Kwa nini wapiganaji waliompindua Assad hawaishambulii Israel iliyoingia ndani mwa nchi walioyoiomboa

Kwa nini wapiganaji waliompindua Assad hawaishambulii Israel iliyoingia ndani mwa nchi walioyoiomboa

Hata wakati waasi walivyokuwa wanateka miji ya Syria watu walisema wanaachwa waingie ndani zaidi ili wazingirwe wamalizwe.
Kuna yule msemaji wa serikali ya Iraq enzi za Sadam naye alikuwa na maneno kama haya
Sawa uko sawa sio kila siku point zako sawa, ndio mana Trump ananza kulia wanalipa pesa nyingi Syria kuliko faida yake hahahaha Walidhani wakihonga wale ma rebels wakingia wao watakuwa wamemaliza kazi. Hao Hao rebels karibu watanza kujishambulia wenyewe kwa wenyewe, na hapo usitegemee Israel ndio kafaidi kuondoka Assad zikianza fujo huko Hezbullah, Iran na Al Houth ndio watanzisha mashambulizi kutokea Syria. Time itaongea.
 
Kwasasa hao lao moja lakini Israel wanajua waarabu si watu wa misimamo ya kweli, wengi ni vigeugeu hivyo muda wowote wanakugeuka, wanachofanya kuwaweka hao wanaoitwa waasi katika Hali ya kuanza upya halafu watawamonitor kupitia taasisi zao za kiusalama Kwa maana Israel atatumia advantage ya hayo machafuko kuzidi kuingiza watu wake ndani ya utawala huu mpya yaani Hadi kiongozi mkuu akitaka kunya tayari Israel wanajua, hao waasi wakija shtuka kuwa wameingizwa Chaka na Israel basi hawana nguvu za kupigana naye maana wanajulikana nje ndani na Israel na wakati huo uwezo wao wa kijeshi ni sifuri na ndio maana cha kwanza ni kushambulia maeneo yote muhimu ya kijeshi yatakayoweza kuleta shida kwao hapo baadae Incase hao waasi wakiwageuka.
 
Back
Top Bottom