Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Wale waliopigwa 7 na Simba au?Ngoja maafande waje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale waliopigwa 7 na Simba au?Ngoja maafande waje
Muuaji na mtekaji pia mfiraji. Jpm alivyokufa tu nilikunywa cret nzima ya bia
Mwaka 2016 mchambuzi mmoja aliandika kwenye moja ya yale magezeti yaliyofungwa kuwa ingawa tulipiga kura 2015 kuchagua viongozi tulikuwa tunatawaliwa na vyombo! Nchi ilikabidhiwa kwenye vyombo ambavyo baadhi kama Polisi vilipewa madaraka yasiyokuwa na mipaka kama ilivyokuwa Afrika ya Kusini ya Makaburu!Amani iwe nanyi.
Mimi ni mmoja wa watumiaji wa mitandao ya kijamii, specifically Whatsapp. Katika matumizi hayo, napitia sana Status za marafiki pamoja na jamaa zangu.
Ninao jamaa ambao nawafahamu wanafanya kazi katika idara na majeshi husika. Japo hawapost mara nyingi, ila wanapopost huwa wanamweka Magufuli katika kurasa zao hizo, ikiambatana na caption mbakimbali kama Mwamba, emoji za machozi, nk
Ukifatilia trend, hata hapo majuzi wakati wa Sikukuu ya Noeli, video ya Magufuli ndiyo iliyotrend zaidi ya video ya Mh Rais Samia. Video ile ilisambazwa kwa wingi na sehemu kubwa ya Watumishi majeshi tajwa.
Watu hao katika post zao tisa kwa wastani, basi Mh Samia atapostiwa mara moja pekee au asipostiwe kabisa.
Sina shaka na kuwaamulia watu hao nini cha kupost, ila nina hamu kufahamu nini haswa kinawafanya wamkumbuke Rais Magufuli zaidi ya Mh Samia?
Katika kuwadodosa, wanasema wazi Magufuli aliboresha maisha yao na kuwapa meno kwa kiasi kikubwa..
Rais Samia kwa upande mwingine anaonekana kuwabana na kuwarudisha katika mstari wa kusimamia haki na kuwalinda Raia.
Je,nini haswa kinawafanya Wamkumbuke Rais Magufuli kuliko Amri Jeshi Mkuu wa sasa?
Kuna siri nyuma ya pazia ambayo hatuifahamu?
Wewe ndiyo wajua nani waliuliwa na Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete? Waandike hapa basi utujuze ila sisi tunaandika waliouliwa na dikteta Magufuli ambaye Mungu alimkataa tarehe 17/03/21 kutokana na maovu yake kwa watanzaniaKila binaadamu ana dhambi zake na atazitumikia na ndio maana nikasema hata hao viongozi waliyopita huko nao walikuwa na madhambi yao waliuwa na kutesa watu pia ila tofauti hapa hamuwachukii pamoja na kufanya hayo maovu yao, labda mseme watu aliyowauwa Magufuli wana hadi ya mitume ndio maana mmeguswa sana na mawauwaji aliyofanya Magufuli.
Alimdi** Makonda, muulizealikufi** mara ngapi?
Nani kakudanganya hivo wewe dada?Ushetani sio kuuwa tu hata wewe ukiwa mzinifu uliyokubuhu pia ni shetani.
Magufuli aliwapa rushwa ili wamlinde aliokuwa anavunja katiba. Operesheni vyeti feki haikugusa majeshi. Rushwa kwa trafiki ilhalalishwa kwa jina la hela ya kubrashi viatu. Mishahara, vyeo na marupurupu manono kwa mejeshi. Baadhi ya polisi ni kama majambazi waliohalalishiwa kazi yao. Hivi wasiojulikana walikuwa raia wa kawaida (civilian)?Amani iwe nanyi.
Mimi ni mmoja wa watumiaji wa mitandao ya kijamii, specifically Whatsapp. Katika matumizi hayo, napitia sana Status za marafiki pamoja na jamaa zangu.
Ninao jamaa ambao nawafahamu wanafanya kazi katika idara na majeshi husika. Japo hawapost mara nyingi, ila wanapopost huwa wanamweka Magufuli katika kurasa zao hizo, ikiambatana na caption mbakimbali kama Mwamba, emoji za machozi, nk
Ukifatilia trend, hata hapo majuzi wakati wa Sikukuu ya Noeli, video ya Magufuli ndiyo iliyotrend zaidi ya video ya Mh Rais Samia. Video ile ilisambazwa kwa wingi na sehemu kubwa ya Watumishi majeshi tajwa.
Watu hao katika post zao tisa kwa wastani, basi Mh Samia atapostiwa mara moja pekee au asipostiwe kabisa.
Sina shaka na kuwaamulia watu hao nini cha kupost, ila nina hamu kufahamu nini haswa kinawafanya wamkumbuke Rais Magufuli zaidi ya Mh Samia?
Katika kuwadodosa, wanasema wazi Magufuli aliboresha maisha yao na kuwapa meno kwa kiasi kikubwa..
Rais Samia kwa upande mwingine anaonekana kuwabana na kuwarudisha katika mstari wa kusimamia haki na kuwalinda Raia.
