Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Hapo vip!
Nimejiuliza sana hili swali muda mrefu, miaka na miaka ila nimekosa jibu sahihi.
Wanawake wengi wa kiafrika wameamua kukana na kukataa asili yao na kuidharau kabisa tofauti na wanaume..nikimaanisha wapo tayari kununua nywele za bandia hata za marehemu wa kizungu wavae kichwani...Inaamaana hii asili yetu kuanzia rangi mpaka nywele haina uzuri yeyeyote.......?
Siku hizi unaweza ukamaliza mji mzima ukamkosa mwanamke mwenye nywele zake za asili... Nina imani kungekuwa na dawa ambayo haina madhara kama hizi zilizopo, wanawake wote wangebadilisha rangi zao kuwa nyeupe... Inamaana Mungu alikosea kutuumba hivi ama vipi?
Lingine kama kufanya tendo hili ni dhambi..sasa wanawake wengi wakiafrika si wataaishia motoni....
Embu dada zetu tuambie shida nini?
Nimejiuliza sana hili swali muda mrefu, miaka na miaka ila nimekosa jibu sahihi.
Wanawake wengi wa kiafrika wameamua kukana na kukataa asili yao na kuidharau kabisa tofauti na wanaume..nikimaanisha wapo tayari kununua nywele za bandia hata za marehemu wa kizungu wavae kichwani...Inaamaana hii asili yetu kuanzia rangi mpaka nywele haina uzuri yeyeyote.......?
Siku hizi unaweza ukamaliza mji mzima ukamkosa mwanamke mwenye nywele zake za asili... Nina imani kungekuwa na dawa ambayo haina madhara kama hizi zilizopo, wanawake wote wangebadilisha rangi zao kuwa nyeupe... Inamaana Mungu alikosea kutuumba hivi ama vipi?
Lingine kama kufanya tendo hili ni dhambi..sasa wanawake wengi wakiafrika si wataaishia motoni....
Embu dada zetu tuambie shida nini?