Kwa raha hizi huko peponi walioahidiwa waislamu na mimi naanza kutafakari

Kwa raha hizi huko peponi walioahidiwa waislamu na mimi naanza kutafakari

Ajabu kweli kwamba watu wanaamini mbinguni/peponi wataishi milele jambo ambalo katika dunia yetu tunayoishi haliwezekani, lakini hapohapo wanadhihaki starehe chache tu zilizotajwa kwamba zitakuwepo huko. Lipi kubwa? kuishi milele au kupewa wanawake wenye sifa za kipekee kulinganisha na hawa wa duniani?

Inshort ni kwamba, watakaoingia peponi watapata kila ambacho nafsi zao zinatamani! i find this more rewarding than telling me eti tutaimba na kusifu milele? yani tunaenda kupewa kazi ya kutumbuiza badala ya kuzawadiwa?
Mkuu ukipewa hao mabikira 72 hivi watakuwa na uwezo wa kupata ujauzito?

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
 
hakuna jamii iliwahi kufurahi kwa kupewa wanawake kibao kama sehemu ya pongezi au kuwa na mito ya pombe maanake pombe kuzidi .walau pepo yenu ingesemekana tu kuna pombe sasa mito huoni matatizo ya duniani utahama nayo?
MKuu tuwakane sana, naomba soma between line....Tunachanganya ssanavutu.

"Ukisema hakuna jamii itafurahi kupewa wanawake kibao" unamaanisha kupewa wakiwa wapi mfano haipo sawa katika jamii yoyote ile ukimpa mtu wanawake 70 afanyenao mapenzi ni UOVU, UCHAFU na ZINAA hakuna jamii itakukubali na itakutoa akili kwanini uovu ni MUNGU amekataza.

Je hawa wanawake 70 Mungu amekupa Duniani huyu Mungu aliyekuambia kinyume na ndoa ni UCHAFU dniani ndio aliyekupa na kuruhusu wanawake 70 pepeni So mfano wako haupp valid unatolea mfano kwa Duniani huwezi kuwa sahihi....Kama mfano nikurudishie Swali nawewe sijui mengi kuhusu ukristo ila nimeona Mbinguni muta sifu na kuabudu bila kufanya kazi yoyote SWALI..Je jamii gani itakubali kuambiwa isifu na kuabudu bila kufanya kazi si watakufa njaa you see ila mimi siwezi kukuuliza swali kama hilo kwasababu najua ni mbinguni si duniani.

Hivyo tuelewe MSINGI WA MAMBO kabla ya kujadiri mzee.

POMBE
pombe sio kitu kibaya, ni kinywaji kilochokatazwa Duniani tu hili kutimiza dhumuani la kuwepo duniani ambalo ni IBADA, elewa kitu unachokiita kibaya ni kibaya kwasababu Mungu kaamrisha hiki usifanye na akiruhusu si kibaya tena.

Sasa cha ku-note wengi yale yaliyokuwa mabaya Duniani sehemu ya mtihani bado akili zao zinakuwa Confused yakiwa halali peponi na wanaanza kidhihaki kwa kuvipa majina mabaya hilli si tatizo la dini husika hili ni tatizo la mtu kukosa elimu ya dini kujua msongi wa ubaya ni nini na ulianzia wapi.

KUSIFU NA KUABUDU

Mkuu jiyahidi kuwa OPEN-MINDED usifungwe na dini yako itakupa nafasi nzuri kuelewa mambo, Kuabudu ni neno zuri na lina sound good kwa kila mtu mwenye utimamu anayeamini kwenye dini yoyote ile si mkristo, muislam, budha nk...Ila hii si mantiki, mantiki ya hapa je ibada ni nini na kwanini ibada.

Ibada ni mtililiko wa vitu na miongozo tuliyopewa binadamu kufanya hapa duniani kama njia ya kufudhu kwenda kwenye MALIPO, nikirejea swali lako pale juu Jamii yoyote ukiiambia MSIFU NA KUABUDU ni jambo zuri ila waaapi ni hapa Dunaini, ukisema tena na huko mbinguni Kuna KUSIFU NA KUABUDU inareta maswali sana kwanini sehemu ya malipp baada ya Dunia kuwe kuna muendelezo wa ufanyaji kazi (Ibada) ni nini maana ya kufanya ibada hapa duniani sasa...TRY TO THINK.

KUSIFU NA KUABUDU VS KUPEWA MABIKRA
_Kusifu na kuabudu ina sound cool kwasababu tupo Dunaini kwenye mapambano na kusifu na kuabudu ni sehemu ya mpambano lakini tunaongelea maisha ya huko peponi minaita mbinguni Je Kusifu na kuabudu ni malipp kweli ukilinganisha na kupewa wanawake 70....Yes wanawake 70 ina sound vibaya kwasababu upp duniani n duniani wanawake 70 ni Uzinzi, kwasbabu Zinaa ni mbaya nk lakini Je tujiulize hawa 70 unapewa Dunaini, je kufanya mapenzi ni kitu kizuro au kibay, je ni raha au sio raha....sasa kitu ambacho ulifanya unapata raha, kinaruhusiwa, kakupa mwenyewe Mungu kwanini kwako ukiambiwa malipo una twist alili na kuona kibaya....CONFUSED.