Je,nini haswa kinawafanya Wamkumbuke Rais Magufuli kuliko Amri Jeshi Mkuu wa sasa?
Kuna siri nyuma ya pazia ambayo hatuifahamu?
Mungu ni mwema. Hawezi kuruhusu nchi hii itawaliwe na shetani. Atahakikisha inaongozwa na watu wenye hekima.Ha ha ha ha, mkuu Magufuli alikuwa mtu makini saana, itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu kama huyo tena... miaka mingi sana nasema
Ni ipi inakufurahisha zaidi? Ukichagua mpinzani sahau maendeleo? Mlale na mavi yenu ndani ya nyumba zenu? Ukimwi kwenu, tetemeko kwenu, katerero kwenu?Kuna professor wa nchi jiran alisema "tunataka Magufuli wa Afrika" ili alinyooshe bara la Afrika. Hivyo aliinyoosha mambo mengi nao wakapumua kwa raha ndio maana anakumbukwa. Kabla sijalala usiku ni lazima nisikilize hotuba zake alizotoa nyakati za mwisho kabla ya kifo chake.
Tatizo langu hata sio nyie kuandika hao waliyouliwa au kuteswa na Magufuli ila nawashangaa kwamba kwanini mnachukia Magufuli? Maana tukio la Ulimboka hatukuona kumchukia Kikwete na tena hao Chadema walirushiwa hadi bomu na baadhi ya wakafa ila bado Hamkumchukia Kikwete, enzi hizo Cuf walichezea sana vipondo vya polisi na hadi kuuliwa ila hakukuwa na kumchukia Rais aliyefanya hivyo madarakani na hapo ndio napowashangaa.Wewe ndiyo wajua nani waliuliwa na Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete? Waandike hapa basi utujuze ila sisi tunaandika waliouliwa na dikteta Magufuli ambaye Mungu alimkataa tarehe 17/03/21 kutokana na maovu yake kwa watanzania
Nchii ina mema gani watu wake hufanya kwa Mungu?Mungu ni mwema. Hawezi kuruhusu nchi hii itawaliwe na shetani. Atahakikisha inaongozwa na watu wenye hekima.
Ukizungumzia ushetani unazungumzia madhambi na uzinifu ni dhambi, sasa kama wewe zinifu la kutupa malaya halafu unategemea usiwe shetani wakati vitendo vyako ni vya kishetani? Hata huyo shetani mwenyewe aliitwa hivyo baada ya kufanya dhambi.Nani kakudanganya hivo wewe dada?
Ulimboka yupo hai, je yuko wapi Ben Saanane, Azory Gwanda, Lwajabe na wale wa kwenye viroba?Tatizo langu hata sio nyie kuandika hao waliyouliwa au kuteswa na Magufuli ila nawashangaa kwamba kwanini mnachukia Magufuli? Maana tukio la Ulimboka hatukuona kumchukia Kikwete na tena hao Chadema walirushiwa hadi bomu na baadhi ya wakafa ila bado Hamkumchukia Kikwete, enzi hizo Cuf walichezea sana vipondo vya polisi na hadi kuuliwa ila hakukuwa na kumchukia Rais aliyefanya hivyo madarakani na hapo ndio napowashangaa.
Hata Lissu yupo hai pia ila hiyo haibadili kuwa kitendo alichofanyiwa ni kiovu kama Kikwete alivyomfanyia Ulimboka ni unyama sio ubinaadamu ila hamkujenga chuki kwa unyama huo ikiwa kweli mnachukia Magufuli kwa unyama aliyoufanya kwa Lissu na wengineo, vinginevyo itakuwa chuki yenu imejengwa kwa kitu kingine kabisa na si hayo matukio ya Lissu na Bensaa8.Ulimboka yupo hai, je yuko wapi Ben Saanane, Azory Gwanda, Lwajabe na wale wa kwenye viroba?
Chuki siyo kitu unachofundishwa au kuiga, bali ni response to natural stmuli. Huwezi kuwashawishi watu wamchukie Kikwette kwa sababu ya kuvamiwa Ulimboka.
Na hata wanaomchukia Magufuli siyo kwamba kuna mahali wamefanya mkutano na kuamua kuwa sasa tumchukie Magufuli. Bali ni matokeo ya vitendo vyake viovu dhidi ya Watanzania, kila mmoja anaandika kwa namna alivyoathiriwa.
Haya ni baadhi ya matukio niliyoyakumbuka kwa haraka,Hata Lissu yupo hai pia ila hiyo haibadili kuwa kitendo alichofanyiwa ni kiovu kama Kikwete alivyomfanyia Ulimboka ni unyama sio ubinaadamu ila hamkujenga chuki kwa unyama huo ikiwa kweli mnachukia Magufuli kwa unyama aliyoufanya kwa Lissu na wengineo, vinginevyo itakuwa chuki yenu imejengwa kwa kitu kingine kabisa na si hayo matukio ya Lissu na Bensaa8.
Tunakujua wewe ni Timu bt magifuli alipiga Pini ufisadi wenu...katili sana, muuaji, mtekaji, mporaji na dikteta la karne.