Kwa raha hizi huko peponi walioahidiwa waislamu na mimi naanza kutafakari

Kwa raha hizi huko peponi walioahidiwa waislamu na mimi naanza kutafakari

Hizi ni hadithi za alfulelaulela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we unamuaminije mtu ambaye hajawahi fika huko
Yaani waarabu wametupiga na kitu kizito kwa kweli, halafu ukiwabana Sana na hoja hawa ndugu zangu katika imani wanakimbilia kusema unakufuru.
 
kariobangii
Sikutaka kuquote post yako sababu ni ndefu ila imenivutia sana.

Naomba kufahamu hao wanawake wa duniani watakapokuwa peponi watakuwa wanafanya mapenzi na waume zao labda? Au watabaki kuwa mapambo tu kama ulivyoeleza?
 
Swali zuri. Eti mwanamke anapenda urembo. Wakati huo urembo wanapenda ili wawavutie wanaume.
Sasa huo urembo huko peponi utakuwa na maana gani maana wanaume wenyewe watakuwa bize na vimwana 72.
Njia pekee ya Mohammed kuwavutia wanaume wa kiarabu kujiunga na dini yake ilikua ni kuwapa ahadi za anasa kama hizi. Ndiyo maana mpaka Leo watu wako radhi kujilipua na mabomu ili wakafurahie endless sex kwenye danguro la peponi.

Mungu ali-design ngono kwa ajili ya kuzaliana tu ,ngono imegeuka starehe baada ya dhambi kuingia duniani. Mohamed alikua anapenda mabinti wadogo(watoto) so hata fantasy zake za peponi zinahusisha mabinti wadogo,wenye maziwa madogo.
 
Asante kwa maelezo, Ila bado hujanijibu wanawake wanaotenda mema duniani watapewa Nini. Umesema watakuwa Bora na warembo Sana. Kuwa mrembo na Bora sio starehe hiyo.
Wakati waume zao Wana enjoy na warembo zaidi ya sabini,
Wao watakuwa wanapata enjoyment gani?
akili ya kifeminist ndio inayokuharibu.. yaani fantasy au enjoyment ya mwanamume lazima ifanane na ya mwanamke! wakati maumbile yao ni tofauti.
yaani kwa akili yako mwanamke kujiremba sio starehe? kinachokusumbua ni ufeminist
mwanamke kaumbwa kwa ajili ya mwanamume simple and clear!
 
kariobangii
Sikutaka kuquote post yako sababu ni ndefu ila imenivutia sana.

Naomba kufahamu hao wanawake wa duniani watakapokuwa peponi watakuwa wanafanya mapenzi na waume zao labda? Au watabaki kuwa mapambo tu kama ulivyoeleza?
Naam wanawake wa duniani,zawadi mojawapo watayopewa ni kuwa na waume zao huko peponi.
 
Mkiambiwa

Dini ni upumbavu muwe mnaelewa, kumbuka hayo hayatoi kichwani, yameandikwa kwenye quran. Sasa mtu mwenye akili timamu utakaa usadiki upuuzi huo?
 
akili ya kifeminist ndio inayokuharibu.. yaani fantasy au enjoyment ya mwanamume lazima ifanane na ya mwanamke! wakati maumbile yao ni tofauti.
yaani kwa akili yako mwanamke kujiremba sio starehe? kinachokusumbua ni ufeminist
mwanamke kaumbwa kwa ajili ya mwanamume simple and clear!
Umeshapanik yaani ndugu zangu katika imani mpo delicate Sana 😂😂😂 twende kwenye hoja.
Enjoyment ya mwanamke ni mwanaume huko kujiremba tunajiremba kwa sababu kuna mwanaume.
Hakuna mwanamke anayejiremba ili alale.
Sasa huko peponi wanajiremba ili iweje?
Yaani huku sisi ndio enjoyment yenu halafu peponi nyie mnapewa vigoli wenye chuchu saa sita 72 . Mwanamke yeye kazi yake kuwa mrembo 😂😂😂😂Yaani mnawaza ngono tu.
Usijifiche kwenye kichaka Cha ufeminist hapa.
Kwa hiyo mkifanya mema duniani huko mbinguni mnazawadia upwiru non stop? Maana kugegeda vimwana 72 si kazi ndogo
Kwako studio!!!!
 
