Kwa nini watu maarufu upendelea Range Rover na G-Wagon?

Kwa nini watu maarufu upendelea Range Rover na G-Wagon?

G wagon kimbaumbau sana, inaonekana wametumia utaaamu wa hali ya juu ili capability iendane na hizi zingine ambazo zimejaa kama range etc.
 
Mkuu samahani hivi kati ya G Wagon na Range Rover SVA ipi Ina stability nzuri?!
Ukiangalia reviews nyingi za magari mwaka huu... G-wagon imescore marks ndogo sana.

Wakati huo huo Range Rover imechukua marks nyingi kiasi cha kupewa "Editors Choice" kuanzia Top Gear,Car Connection na Car and the Driver.

Hii ni kwa kuwa Range Rover imekua stable On and Off-road... Na lile tatizo la kuwa eti Range Rover haidumu bila kwenda Garage limeshachimbiwa kaburi.

Tatizo pekee sasa la Range Rover ni sky high price... Bei yake kweli ni nondo.

G-wagon imekuwa stable off-road but sio stable on-road pia imekuwa na fuel economy mbaya zaidi yani inakula mafuta sio mchezo.

Pia comfort na handling ya gari ni nzuri sana kwenye Range Rover kuliko G-wagon.

So Range Rover ndio mshindi hapo.
 
Sport Utility Vehicles(SUVs) are hot right now...

Wabongo ndio hatuendi na ulimwengu uendavyo....

Rolls-Royce Wamezalisha Sedans tangu WWII lakini siku hizi SUVs zimekua dili... Mwaka huu wanazindua their first SUV Rolls-Royce Cullinan.

Bentley pia wamezalisha Sedans kwa miaka mingi... Mwaka jana walizindua their first SUV Bentley Bentayga.Ambayo ndio world fast SUV.

BMW mwaka huu wanazindua BMW X7 ili icompete na Range Rover... Na wameona SUVs ndio zina soko siku hizi.

Jaguar wamezindua Jaguar F-Pace mwaka huu ambayo ndio their first Suv... Kwa kuwa Sedans Kama Jaguar XJ hazina dili.

Believe me,Suvs ndio habari ya mjini duniani mda huu.

Ila kutokana na umasikini wetu wabongo Sedans Kama Toyota mark X,Camry na nyingine ndio tunaona zina maana.
Upo sahihi mkuu...nikiangalia trend ni SUV tu...natamani kuiona hiyo BMW x7....
Then discovery waki pimp no.6 nitauza roho yangu
 
samahani mkuu siyo kwamba uwezo wako umefika hapo ?..... jirani yangu kanilazimisha kuandika
Liko wazi kua uwezo wangu upo hapo na hicho ndo nachokikubali ndo mana nkasema hunitoi hapo kwenye rav4
 
Liko wazi kua uwezo wangu upo hapo na hicho ndo nachokikubali ndo mana nkasema hunitoi hapo kwenye rav4
asante mkuu nilidhani unauwezo wa range nijisogeze uje uninunulie zawadi ya birthday li range natamani kulisukuma hili zigo
 
Sport Utility Vehicles(SUVs) are hot right now...

Wabongo ndio hatuendi na ulimwengu uendavyo....

Rolls-Royce Wamezalisha Sedans tangu WWII lakini siku hizi SUVs zimekua dili... Mwaka huu wanazindua their first SUV Rolls-Royce Cullinan.

Bentley pia wamezalisha Sedans kwa miaka mingi... Mwaka jana walizindua their first SUV Bentley Bentayga.Ambayo ndio world fast SUV.

BMW mwaka huu wanazindua BMW X7 ili icompete na Range Rover... Na wameona SUVs ndio zina soko siku hizi.

Jaguar wamezindua Jaguar F-Pace mwaka huu ambayo ndio their first Suv... Kwa kuwa Sedans Kama Jaguar XJ hazina dili.

Believe me,Suvs ndio habari ya mjini duniani mda huu.

Ila kutokana na umasikini wetu wabongo Sedans Kama Toyota mark X,Camry na nyingine ndio tunaona zina maana.

Hivi ni Sport utility vehicles au ni Suburban vehicles? Au mimi ndio nachanganya?
 
Lexus LX 570...
5a3413dffde118de0de3c746f70d17e3.jpg

4a5b56dff09a4a4be32a537e5bd4ec7f.jpg
Daah!! Ni balaaa hili dude.
 
Back
Top Bottom