Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
angalia wanaotafuta wachumba humu wote wanawake wa kikristoUmepata wapi takwimu hizo?
wabadilishe sheria zaoKwasababu nature haitaki mwanaume awe na mke mmoja,matokeo yake ndio haya,na kwaujinga waliolishwa makanisani kuwa kuolewa matala ni dhambi wakati Yesu hata hakuwahi kuoa.
Kiufupi walidanganywa ndio mana wanateseka,matala ni mpango wa asili wa viumbe hai.
Sawa bana nawewe subiria WANAWAKE mabikira 72 peponi shehe uta enjoy sanaKwasababu nature haitaki mwanaume awe na mke mmoja,matokeo yake ndio haya,na kwaujinga waliolishwa makanisani kuwa kuolewa matala ni dhambi wakati Yesu hata hakuwahi kuoa.
Kiufupi walidanganywa ndio mana wanateseka,matala ni mpango wa asili wa viumbe hai.
Shida si ni tunatafuta waume au?Wanawake wa kikristo shida ipo wapi?
huko mnapokaa hawapo?Shida si ni tunatafuta waume au?
Hawapo tunahisi wamejificha jf ndo tunawasaka huku sasa.huko mnapokaa hawapo?
njoeni misikitini hukuHawapo tunahisi wamejificha jf ndo tunawasaka huku sasa.
Niwekee order ya bikra mariaSawa bana nawewe subiria WANAWAKE mabikira 72 peponi shehe uta enjoy sana
Huko kumejaa kila mtu ana wake 2+ bado ahadi ya wale mabikra 72.njoeni misikitini huku
Ukikaa huko mwenyewe inatosha acha wapambane wanapoona panawafaanjoeni misikitini huku
ebu tag uzi wake mmoja iv alkua anatafta mpenz bwana mi siwezi mbona ningetag😂ye mwenyewe huko msikitini kawakosaUkikaa huko mwenyewe inatosha acha wapambane wanapoona panawafaa
Ooooh dear umerudi😌Kwasabb wanawake wa kikristo wanataka ndoa za heshima zisizo na mitala. Wakati upande wa pili wao wako tayari kuwa mke wa 6 ama kudanga.
Jamani!! Swali gani hili Ms R ? Kwani niliondoka?Ooooh dear umerudi😌