Kwa Pesa wanazoiba, inanivunja moyo kulipa kodi


[emoji1787] couldn’t feel a better reaction than a serious laugh!

Kulia hakutasaidia.
 
Inasikitisha sana...

Bajaji wanalalamika kupandishiwa kodi, ambazo hizo pesa wanaenda kupandhishiana mishahara...
 
Mi nilishagoma kulipa kodi, labda wakate juu kwa juu.
Siwezi lipa kodi afu mpumbavu akafanyie upumbavu
 
😅😅😅Kodi yako haifiki serikalini wenye system wanailamba kama asali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…