Kwa raha hizi huko peponi walioahidiwa waislamu na mimi naanza kutafakari

Kwa raha hizi huko peponi walioahidiwa waislamu na mimi naanza kutafakari

Ukichunguza hii dini kwao mwanamke hana thamani zaidi ya chombo cha starehe,rubbish kabsa hawa wafuasi wa mudy wanawaza ngono ngono tu na kumwaga damu.
Ofcourse kuna gap kubwa hapo huwezi kua award upande Moja ukabana upande mwngn
 
Inasikitisha!!!

Halafu kikundi fulani cha wajinga waliokosa utu,ubinadamu elimu na kujaa unafiki wa kumzidi mnyama Fisi wanaandika maneno kama dini ya haki,dini ya amani.

Stupid kabisa!
Hamna dini ya amani hapo. Uislam siku zote unaenezwa kwa mauaji na vitisho
 
Ndiyo nini!?.. waislam wangapi wanazini, Qur'an imeruhusu zinaa!?..papa karuhusu ushoga kubarikiwa Kama ndoa,biblia imeruhusu ushoga!?..uwe unatafakari kabla
Ndio ndugu zako katika imani wamechinja zaidi ya watu 200 siku ya Christmas
 
Na hao wake zenu watapata nini wakifika huko peponi?
Nyie ndio wale wa 50/50 matokeo yake tunayaona saivi maisha magum Mungu ana Sheria zake mwanamke atapewa raha zake zingine na ataridhika kwanza mwanamke akipewa urembo na mapambo tu tayari..... Mwanaume ndio kiongozi wa kila kitu wewe umewahi ona aya Mungu kaagiza nabii mwanamke? Endeleeni na haki za wanawake Ila Mungu kashaweka daraja la hawa viumbe wake wawili
 
Kha ni kweli yametokea! Kuna shekhe alituambia kutakuwa na mito ya pombe tamu radhatil ukijumlisha na hili la wnawake wazuri hakika hii dini ipo Safi.

Sio ile nyingine tunatishiwa tutachomwa moto
 
Na wanawake watawaongoza na watawapanda vichwani nyie madwalimu Mungu kamuumba mwanamke kunisaidia mwanaume sio awe kiongozi nyie siku hizi mpaka madhabahuni hedhi zinasimama kuwahubiria nyie mna dini dhaifu Sana mpaka Marais wameshika nchi shetani anajua namba ya kumdondosha mwanaume na Mungu tangu kwa Adam alitoa maekelezo straight kabisa mwanamke ni kwaajili ya nini na tunapata madhambi makubwa kua chini ya wanawake tutalalamika Sana Ila Mungu anaondoa baraka zake hata yeye hakushindwa kuleta mitume wanawake
 
Umeisha ambiwa wanawake watakuwa na urembo zaidi ya mrembo yeyote unaemjua hapa duniani!.Mwanamke starehe yake ni urembo,yaani ndiyo kitu anachopenda.
Sasa unataka wapewe nini kingine ili wewe uone kuwa wamepewa kipendwa chao?.
Huo urembo wanakuwa wanataka kumringishia nani? Mwanamke anajiremba ili asifiwe na mwanaume.

Tumeshaona wanaume wao watapewa hao 72 ili kukata kiu yao ya ngono. Je wanawake huo urembo ni kwa ajili ya nini?
 
Mwanaume ndio kiongozi wa kila kitu wewe umewahi ona aya Mungu kaagiza nabii mwanamke?
Hivi unayetawaliwa na kiongozi mwanamke ndiyo umeandika hayo?

Ungekuwa taleban ningekuelewa kwamba wewe ni muislam og na huwezi kutawaliwa na mwanamke😂, lkn kwa kuwa u mmatumbi og wewe u mtu wa kutawaliwa na mwanamke. tuliza komwe.
 
Kwahiyo wale wakristo waliouawa Nigeria na kwingineko wanalazimishwa kukutana na vifua vilivyosimama peponi
Wale wamedhulumiwa nafsi zao, basi huenda wakaingia peponi na wale wengine wakawa mufilisi, mwishowe wakaingia motoni
 
Wanawake 70 ni moja tu ya agadir kati ya ahadi nyingi...agadir hii ni katika sector ya mapenzi tu bado kuna ahadi na prize nyingi sana ambazo mwanamke nae atapata hapa kwenye Base ya mapenzi sina eliminate sana Mungu mjuzi anajua zaidi.

Watu wanaopenda uchochezi wa kidini wanapenda sana kutumia hii sehemu ya mabikra 70 kuleta uchochezi kujenga picha kama kitu kibaya bila mantiki yoyote...Swali ni je mapenzi ni kitu kibaya??
Eti uchochezi[emoji1787][emoji1787]
 
Wanawake 70 ni moja tu ya agadir kati ya ahadi nyingi...agadir hii ni katika sector ya mapenzi tu bado kuna ahadi na prize nyingi sana ambazo mwanamke nae atapata hapa kwenye Base ya mapenzi sina eliminate sana Mungu mjuzi anajua zaidi.

Watu wanaopenda uchochezi wa kidini wanapenda sana kutumia hii sehemu ya mabikra 70 kuleta uchochezi kujenga picha kama kitu kibaya bila mantiki yoyote...Swali ni je mapenzi ni kitu kibaya??

Mapenzi ni starehe ya duniani. Mbinguni kuna mfumo tofauti kabisa na wa kidunia. Hamuwezi geuza pepo kuwa danguro. Mwanaume mmoja wanawake 72?! Huo ni umalaya na ni kumdhalilisha mwanamke.
 
Back
Top Bottom