Inasikitisha!!!World looks other way as Christians: βkilled for sportβ by jihadists in Nigeria | Fox News
Rights group estimates 50,000 Christians in West African nation have been killed since 2009www.foxnews.com
Yes, but Sipendelei kutumia sana hilo neno peponi.Mkuu kwa hili andiko lako ina maana binadamu atakula bata peponi kwa kipindi cha mwaka mmoja tuu, kisha atarudi duniani?
Ofcourse kuna gap kubwa hapo huwezi kua award upande Moja ukabana upande mwngnUkichunguza hii dini kwao mwanamke hana thamani zaidi ya chombo cha starehe,rubbish kabsa hawa wafuasi wa mudy wanawaza ngono ngono tu na kumwaga damu.
Tutaenda kusifu na kuabudu zaidiSasa huko kusifu na kuabudu sindiyo mnafanya hayo hayo hapa duniani,huko nako mtaenda kufanya
hayo hayo?.Basi mnatabu kotekote.
Hamna dini ya amani hapo. Uislam siku zote unaenezwa kwa mauaji na vitishoInasikitisha!!!
Halafu kikundi fulani cha wajinga waliokosa utu,ubinadamu elimu na kujaa unafiki wa kumzidi mnyama Fisi wanaandika maneno kama dini ya haki,dini ya amani.
Stupid kabisa!
Ndio ndugu zako katika imani wamechinja zaidi ya watu 200 siku ya ChristmasNdiyo nini!?.. waislam wangapi wanazini, Qur'an imeruhusu zinaa!?..papa karuhusu ushoga kubarikiwa Kama ndoa,biblia imeruhusu ushoga!?..uwe unatafakari kabla
Bush alichinja wengi tu Afghanistan na Iraq,na alitangaza ni crusade,alikua sahihi kwa Imani yake,dini inahalalisha Hilo!?Ndio ndugu zako katika imani wamechinja zaidi ya watu 200 siku ya Christmas
Nyie ndio wale wa 50/50 matokeo yake tunayaona saivi maisha magum Mungu ana Sheria zake mwanamke atapewa raha zake zingine na ataridhika kwanza mwanamke akipewa urembo na mapambo tu tayari..... Mwanaume ndio kiongozi wa kila kitu wewe umewahi ona aya Mungu kaagiza nabii mwanamke? Endeleeni na haki za wanawake Ila Mungu kashaweka daraja la hawa viumbe wake wawiliNa hao wake zenu watapata nini wakifika huko peponi?
Huo urembo wanakuwa wanataka kumringishia nani? Mwanamke anajiremba ili asifiwe na mwanaume.Umeisha ambiwa wanawake watakuwa na urembo zaidi ya mrembo yeyote unaemjua hapa duniani!.Mwanamke starehe yake ni urembo,yaani ndiyo kitu anachopenda.
Sasa unataka wapewe nini kingine ili wewe uone kuwa wamepewa kipendwa chao?.
Hivi unayetawaliwa na kiongozi mwanamke ndiyo umeandika hayo?Mwanaume ndio kiongozi wa kila kitu wewe umewahi ona aya Mungu kaagiza nabii mwanamke?
Ila Waislam bhana imagine
Kiongozi wa nchi yako ni mwanaume?Mungu kamuumba mwanamke kunisaidia mwanaume sio awe kiongozi
π π π Imagine kabisa mwamba mmoja ana mini atapewa mabikira 72 akijilipua kwenye meli kubwa kuliko uwanja wa Mkapa πDaah maneno kama haya ndiyo yanasababisha wasio na akili kuvaa mabomu na kuua watu wasio na hatia
Wale wamedhulumiwa nafsi zao, basi huenda wakaingia peponi na wale wengine wakawa mufilisi, mwishowe wakaingia motoniKwahiyo wale wakristo waliouawa Nigeria na kwingineko wanalazimishwa kukutana na vifua vilivyosimama peponi
Mbingu wanayosemaga ni uwanja wa PornKwa hiyo mnaenda kufanya uzinzi mbinguni kwa Mungu baba kweli?
Eti uchochezi[emoji1787][emoji1787]Wanawake 70 ni moja tu ya agadir kati ya ahadi nyingi...agadir hii ni katika sector ya mapenzi tu bado kuna ahadi na prize nyingi sana ambazo mwanamke nae atapata hapa kwenye Base ya mapenzi sina eliminate sana Mungu mjuzi anajua zaidi.
Watu wanaopenda uchochezi wa kidini wanapenda sana kutumia hii sehemu ya mabikra 70 kuleta uchochezi kujenga picha kama kitu kibaya bila mantiki yoyote...Swali ni je mapenzi ni kitu kibaya??
Ndugu zetu waislamu wameahidiwa makubwa pindi watakapofika peponi, na mimi naanza kujitafakari.
View attachment 2860064
View attachment 2860063
Wanawake 70 ni moja tu ya agadir kati ya ahadi nyingi...agadir hii ni katika sector ya mapenzi tu bado kuna ahadi na prize nyingi sana ambazo mwanamke nae atapata hapa kwenye Base ya mapenzi sina eliminate sana Mungu mjuzi anajua zaidi.
Watu wanaopenda uchochezi wa kidini wanapenda sana kutumia hii sehemu ya mabikra 70 kuleta uchochezi kujenga picha kama kitu kibaya bila mantiki yoyote...Swali ni je mapenzi ni kitu kibaya??