya na kutaifisha ng'ombe waliovuka mpaka kuja Tanzania.

17. Alisababisha wanasiasa wa Tanzania wakimbie nchi na kuishi uhamisho kama wakimbizi wa kisiasa wakiwemo Ansbert Ngurumo, Tundu Lissu na Godbless Lema.

18. Alitumia mabavu kulazimisha ushindi kwenye uchaguzi wa 2020 na kuhakikisha CCM inashinda majimbo yote. Alipora ushindi wa upinzani kwenye majimbo mengi kwa mtutu wa bunduki.

19. Alitumia sheria ya uhujumu uchumi kutesa wapinzani wake kisiasa na wafanyabiashara aliokua na kisasi kwa mfano Rugemala na Lema wa Elerai Construction.

20. Alipenda kuabudiwa, kutukuzwa na kuogopwa. Wote waliomnyenyekea aliwapa vyeo.

21. Aliamini mawazo yake ndio sahihi na hakutaka kushauriwa kwenye jambo lolote. Aliwahi kusema yeye hapangiwi cha kufanya.

22. Alipenda kuonekana mcha Mungu japo kiuhalisia ni dikteta katili aliyetisha. Alimpoteza Ben Saanane baada ya kuhoji kuhusu PHD yake.

23. Alitangaza kuwa Tanzania haina corona na akataka watu wasivae barakoa wala wasikubali chanjo kutoka nje ya nchi.

24. Alipeleka miradi mingi ya maendeleo kijijini kwake Chato kama uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, benkiz barabara za lami na mbuga ya wanyama ambayo haikua na wanyama ikabidi kuhamisha kutoka mbuza zingine.

25. Aliingilia mihimili yote ya dola ikiwemo mahakama na bunge. Aliwazawadia vyeo vya ujaji mahakimu waliowafunga wapinzani jela.

26. Aliigeuza Tanzania kama mali yake binafsi na katika kila mradi alipenda atajwe yeye. Aliamini akiondoka hakuna atakayeweza kuendeleza yale aliyofanya.

Bunge liliwahi kupendekeza kumuongezea muda wa kutawala atakapomaliza mihula yake miwili, kumbe Mungu ana mipango yake hata hiyo miezi 4 hakumaliza ya kura alizoiba
Swali linalokosa jibu hapa ni kwamba kwanini mumchukie Magufuli tu kwa maovu na mapungufu yake ya uongozi ila hamuwachukii viongozi waliyotangulia kwa maovu na mapungufu yao ya kiuongozi kwenye awamu zao? Je ni kweli mnachukia maovu?

Kuorodhesha hayo mambo ya Magufuli hapa ili kuonyesha mabaya yake sio hoja maana mie sie simtetei Magufuli hapa.
 
Sasa wanalialia mtandaoni sie raia tufanyeje,tuwasaidie vipi?
They should man up,grow a spine,and conduct a coup d'etat!!wamchomoe tu Ikulu!!,kama Wana hasira!!,
Tatizo lao wengi ni wanajeshi jina tu,waliingizwa jeshini na mjomba/shangazi kupata ajira tu!!
Vijana wadogo wa Afrika magharibi Tena wenye vyeo vya chini,wanapindua nchi!,wa huku kwetu Tena mageneral wanawaza kugombea uenyekiti wa ccm wakishastaafu!!,akili zao haziwazi nje ya ccm!!!
Nchi zetu hizi ni vichekesho tu,hawa wanajeshi wetu huwezi kuwaelewa kabisa je wanalinda wananchi au mafisadi.
 
Swali linalokosa jibu hapa ni kwamba kwanini mumchukie Magufuli tu kwa maovu na mapungufu yake ya uongozi ila hamuwachukii viongozi waliyotangulia kwa maovu na mapungufu yao ya kiuongozi kwenye awamu zao? Je ni kweli mnachukia maovu?

Kuorodhesha hayo mambo ya Magufuli hapa ili kuonyesha mabaya yake sio hoja maana mie sie simtetei Magufuli hapa.
Mbona unakuwa kama malaya au shoga sasa!!. Umenitaka nikutajie sababu kwa nini watu wanamchukia Magufuli mbali na kuwaua akina Ben Sanane na kumshambulia Tundu Lissu. Nimekupa sababu dozen 2 na zaidi.