Naimani utaelewa ila Dini yako itakufunga tu.
 
Hujaelewa hiyo nchi mpya itakuwa haina changamoto hizi tunazopitia katika dunia ya Leo.Ni full shangwe hakuna kifo,hakuna magonjwa nk
Usitumie hisia tumia facts, unasemaje haina changamoto nawakati inafanya kazi sawa na dunia tuliyonayo sasa Salar system, energy, Ecosytem nk.

Uwepo wa Solar system means joto litawepo, mvua kubwa mpaka mafuriko itawepo, Ecosystem means wanyama watauana hadi chui atakuua wewe binadamu for food.

Tuanche Hisia tutumie akili kujua usahihi.
 
Ajabu kweli kwamba watu wanaamini mbinguni/peponi wataishi milele jambo ambalo katika dunia yetu tunayoishi haliwezekani, lakini hapohapo wanadhihaki starehe chache tu zilizotajwa kwamba zitakuwepo huko. Lipi kubwa? kuishi milele au kupewa wanawake wenye sifa za kipekee kulinganisha na hawa wa duniani?

Inshort ni kwamba, watakaoingia peponi watapata kila ambacho nafsi zao zinatamani! i find this more rewarding than telling me eti tutaimba na kusifu milele? yani tunaenda kupewa kazi ya kutumbuiza badala ya kuzawadiwa?
AND THINKING LOOL LIKE.

Haya mambo yanahitaji uwelewa sana watu wangepata faida sana wangekuwa OPEN-MINDED humu ingekuwa njia ya mtu kujua ipi dini sahihi na kipi kina make sense.

Nimejitahidi sana kuwailimisha watu hiki ulichoandika.
 
Mwanamalundi anastahili kuabudiwa kama Nabii wa kwanza wa Kiafrika kusini mwa Jangwa la Sahara.

Bila hivyo Mungu anakuwa mbaguzi wa Rangi.
 
MKuu tuwakane sana, naomba soma between line....Tunachanganya ssanavutu.

"Ukisema hakuna jamii itafurahi kupewa wanawake kibao" unamaanisha kupewa wakiwa wapi mfano haipo sawa katika jamii yoyote ile ukimpa mtu wanawake 70 afanyenao mapenzi ni UOVU, UCHAFU na ZINAA hakuna jamii itakukubali na itakutoa akili kwanini uovu ni MUNGU amekataza.

Je hawa wanawake 70 Mungu amekupa Duniani huyu Mungu aliyekuambia kinyume na ndoa ni UCHAFU dniani ndio aliyekupa na kuruhusu wanawake 70 pepeni So mfano wako haupp valid unatolea mfano kwa Duniani huwezi kuwa sahihi....Kama mfano nikurudishie Swali nawewe sijui mengi kuhusu ukristo ila nimeona Mbinguni muta sifu na kuabudu bila kufanya kazi yoyote SWALI..Je jamii gani itakubali kuambiwa isifu na kuabudu bila kufanya kazi si watakufa njaa you see ila mimi siwezi kukuuliza swali kama hilo kwasababu najua ni mbinguni si duniani.

Hivyo tuelewe MSINGI WA MAMBO kabla ya kujadiri mzee.

POMBE
pombe sio kitu kibaya, ni kinywaji kilochokatazwa Duniani tu hili kutimiza dhumuani

MKuu tuwakane sana, naomba soma between line....Tunachanganya ssanavutu.

"Ukisema hakuna jamii itafurahi kupewa wanawake kibao" unamaanisha kupewa wakiwa wapi mfano haipo sawa katika jamii yoyote ile ukimpa mtu wanawake 70 afanyenao mapenzi ni UOVU, UCHAFU na ZINAA hakuna jamii itakukubali na itakutoa akili kwanini uovu ni MUNGU amekataza.

Je hawa wanawake 70 Mungu amekupa Duniani huyu Mungu aliyekuambia kinyume na ndoa ni UCHAFU dniani ndio aliyekupa na kuruhusu wanawake 70 pepeni So mfano wako haupp valid unatolea mfano kwa Duniani huwezi kuwa sahihi....Kama mfano nikurudishie Swali nawewe sijui mengi kuhusu ukristo ila nimeona Mbinguni muta sifu na kuabudu bila kufanya kazi yoyote SWALI..Je jamii gani itakubali kuambiwa isifu na kuabudu bila kufanya kazi si watakufa njaa you see ila mimi siwezi kukuuliza swali kama hilo kwasababu najua ni mbinguni si duniani.

