mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,162
- 3,088
Wewe frola mbasha amekufundisha nini? Kwa hiyo kwa akili yako halelujah ni neno la kikristo au lugha ya kiebrania? Kazi kweli.Anawanawake wangapi na
- anashinda na wangapi
-analala nawangapi na
-mezaa nawanganpi? Ukristo unahubiri mme mmoja kwa mke mmoja.
Amewapenda wangapi na tunajifunza nini?
Msaani ni kioo cha jamii.... Huyu anafundisha nini? Ufuska...halafu anataka ukristo ubaliki ushenzi wa tungo za udhalilishaji kwa sifa za kijuha?
Akiheshimu matakwa ya fani yake kwa tungo zisizokwaza wengine ataheshimika tu
Lazima aweke mstari ilikuheshim imani za wengine asiwe
-Kikwazo
-Chukizo
Atapendwa tu.
Mali... hivi unajua Mange nae ni Bavicha?Haters just hate: They don't ha any reason to do so but they just hate. Nimesikitika sana kuona watanzania tunafanyiana Uzandiki wa wazi wazi ,inasikitisha sana
Unajua kwny harakati zake za sias nilikuwa namwaminia sana......lakini naanza kupata ukkasi nahisi hata izo siasa zake ni personal issues zinazomnufaisha yeye. Kwnye birthday ya wema aliandika kuwa makonda asingemtaja wema kwny sakata la madawa ya kulevya, asingelianzisha sakata la vyeti na kumuharibia makonda harakati zake za madawa ya kulevya, tokea siku iyo nikaanza kuwa na mashaka na nikijumlisha na hili swala la diamond naanza kupata jibu.
Ametuuliza sisi na mwenzako nani???Unatuuliza sisi, una uhakika sisi tunajua sababu?
Tangu nimfahamu mange sijawahi kuona halakati za kweli zaidi ya chuki tu..hata kwenye swala LA srikali kuna mapungufu lakini sio makubwa kama huyu bibi anavyo waaminisha watanzania wasiojua kufwatilia mambo.
Ile blog ilikua ni shida ni xxxx+ rated, dayummm uyo manzi katoka mbali na ugonjwa wakeUnaifahamu iliyokua blog ya mange u turn?kama huifahamu basi umeanza miliki smartphone kipind cha ukuu wa mkoa wa makonda
Kashaanza kupoteza mwelekeo😀😀😀😀 Naona kila aandikacho watu wanacoment haleluya. Kaamua kufunga wasicoment kibibi kina roho mbaya kile.
Na onekana anapenda sana ngono uyo dadaIle blog ilikua ni shida ni xxxx+ rated, dayummm uyo manzi katoka mbali na ugonjwa wake
Ile blog ilikua ni shida ni xxxx+ rated, dayummm uyo manzi katoka mbali na ugonjwa wake
Mange atakua ana shida,... Uwez chukia kila kitu, iyo ni dalili ya kujichukia mwenyew, its a psychological problem
Na kwa nini Diamond asimkule..???Mange anampenda domo
Usichukulie maisha siriaz hivyo we mkudaAnawanawake wangapi na
- anashinda na wangapi
-analala nawangapi na
-mezaa nawanganpi? Ukristo unahubiri mme mmoja kwa mke mmoja.
Amewapenda wangapi na tunajifunza nini?
Msaani ni kioo cha jamii.... Huyu anafundisha nini? Ufuska...halafu anataka ukristo ubaliki ushenzi wa tungo za udhalilishaji kwa sifa za kijuha?
Ww ni mtu mzima usiyekuwa na akili timamu so kaa pembeni. Usijikute mkiristo wakati mzandiki wa kiwango cha lami.....
Wewe una kiherehere kama Mwajuma ta*ko bovu wa magomeni.Ametuuliza sisi na mwenzako nani???
Wew kuna zingine zilikupita, alikua anazungumzia maisha ya wanawake wa tz uk, wanavyoliwa kinyume London kuna mambo meng alizungumzia mule, akuanza jana ile blog labda we umesoma juzi,Ndo maana kachizika,ile blog aliitumia kudanganya wengi,alijikweza sana
Ila mkuu mbona haikua na x mule,au waongelea blog gani?ile ilikua ya kuonyeshea mashauzi yake kisa ni muke ya muzungu