Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jidanganye ,tyson was a clientTrump katika utafutaji wake aliwahi kuwa kibarua wa mpiganaji mmoja hivi huko zamani..
Alifilisika akaanza moja?Aliwahifilisika akiwa na madeni balaa. Kitendo Cha kurudi Tena kwenye game kimemjengea heshima kubwa sana.
Ndoto ya kuwa Rais alikua nayo akisema ndio kitu pekee amebakisha hapa duniani roho yake itulie.
Safi sana... Nipo mkuu, heri ya mwaka mpya?Vp ndugu yangu ivi upo?
Client maanaa yake niniJidanganye ,tyson was a client
Sasa wewe dingi yako hata mtaji wa laki moja hajakuachia alafu usipompigia simu ananunaBabu yake alianza hizi biashara za kujenga nyumba na kupangisha , sema yeye alijenga wood based or timber house ,baba Naye akaja akawa mule mule trump akaja akaua kabisa.
Waza mjukuu wake itakuwaje.
Mteja , atawewe ukienda kulala kwa hoteli zake unamlipa haimaanishi wewe ndio boss wake ila kama unaaminigi mteja ni mfalme bas yote kheri mkuu wetuClient maanaa yake nini
Watoto wa kibongo hovyo sanaUzuri wa watoto wa kizungu ukiwachia mali wanatunza
Ila Waafrika mtoto wako ukimwachia mali anaenda kut*mbea zote kumbafu
Wa kwetu ananunua maroli tu kila sikuRaisi anatakiwa awe na Uchumi mzuri siyo Raisi anaiba pesa za wananchi na kujenga maghorofa yake kijijini kwao, na kuchukua pesa za wananachi na kuwagawia Maaskofu na timu za mpira wa miguu, kwa jinsi Trump alivyo na pesa ata akitoa pesa kwa Maaskofu na timu za Basketball wananchi hawata shtuka na kusema Trump fisadi
Marekan kiwanja cha bei ndogo ni bei ganHayo majengo ukiona "Trump Tower" usifikiri mmiliki ni Trump.
Mengine wanatumia jina tu.
Kwa mfano hilo la Waikiki, soma hapa wameeleza.
"Although a part of the global Trump Hotels chain, the property was not owned by or developed by, and did not contain property sold by Donald Trump, The Trump Organization, or any of their affiliates. The hotel's owner, Irongate, licensed the Trump name from Trump Marks Waikiki LLC."
Si kiwanja tu, unaweza kununua hata nyumba kwa dola moja.Marekan kiwanja cha bei ndogo ni bei gan