Bado unataka tuandike maovu ya Marais wengine walotangulia. Sisi hatuyajui, kaandike wewe
 
Mbona unakuwa kama malaya au shoga sasa!!. Umenitaka nikutajie sababu kwa nini watu wanamchukia Magufuli mbali na kuwaua akina Ben Sanane na kumshambulia Tundu Lissu. Nimekupa sababu dozen 2 na zaidi.

Bado unataka tuandike maovu ya Marais wengine walotangulia. Sisi hatuyajui, kaandike wewe
Nimekwambia nyie hamchukii maovu bali mnamchukia Magufuli kwa sababu zengine ambazo hamzitaji, ingekuwa mnachukia maovu basi mngewachukia na hao viongozi wengine kwa maovu yao. Nimetoa mfano wa Kikwete kumtesa Ulimboka na alikusudia kumuuwa kabisa ila kanusulika kama Lissu lakini Kikwete hamkumchukia kwa huo unyama wake.

Huwezi kuyajua hayo maovu ya viongozi wengine kwa sababu ukweli ni kwamba hamchukizwi na maovu, mnataja hayo maovu ya Magufuli na kuyarudia rudia hata siku nzima kama vile kasuku tu kwa sababu mnamchukia Magufuli(kwa sababu zenu msizozisema) na kutaka tuone kwamba Magifuli tu ndio rais pekee aliyefanya maovu nchi hao wengine walikuwa hawana maovu ndio hawazungumziwi.
 
Nimekwambia nyie hamchukii maovu bali mnamchukia Magufuli kwa sababu zengine ambazo hamzitaji, ingekuwa mnachukia maovu basi mngewachukia na hao viongozi wengine kwa maovu yao. Nimetoa mfano wa Kikwete kumtesa Ulimboka na alikusudia kumuuwa kabisa ila kanusulika kama Lissu lakini Kikwete hamkumchukia kwa huo unyama wake.

Huwezi kuyajua hayo maovu ya viongozi wengine kwa sababu ukweli ni kwamba hamchukizwi na maovu, mnataja hayo maovu ya Magufuli na kuyarudia rudia hata siku nzima kama vile kasuku tu kwa sababu mnamchukia Magufuli(kwa sababu zenu msizozisema) na kutaka tuone kwamba Magifuli tu ndio rais pekee aliyefanya maovu nchi hao wengine walikuwa hawana maovu ndio hawazungumziwi.
Zungumza wewe sasa maovu ya wengine
 
Zungumza wewe sasa maovu ya wengine
Ndio maana hunielewi, point yangu sio kuorodhesha maovu tu kama mnavyofanya nyie hapa bali point yangu ni kwamba hiyo chuki mliyonayo kwa Magufuli haitokani na kuchukia maovu (ya Magufuli) kama mngekuwa mnachukizwa na maovu basi mngewachukia na viongozi wengine kwa maovu yao na nimetoa mfano mmoja wa Kikwete alivyomtesa Ulimboka na kutaka kumuuwa ni sawa kabisa na Magufuli alichokufanya kwa Lissu ila Kikwete hakuchukiwa kwa uwovu huo(na unasema kabisa hujui maovu ya hao viongozi wengine) cha ajabu Magufuli ndio anachukiwa kwa uovu wake kwa Lissu.

Ifike mahali tuache unafki weka sababu za kweli za kwanini unamchukia Magufuli amekufanya nini na sio kuorodhesha matukio mara Lissu mara BenSaa8 kumbe si kweli unachukia maovu.

Mchana mwema mkuu.
 
Wewe orodhesha hayo maovu ya viongozi wengine, hakuna aliyekuzuia.
Swali linalokosa jibu hapa ni kwamba kwanini mumchukie Magufuli tu kwa maovu na mapungufu yake ya uongozi ila hamuwachukii viongozi waliyotangulia kwa maovu na mapungufu yao ya kiuongozi kwenye awamu zao? Je ni kweli mnachukia maovu?

Kuorodhesha hayo mambo ya Magufuli hapa ili kuonyesha mabaya yake sio hoja maana mie sie simtetei Magufuli hapa.
 
