Kwa nini Wanajeshi, polisi, magereza na Usalama wa Taifa bado wanamlilia Rais Magufuli?

Kwa nini Wanajeshi, polisi, magereza na Usalama wa Taifa bado wanamlilia Rais Magufuli?

Sasa hao ni jamaa zako, sio? Kwanini usiwaulize?
Haya yote mengine yalikuwa Blah Blah tu. Alikuwa anataka kusema mengine.

Hawa wazungu wamejaa chuki, wanataka kubadilisha Fikra zetu, wanataka kutuchonganisha, kutugawa. Yaani wanadai wanatusaidia.
Watashindwa tuu
 
Mkuu mtoto wa ndugu yangu katoka juzi tu segerea baada ya miezi kadhaa alipewa kesi ya kukaba kwa kutumia silaha na ni wengi tu walikamatwa na bado wanaendelea kukamatwa na kugewa hizo kesi yani hata ukitoka polisi wanakwambia hapa utarudi tu.

Ambacho hukisemi alikamatwa na nini, yaani una maana flatly walimkamata tu bila sababu....no probable cause?

Get outta heree
 
Panya Road ndio nani? Mlimsoma yule Herieri na wenzake waliodai wao wanadawa....wanafundisha kutumia Silaha ili wawaue.

Nchi yetu inafuata Sheria, Kama vile Jeshi letu linavyofuata sheria. Na kama hupendi....Muulize Zitto, au Makamba au yule aliyesema 'hamia burundi'

Unachokisema hapo ni chuki, una ng'ang'ania kutumia lugha za Ukimbari...

Unacholalamika ni nini? Hakuna Amani? au Kuna Panya? Polisi hawafuati sheria???

Mnajulikana, mnatumezesha sumu. Wewe ni Hatari kwa Usalama wa Afya ya Jamii.
Mkuu sijakuelewa kabisa au hujanikusudia mimi?
 
Kwa sababu aliwaruhusu kuchukua rushwa na kuonea raia watakavyo..

Saizi marufuku kukamata mtu Kama huna ushahidi.
Huna uthibitisho wowote ule
Ati aliwaruhusu.
Mnamkumbuka Mke wa Waziri wake aliishia wapi. Unajua alisema nini Baada ya lile tukio?

Sisi Watanzania tunakumbuka....msimezeshe sumu zenu humu, waongo nyie.
 
hawapati tena posho za kupiga, kutesa na wakati mwingine kuua viongozi na wafuasi wa CHADEMA.

yule mzee binafsi ninampenda sana lakini sera yake ya kutaka kuua CHADEMA alipotoshwa ila nimemsamehe.
 
Huna uthibitisho wowote ule
Ati aliwaruhusu.
Mnamkumbuka Mke wa Waziri wake aliishia wapi. Unajua alisema nini Baada ya lile tukio?

Sisi Watanzania tunakumbuka....msimezeshe sumu zenu humu, waongo nyie.
Mwendazake aliongea mwenyewe kwamba Polisi wasisumbuliwe wanachukua vihela vidogo vidogo.
 
hawapati tena posho za kupiga, kutesa na wakati mwingine kuua viongozi na wafuasi wa CHADEMA.

yule mzee binafsi ninampenda sana lakini sera yake ya kutaka kuua CHADEMA alipotoshwa ila nimemsamehe.
Huyo alikuwa na kinyongo Binafsi baada ya kuchukuliwa mjengo wake....sio siri hawakuwa wanalipa THC utoto wake wa mjini akataka kuuleta....akaamua uhasama wake kwa Ugaidi. Vyombo vya Usalama vikafanya kazi zake. Mahakama vikafanya kazi zake....
 
Kweli kabisa, uvaaji wa kaunda/safari suti ulishamiri sana wakati wa dikteta jiwe
Uvaaji wa ngozi ya kondoo na Uumbwa mwitu wenu tunaujua.

Kwani kuvaa Kaunda suti na Safari suti ndio ina maana gani?

Lugha zenu za Ukimbari, pamoja na kutulaziimisha maadili yenu na Tamaduni zenu za kuzaa na Dada zenu.....Msituletee. Nyie ni sumu na Hatari kwa Afya na Usalama wa Taifa lelote.
 
Hao askari watakuwa ni wapumbavu sana kama kweli wapo kuweza kumlilia mtu aliyekufa na kuzikwa miaka 2 iliyopita. Kimsingi ni majuha
Hata Marekani kuna wapuuzi kama wewe ru. Yaani mijitu mipumbavu yameshindwa kura, yanadai wameibiwa. Mijuha.

Kule kwa Kibibi chenu Uingereza nako wamelialia wee na misura yao ya Ukimbari wakifikiria Mungu wao amekufa. Toba....Mijuha
 
Amani iwe nanyi.

