KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Hahaahaaa!Mtatuaji anamsubiri mtatuliwa na sherehe kaisha iandaa.Tafta mume achana na waume za watu.
Kifupi,raha anayopata Mwanamke katika migegedo ni mara kadhaa zaidi ya mwanaume.Sasa kwa nini asipende migegedo?.Wanawake hawapendi ngono?
Mo alizingua sana kwa ahadi zake fekiπ€Kifupi,raha anayopata Mwanamke katika migegedo ni mara kadhaa zaidi ya mwanaume.Sasa kwa nini asipende migegedo?.
Queen π, mimi ni mume wa mtu. Mk wangu akijua kwamba unanilazimisha nikuchakate atakuua.Hahaahaaa!Mtatuaji anamsubiri mtatuliwa na sherehe kaisha iandaa.
Wewe endelea na mazoezi in Papa's voice,jamaa alishajiweka tayari kukutatua.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Papa kamatia hapo hapo,huyu dogo anataka mume.Queen [emoji146], mimi ni mume wa mtu. Mk wangu akijua kwamba unanilazimisha nikuchakate atakuua.
We umeamini hizo porojo za uongo wa diniEndelea kutodhania mzee
ndio akili yako ilipoishia, endelea kuangamia kwa kukosa maarifa,kwa kuwa umeamua kuwa mtumwa wa Lucifer na Masih DajjalMimi nimekubaliana na ww mwanamke kaumbwa kwa ajili ya mwanaume ndio maana hata huo urembo tunautafuta kwa kuwa Kuna wanaovutiwa nao yaani wanaume.
Sasa huko peponi huo ubora anaopewa mwanamke ni upi? Kuwa mrembo kwa ajili ya nani?
Hakuna Mungu atakaye kupa ww vimwana 70 ukae unagegeda tu 24/7.
Hakuna huo upuuzi acha kushikiwa akili na waarabu ww.
Si kweli mana bi Khadija hakuwa binti bali alikuwa mtu mzima ,na kuoa wake zaidi ya 10 haikuwa kwa tamaa zake bali ni kwa rehma za AllahNjia pekee ya Mohammed kuwavutia wanaume wa kiarabu kujiunga na dini yake ilikua ni kuwapa ahadi za anasa kama hizi. Ndiyo maana mpaka Leo watu wako radhi kujilipua na mabomu ili wakafurahie endless sex kwenye danguro la peponi.
Mungu ali-design ngono kwa ajili ya kuzaliana tu ,ngono imegeuka starehe baada ya dhambi kuingia duniani. Mohamed alikua anapenda mabinti wadogo(watoto) so hata fantasy zake za peponi zinahusisha mabinti wadogo,wenye maziwa madogo.
Allah ataruhusu na pombe kabisa [emoji481][emoji481][emoji481]Sijawahi kusikua wala kuona mwanamke akiwatoroka wazazi wake kwa kuruka ukuta na kwenda kufuata kitu chochote isipokuwa Mkuyenge!.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe sinimwanamke,kuna starehe gani inayoshinda Mikuyenge yetu?.
Sasa ndiyo fahamu kwamba huko Peponi tutastarehe kwa matunda,pombe na migusanisho baina ya Mwanamke na mwanaume(misuguano).
Kwa miili mingine. Hii si inaoza.Kuna stori za dini ili kuzikubali inabidi uwe tahira kabisaπππ
Hadithi zipo kadhaa zipo zinazo sema 72 zipo zinazo sema 2. Almuhimu watakuwepo Wanawake wa peponi.Vipi kuhusu hoja yake ya mabikira 72 wapo au hawapo? Kama wapo. Je wanawake wao watapata nini?
Halafu unamwambia athibitishe kama ni utapeli. Yupo sahihi ni utapeli maana ahadi hizo ni famba.
Huwa nacheka sana, Sasa kwanini unatuona sisi hatufikirii na nyinyi ndio wagonjwa wa akili kabisa, mnafikiria kitoto sana.Una kichaa Cha dini ya kuletwa. Wahi tiba haraka sana
Mi ninachofahamu ni kwamba kuzaliana ni sifa ya hapa duniani, sasa huko umpe mimba ili iwe nini? avimbe tumbo tu? Sio hilo tu la mabikra, pia peponi kutakuwa na mito ya asali na pombe. Hakuna kuvimbiwa huko ukaanza kutafuta choo kipo wapi na wala hakuna kulewa ukarukwa na akili kama wale wa liquid!Mkuu ukipewa hao mabikira 72 hivi watakuwa na uwezo wa kupata ujauzito?
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Niffah na wewe utapata vidume 72....Ni vyema kufahamu hivyo hatovipata kila aliyekuwa Muislam, bali Muislam swafi mwenye kutenda mema na kufanya ibada kikamilifu.
Mwenye kuzingatia yale yote yaliyokatazwa, sio rahisi Sheikh!
Hapa tu umeshaanza kutamani hizo ahadi, mitihani mingine utaivuka?
Lakini, karibu katika Uislam.
Ushahidi upo wapiMi ninachofahamu ni kwamba kuzaliana ni sifa ya hapa duniani, sasa huko umpe mimba ili iwe nini? avimbe tumbo tu? Sio hilo tu la mabikra, pia peponi kutakuwa na mito ya asali na pombe. Hakuna kuvimbiwa huko ukaanza kutafuta choo kipo wapi na wala hakuna kulewa ukarukwa na akili kama wale wa liquid!
You guys should appreciate that Uislamu una-provide details zaidi ya peponi kutakuwaje. Kamuulize padri wako akwambie peponi/mbinguni mkishanyakuliwa mtapata nini? atakwambia utaimba na kusifu! how does this motivate you? unless hapa duniani ulikuwa Choir master!
Watapata kile watachoridhika nacho na zaidi ya hapo.Na wanawake wa kiislamu watapata nini?
Kimoja tu mtihani, hivyo 72 si kifo?Niffah na wewe utapata vidume 72....
ππππ like seriously
Nimeongea mengi hapo, unataka ushahidi wa kipi?Ushahidi upo wapi
Bas mdogo wanguKimoja tu mtihani, hivyo 72 si kifo?