Amani gani mkuu unayozungumzia? Alivyoingia Samia makundi ya panya road yakarudi na kuanza kuibia watu kuwadhuru na hadi kuuwa, polisi wakaanza kukamata watu hovyo na kuuwa hadi sasa polisi wanakamata tu watu na kuwagea kesi kwa uonevu na kutaka rushwa.
Wakati wa jiwe police wakiongoza kubambikia kesi na kuua
 
Wewe orodhesha hayo maovu ya viongozi wengine, hakuna aliyekuzuia.
Hoja yangu sio kuorodhesha maovu hapa bali ni kueleza kwamba chuki zenu kwa Magufuli zitakuwa si kwa sababu ya kuchukia maovu yake, kwa sababu mngekuwa ni watu wa kuchukizwa na maovu basi tungeona mkiwachukia na viongozi wengine kutokana na maovu yao. Nimetoa mfano mmoja wa Kikwete ambaye alimfanyia unyama Ulimboka na alokusudia kumuuwa kabisa ila hamkumchukia Kikwete kwa huo uovu kama kweli mnachukizwa na waovu na maovu yao ila ndio kwanza mnasema hamuyajui hayo maovu ya viongozi wengine.
 
Amani iwe nanyi.

Mimi ni mmoja wa watumiaji wa mitandao ya kijamii, specifically Whatsapp. Katika matumizi hayo, napitia sana Status za marafiki pamoja na jamaa zangu.

Ninao jamaa ambao nawafahamu wanafanya kazi katika idara na majeshi husika. Japo hawapost mara nyingi, ila wanapopost huwa wanamweka Magufuli katika kurasa zao hizo, ikiambatana na caption mbakimbali kama Mwamba, emoji za machozi, nk

Ukifatilia trend, hata hapo majuzi wakati wa Sikukuu ya Noeli, video ya Magufuli ndiyo iliyotrend zaidi ya video ya Mh Rais Samia. Video ile ilisambazwa kwa wingi na sehemu kubwa ya Watumishi majeshi tajwa.

Watu hao katika post zao tisa kwa wastani, basi Mh Samia atapostiwa mara moja pekee au asipostiwe kabisa.

Sina shaka na kuwaamulia watu hao nini cha kupost, ila nina hamu kufahamu nini haswa kinawafanya wamkumbuke Rais Magufuli zaidi ya Mh Samia?

Katika kuwadodosa, wanasema wazi Magufuli aliboresha maisha yao na kuwapa meno kwa kiasi kikubwa..

Rais Samia kwa upande mwingine anaonekana kuwabana na kuwarudisha katika mstari wa kusimamia haki na kuwalinda Raia.

Je,nini haswa kinawafanya Wamkumbuke Rais Magufuli kuliko Amri Jeshi Mkuu wa sasa?

Kuna siri nyuma ya pazia ambayo hatuifahamu?
Walikuambia lini au unajitekenya
 
Itachukua muda sana kumpata mtu kama magufuli coz wanyonge ndio tuliguswa n utendaji wake but ammafisadi ndo waliolia
 
Hoja yangu sio kuorodhesha maovu hapa bali ni kueleza kwamba chuki zenu kwa Magufuli zitakuwa si kwa sababu ya kuchukia maovu yake, kwa sababu mngekuwa ni watu wa kuchukizwa na maovu basi tungeona mkiwachukia na viongozi wengine kutokana na maovu yao. Nimetoa mfano mmoja wa Kikwete ambaye alimfanyia unyama Ulimboka na alokusudia kumuuwa kabisa ila hamkumchukia Kikwete kwa huo uovu kama kweli mnachukizwa na waovu na maovu yao ila ndio kwanza mnasema hamuyajui hayo maovu ya viongozi wengine.
Wewe orodhesha hayo maovu ya viongozi wengine, hakuna aliyekuzuia
 
Hapa JF watu huongea habari za usalam wa Taifa kama vile wanaongea habari za WBC....

Wewe unawajua usalama woote na umewafanyia mahojiano wakakwambia haya?
Au yanatoka kichwani kwako?
Ni hulka ya baadhi ya watanzania kuropoka na kushobokea mambo wasiyoyafahamu!. Utasikia jitu linakuambia nina rafiki pale usalama wa taifa ameniambia hv na hv!. Ushenzi mtupu.
 
Back
Top Bottom