pemgtoonet.com
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 879
- 618
- Thread starter
-
- #61
Ohoo naona mmeanza kutupiana mpira....kila mtu hataki mtaa wake utajwe, msiutaje mtaa Wa Ramadhani please...Ishieni hukohuko...Itakuwa Mgendela au Melinze
Njombe ina raha yake bhana....Long time kitambo njombe, mmenifanya muda wote natabasamu na hii thread
Tuishie RuhujiOhoo naona mmeanza kutupiana mpira....kila mtu hataki mtaa wake utajwe, msiutaje mtaa Wa Ramadhani please...Ishieni hukohuko...
Hahah itapendeza kwa kweli,au geuza muelekee hagafilo au nunduTuishie Ruhuji
Hahaha labda Nazareth au Uwemba kabïsa...tangu Njombe nimeondoka ni miaka 11 sasa ila nayakumbukà maeneoHahah itapendeza kwa kweli,au geuza muelekee hagafilo au nundu
Yah ina maeneo ambayo majina yake baadhi ni vigumu kusahaulika...Mfano uwemba,luponde,lupembe,kipengere,mdandu,nyumbanitu,...NkHahaha labda Nazareth au Uwemba kabïsa...tangu Njombe nimeondoka ni miaka 11 sasa ila nayakumbukà maeneo
Igagala, lusitu, matembwe, peruhanda, ìdundilanga, igominyoYah ina maeneo ambayo majina yake baadhi ni vigumu kusahaulika...Mfano uwemba,luponde,lupembe,kipengere,mdandu,nyumbanitu,...Nk
Home boy hah hah hah. My pleasure. Ramadhani sehemu gani?Ohoo naona mmeanza kutupiana mpira....kila mtu hataki mtaa wake utajwe, msiutaje mtaa Wa Ramadhani please...Ishieni hukohuko...
Au itulike[emoji23][emoji23]Itakuwa Nyakamtuwe
Hahaa zengerendete[emoji23]hili jina lilikua linanifurahisha.Na yale matunda yao wanaita misuku sijui[emoji23][emoji23]ya njano ndaniZengerendete kumekucha cku hz....Bonge la town na jina wamebadili wanaita mtaa wa KAMBARAGE....labda jamaa atakuwa wa magoda huko!
Acheni masihara,...mwenzenu ndo nalimia huko,kunaniweka town hahahAu itulike[emoji23][emoji23]
unaenda wapi?...[emoji124] [emoji124]
Karibu na St. Benedict schoolsHome boy hah hah hah. My pleasure. Ramadhani sehemu gani?
Hata sijui, labda unielekeze mkuuunaenda wapi?...