Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Huenda bado yapo ndio maana Lissu yupo huru kufanya hiyo mikutano ya hadhara.Wewe unauliza Katiba mimi nauliza maridhiano bado yapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda bado yapo ndio maana Lissu yupo huru kufanya hiyo mikutano ya hadhara.Wewe unauliza Katiba mimi nauliza maridhiano bado yapo?
Hayo nimaoni yakoNi mjinga na mwendawazimi tu atamsikiliza Mropokaji na mkurupukaji na mtu wa ndimi mbili Kama lissu,Hakuna wa kumuamini Wala kumuunga mkono,ndio maana hakuna anayefuata lolote litokalo katika mdomo wake usio na chujio Wala muunganiko na ubongo wake
Huyo mshenzi ataishia kuusikia Urais kabulini na vile hana staha ya manenoNimemsikiliza Lissu tangu juzi akiwa kariakoo na pale Kibamba leo kwa hakika ujumbe anaotema ni mzito sana sidhani kama Samia ana kifua cha kuuhimili.
Kama Magufuli aliyejiita chuma, Jiwe, Kamongo hakuweza furukuta mbele ya makombora ya Lissu nimewaza sana kuhusu Samia.
Japo taarifa za ndani zinadai mama ameshalegea lakini bado inanipa wasiwasi mkubwa kama Samia bado ana hamu na mchakato wa katiba mpya!
Lissu anarusha makombora nyie sidhani kama Samia anapata usingizi, nawaza tu anaweza kususa hata urais wenyewe siku za usoni.
Tunakoelekea ni kubaya sana na hakuna matumaini ya kuzaliwa katiba mpya kama CCM na mawakala wao wanauza nchi namna hii.
Pia soma: Tundu Lissu: Rais samia amefanya kitu cha kijinga kuliko marais wote wa Nchi hii
Ni wajinga tu wanaamini Tanzania inaweza kupata katiba Mpya inayofikirika!Nimemsikiliza Lissu tangu juzi akiwa kariakoo na pale Kibamba leo kwa hakika ujumbe anaotema ni mzito sana sidhani kama Samia ana kifua cha kuuhimili.
Kama Magufuli aliyejiita chuma, Jiwe, Kamongo hakuweza furukuta mbele ya makombora ya Lissu nimewaza sana kuhusu Samia.
Japo taarifa za ndani zinadai mama ameshalegea lakini bado inanipa wasiwasi mkubwa kama Samia bado ana hamu na mchakato wa katiba mpya!
Lissu anarusha makombora nyie sidhani kama Samia anapata usingizi, nawaza tu anaweza kususa hata urais wenyewe siku za usoni.
Tunakoelekea ni kubaya sana na hakuna matumaini ya kuzaliwa katiba mpya kama CCM na mawakala wao wanauza nchi namna hii.
Pia soma: Tundu Lissu: Rais samia amefanya kitu cha kijinga kuliko marais wote wa Nchi hii
Shekhe Ubwabwa hujambo?Huyo mshenzi ataishia kuusikia Urais kabulini na vile hana staha ya maneno
Hakika. Kama tutapata katiba mpya, muungano uwe wa serikali tatu au moja, na cheo cha makamu wa rais kiondolewe.Maza uwezo mdogo ana. Na hili liwe fundisho mambo ya cheo cha makamu wa raisi hakina maana
Hii ndio sawaHakika. Kama tutapata katiba mpya, muungano uwe wa serikali tatu au moja, na cheo cha makamu wa rais kiondolewe.
Ikitokea nafasi ya rais ikawa wazi kwa namna yoyote, uchaguzi ufanyike kujaza nafasi ndani ya miezi mitatu.
Nimewaona CCM wameitana kwenye kikao nadhani vuguvugu la Wahafidhina ndani yao linamtaka Mama adhibiti Wapinzani.Huenda bado yapo ndio maana Lissu yupo huru kufanya hiyo mikutano ya hadhara.
Auliwe na nani huyo magufuli kashamtia kilema cha maisha serikali imemwacha ajihangaikie tu. Familia yake inaishi ulaya yeye yupo huku anakula ruzuku tuNasikia mnapanga kumuua.
WafungeniHawa wapinzani ukiwakumbatia wanakuchoma huyu mama ajifunze siyo watu hawa siasa za kistaarabu hawawezi.
Hee! sasa yule mkewe mambo mengine yale anahudumiwa na nani, au wanatumia teknolojia ya Bluetooth?Familia yake inaishi ulaya yeye yupo huku anakula ruzuku tu
Kwani ndugai na Lissu unaweza wapima kwenye mizani moja?. Hizi hoja za Lissu hawa vilaza wa CCM hakuna hata mmoja anayeweza kuzijibu.Urais ulivyo Mtamu hivyo, asuse. Think twice my Bro. Hata huko USA Trump bado anang'ang"ana nao. Jikumbushe tu jinsi alivyomshughulikia Ndugai alipomjaribu.
Iko karibu sana kama unaangalia kwa jicho la tatu ! Hakuna option nyingine zaidi ya ku buy time for the time being !Katiba mpya bado sana...
Ni mimi tu niliyekuwa na uwezo wa kujibu hoja za wapinzani 😅🙏 !! Wakajifanya wajanja 😅😅🙏.Kwani ndugai na Lissu unaweza wapima kwenye mizani moja?. Hizi hoja za Lissu hawa vilaza wa CCM hakuna hata mmoja anayeweza kuzijibu.
Hawafungwi ni kuwapotezea tuWafungeni