Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Kwakweli wanazingua sana,hela zinaibiwa za kutosha tu alafu bado Raisi wetu yupo kimya na kesho yake utasikia tumepewa mkopo wenye mashart Nafuuu,hizo hela zinazoibiwa akiweza kuzisimamia vizuri si tutapunguza kiasi cha kukopa nje?.
Ila mama wacha jasho limtoke tulimwambia umeachana na Uliowakuta unaingiza waliotolewa watakutia aibu wale ni majambazi sio wezi tu,akashupaza shingo leo kaishia kusema tu Pumbavuuuu,stupid haisaidiii.
Naskia jamaa kaagiza mabasi 100 na basi moja mln 300.
[emoji1787] couldn’t feel a better reaction than a serious laugh!
Kulia hakutasaidia.