Mimi ni mmoja wa watumiaji wa mitandao ya kijamii, specifically Whatsapp. Katika matumizi hayo, napitia sana Status za marafiki pamoja na jamaa zangu.

Ninao jamaa ambao nawafahamu wanafanya kazi katika idara na majeshi husika. Japo hawapost mara nyingi, ila wanapopost huwa wanamweka Magufuli katika kurasa zao hizo, ikiambatana na caption mbakimbali kama Mwamba, emoji za machozi, nk

Ukifatilia trend, hata hapo majuzi wakati wa Sikukuu ya Noeli, video ya Magufuli ndiyo iliyotrend zaidi ya video ya Mh Rais Samia. Video ile ilisambazwa kwa wingi na sehemu kubwa ya Watumishi majeshi tajwa.

Watu hao katika post zao tisa kwa wastani, basi Mh Samia atapostiwa mara moja pekee au asipostiwe kabisa.

Sina shaka na kuwaamulia watu hao nini cha kupost, ila nina hamu kufahamu nini haswa kinawafanya wamkumbuke Rais Magufuli zaidi ya Mh Samia?

Katika kuwadodosa, wanasema wazi Magufuli aliboresha maisha yao na kuwapa meno kwa kiasi kikubwa..

Rais Samia kwa upande mwingine anaonekana kuwabana na kuwarudisha katika mstari wa kusimamia haki na kuwalinda Raia.

Je,nini haswa kinawafanya Wamkumbuke Rais Magufuli kuliko Amri Jeshi Mkuu wa sasa?

Kuna siri nyuma ya pazia ambayo hatuifahamu?
Ni kawaida kwa Watanzania kujifanya wanawapenda Marehemu kuliko walio hai. Unafiki upo hata kwa familia kwahiyo hakuna ajabu hapo
 
Ni kawaida kwa Watanzania kujifanya wanawapenda Marehemu kuliko walio hai. Unafiki upo hata kwa familia kwahiyo hakuna ajabu hapo
Hata yule Bibi wenu wa Uingereza alivyokufa pwaa Walimlilia sana.
Kawaida.

Matusi yenu na Kejeli zenu zenye Lugha ya Ukimbari ni Hatari kwa Usalama wa Taifa lelote.

Rudi kwenu Haramia weeeee
 
Amani iwe nanyi.

Mimi ni mmoja wa watumiaji wa mitandao ya kijamii, specifically Whatsapp. Katika matumizi hayo, napitia sana Status za marafiki pamoja na jamaa zangu.

Ninao jamaa ambao nawafahamu wanafanya kazi katika idara na majeshi husika. Japo hawapost mara nyingi, ila wanapopost huwa wanamweka Magufuli katika kurasa zao hizo, ikiambatana na caption mbakimbali kama Mwamba, emoji za machozi, nk

Ukifatilia trend, hata hapo majuzi wakati wa Sikukuu ya Noeli, video ya Magufuli ndiyo iliyotrend zaidi ya video ya Mh Rais Samia. Video ile ilisambazwa kwa wingi na sehemu kubwa ya Watumishi majeshi tajwa.

Watu hao katika post zao tisa kwa wastani, basi Mh Samia atapostiwa mara moja pekee au asipostiwe kabisa.

Sina shaka na kuwaamulia watu hao nini cha kupost, ila nina hamu kufahamu nini haswa kinawafanya wamkumbuke Rais Magufuli zaidi ya Mh Samia?

Katika kuwadodosa, wanasema wazi Magufuli aliboresha maisha yao na kuwapa meno kwa kiasi kikubwa..

Rais Samia kwa upande mwingine anaonekana kuwabana na kuwarudisha katika mstari wa kusimamia haki na kuwalinda Raia.

Je,nini haswa kinawafanya Wamkumbuke Rais Magufuli kuliko Amri Jeshi Mkuu wa sasa?

Kuna siri nyuma ya pazia ambayo hatuifahamu?
Hao ni wale ambao wana akili na mawazo mgando kwamba Rais akiwa madarakani hawezi kufa.

Kwahiyo bado wana msongo wa mawazo wakizinduka watakuta wenzao wanaoenda na muda na kukubaliana na matokeo wamepiga hatua kubwa kimaendeleo.
 
Hao ni wale ambao wana akili na mawazo mgando kwamba Rais akiwa madarakani hawezi kufa.

Kwahiyo bado wana msongo wa mawazo wakizinduka watakuta wenzao wanaoenda na muda na kukubaliana na matokeo wamepiga hatua kubwa kimaendeleo.
Hata Malikia wenu Amekufa.
Papa wenu Amekufa.
Adolf Hitler Amekufa.

Donald Trump ameshindwa kura....Amekufa kisiasa.

Huo mgando upo kwenu huko kwa Wazungu wenzako. Kila kona kuna misanamu yao. Wamekufaaaa
 
Back
Top Bottom