Umeshapanik yaani ndugu zangu katika imani mpo delicate Sana 😂😂😂 twende kwenye hoja.
Enjoyment ya mwanamke ni mwanaume huko kujiremba tunajiremba kwa sababu kuna mwanaume.
Hakuna mwanamke anayejiremba ili alale.
Sasa huko peponi wanajiremba ili iweje?
Yaani huku sisi ndio enjoyment yenu halafu peponi nyie mnapewa vigoli wenye chuchu saa sita 72 . Mwanamke yeye kazi yake kuwa mrembo 😂😂😂😂Yaani mnawaza ngono tu.
Usijifiche kwenye kichaka Cha ufeminist hapa.
Kwa hiyo mkifanya mema duniani huko mbinguni mnazawadia upwiru non stop? Maana kugegeda vimwana 72 si kazi ndogo
Kwako studio!!!!
yaani kuambiwa ukweli ndio unasema kupanick? narudia Tena shida ni ufeminist, mwanamke kaumbwa kwa ajili ya mwanamume hiyo ndiyo nature hauwezi kupingana nayo
 
Ni vyema kufahamu hivyo hatovipata kila aliyekuwa Muislam, bali Muislam swafi mwenye kutenda mema na kufanya ibada kikamilifu.
Mwenye kuzingatia yale yote yaliyokatazwa, sio rahisi Sheikh!

Hapa tu umeshaanza kutamani hizo ahadi, mitihani mingine utaivuka?
Lakini, karibu katika Uislam.
hadith ama aya zinasema Wanawake mtapewa nini?
 
Ila ndugu zangu katika imani mnanishangaza sana aisee,

Allah kakataza uzinzi na ulevi duniani palipojaa maovu ila sehem takatifu peponi karuhusu vyote tena kuna mito ya unywaji na wanawake wa kutosha
 
yaani kuambiwa ukweli ndio unasema kupanick? narudia Tena shida ni ufeminist, mwanamke kaumbwa kwa ajili ya mwanamume hiyo ndiyo nature hauwezi kupingana nayo
Mimi nimekubaliana na ww mwanamke kaumbwa kwa ajili ya mwanaume ndio maana hata huo urembo tunautafuta kwa kuwa Kuna wanaovutiwa nao yaani wanaume.
Sasa huko peponi huo ubora anaopewa mwanamke ni upi? Kuwa mrembo kwa ajili ya nani?
Hakuna Mungu atakaye kupa ww vimwana 70 ukae unagegeda tu 24/7.
Hakuna huo upuuzi acha kushikiwa akili na waarabu ww.
 
Ila ndugu zangu katika imani mnanishangaza sana aisee,

Allah kakataza uzinzi na ulevi duniani palipojaa maovu ila sehem takatifu peponi karuhusu vyote tena kuna mito ya unywaji na wanawake wa kutosha
Hizi zitakuwa aya za mtu mwingine ILA sio Mungu Baba muumba Mbingu na Nchi
 
Ni vyema kufahamu hivyo hatovipata kila aliyekuwa Muislam, bali Muislam swafi mwenye kutenda mema na kufanya ibada kikamilifu.
Mwenye kuzingatia yale yote yaliyokatazwa, sio rahisi Sheikh!

Hapa tu umeshaanza kutamani hizo ahadi, mitihani mingine utaivuka?
Lakini, karibu katika Uislam.
Na wanawake wa kiislamu watapata nini?
 
Yaani waarabu wametupiga na kitu kizito kwa kweli, halafu ukiwabana Sana na hoja hawa ndugu zangu katika imani wanakimbilia kusema unakufuru.
Sijawahi kusikua wala kuona mwanamke akiwatoroka wazazi wake kwa kuruka ukuta na kwenda kufuata kitu chochote isipokuwa Mkuyenge!.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe sinimwanamke,kuna starehe gani inayoshinda Mikuyenge yetu?.

Sasa ndiyo fahamu kwamba huko Peponi tutastarehe kwa matunda,pombe na migusanisho baina ya Mwanamke na mwanaume(misuguano).
 
Asikudanganye mtu! Kama Shetani asingewadanganya kuwa Peponi kuna ngono na pombe,dini ya Uislamu isingekuweko duniani.
Waislam wengi wangeiacha zamani.
Kwa hiyo ukisikia wanaua na kujilipua kwa mabomu ujue ni kwa sababu ya hiyo ahadi ya Uongo.
 
Back
Top Bottom