Kwa Pesa wanazoiba, inanivunja moyo kulipa kodi

Hacha ujinga mwendazake anauhusika vipi na manunuzi ya ndege ya Mizigo,anahusika vipi na manunuzi ya vishikwambi vya kuhesabia sensa?.
Tumia kichwa mzee makalio kalia tu chooni kwisha.
Kahusika sana tu.
Soma ripoti ya CAG😃😃😃😃😃

Na bei kaongeza🤣
 
Matumizi yangu yote hua naingiza kimagendo kutoka nchi nyingine anzia mafuta yake kula, nguo, sabuni, hadi vyombo vya ndani hivo hapo hua najua namna ya kucheza nao,
Hizo ni direct tax you can exampt what about indirect tax?


Na siku wakikushika useme serikali haifai uwe mpinzani mkubwa wa ccm
 
Matumizi yangu yote hua naingiza kimagendo kutoka nchi nyingine anzia mafuta ya kula, nguo, sabuni, hadi vyombo vya ndani hivo hapo hua najua namna ya kucheza nao,
Kumbe nawe jambazi tu mmetofautiana kwenye njia mnazotumia kupiga matukio
 
Hacha ujinga mwendazake anauhusika vipi na manunuzi ya ndege ya Mizigo,anahusika vipi na manunuzi ya vishikwambi vya kuhesabia sensa?.
Tumia kichwa mzee makalio kalia tu chooni kwisha.
Mbona povu[emoji23][emoji23][emoji23] zile ndege za mwendazake risiti umeonyeshwa?
 
Una haki mkuu,kwa jinsia mambo yalivyo una haki.Samia kazi imemshinda aachie ngazi,hang'ati kabisa.Sijui nani kamng'o meno,waliomnanii Magufuli nini.Yetu macho.
 
Nilikua Raia mwema kabisa lakini sasa uzalendo uishie hapo tu, sabuni nitanunua shaza na savonor sitaki ujinga tena
Jiue kabisa wajue umemind maana hata ukigoma kulipa Kodi Wala hawatajua kama Kuna kikaragosi hakilipi Kodi tena
 
Tatzo wengine watalipa alafu zitapigwa vile vile alafu unakuta kodi yako wewe ni % 0.0000000001^,suluhu hapa ni kuingia huko huko kwenye system ili na wewe utafune kisawa sawa.(ama kutafuta connection ya upigaji hasa hao tra)
 
Una haki mkuu,kwa jinsia mambo yalivyo una haki.Samia kazi imemshinda aachie ngazi,hang'ati kabisa.Sijui nani kamng'o meno,waliomnanii Magufuli nini.Yetu macho.
Magu ndiye muasisi wa haya akisaidiana na biswalo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…