Hivyo tuelewe MSINGI WA MAMBO kabla ya kujadiri mzee.

POMBE
pombe sio kitu kibaya, ni kinywaji kilochokatazwa Duniani tu hili kutimiza dhumuani la kuwepo duniani ambalo ni IBADA, elewa kitu unachokiita kibaya ni kibaya kwasababu Mungu kaamrisha hiki usifanye na akiruhusu si kibaya tena.

Sasa cha ku-note wengi yale yaliyokuwa mabaya Duniani sehemu ya mtihani bado akili zao zinakuwa Confused yakiwa halali peponi na wanaanza kidhihaki kwa kuvipa majina mabaya hilli si tatizo la dini husika hili ni tatizo la mtu kukosa elimu ya dini kujua msongi wa ubaya ni nini na ulianzia wapi.

KUSIFU NA KUABUDU

Mkuu jiyahidi kuwa OPEN-MINDED usifungwe na dini yako itakupa nafasi nzuri kuelewa mambo, Kuabudu ni neno zuri na lina sound good kwa kila mtu mwenye utimamu anayeamini kwenye dini yoyote ile si mkristo, muislam, budha nk...Ila hii si mantiki, mantiki ya hapa je ibada ni nini na kwanini ibada.

Ibada ni mtililiko wa vitu na miongozo tuliyopewa binadamu kufanya hapa duniani kama njia ya kufudhu kwenda kwenye MALIPO, nikirejea swali lako pale juu Jamii yoyote ukiiambia MSIFU NA KUABUDU ni jambo zuri ila waaapi ni hapa Dunaini, ukisema tena na huko mbinguni Kuna KUSIFU NA KUABUDU inareta maswali sana kwanini sehemu ya malipp baada ya Dunia kuwe kuna muendelezo wa ufanyaji kazi (Ibada) ni nini maana ya kufanya ibada hapa duniani sasa...TRY TO THINK.

KUSIFU NA KUABUDU VS KUPEWA MABIKRA
_Kusifu na kuabudu ina sound cool kwasababu tupo Dunaini kwenye mapambano na kusifu na kuabudu ni sehemu ya mpambano lakini tunaongelea maisha ya huko peponi minaita mbinguni Je Kusifu na kuabudu ni malipp kweli ukilinganisha na kupewa wanawake 70....Yes wanawake 70 ina sound vibaya kwasababu upp duniani n duniani wanawake 70 ni Uzinzi, kwasbabu Zinaa ni mbaya nk lakini Je tujiulize hawa 70 unapewa Dunaini, je kufanya mapenzi ni kitu kizuro au kibay, je ni raha au sio raha....sasa kitu ambacho ulifanya unapata raha, kinaruhusiwa, kakupa mwenyewe Mungu kwanini kwako ukiambiwa malipo una twist alili na kuona kibaya....CONFUSED.

Naimani utaelewa ila Dini yako itakufunga tu.

MKuu tuwakane sana, naomba soma between line....Tunachanganya ssanavutu.

"Ukisema hakuna jamii itafurahi kupewa wanawake kibao" unamaanisha kupewa wakiwa wapi mfano haipo sawa katika jamii yoyote ile ukimpa mtu wanawake 70 afanyenao mapenzi ni UOVU, UCHAFU na ZINAA hakuna jamii itakukubali na itakutoa akili kwanini uovu ni MUNGU amekataza.

Je hawa wanawake 70 Mungu amekupa Duniani huyu Mungu aliyekuambia kinyume na ndoa ni UCHAFU dniani ndio aliyekupa na kuruhusu wanawake 70 pepeni So mfano wako haupp valid unatolea mfano kwa Duniani huwezi kuwa sahihi....Kama mfano nikurudishie Swali nawewe sijui mengi kuhusu ukristo ila nimeona Mbinguni muta sifu na kuabudu bila kufanya kazi yoyote SWALI..Je jamii gani itakubali kuambiwa isifu na kuabudu bila kufanya kazi si watakufa njaa you see ila mimi siwezi kukuuliza swali kama hilo kwasababu najua ni mbinguni si duniani.

Hivyo tuelewe MSINGI WA MAMBO kabla ya kujadiri mzee.

POMBE
pombe sio kitu kibaya, ni kinywaji kilochokatazwa Duniani tu hili kutimiza dhumuani la kuwepo duniani ambalo ni IBADA, elewa kitu unachokiita kibaya ni kibaya kwasababu Mungu kaamrisha hiki usifanye na akiruhusu si kibaya tena.

Sasa cha ku-note wengi yale yaliyokuwa mabaya Duniani sehemu ya mtihani bado akili zao zinakuwa Confused yakiwa halali peponi na wanaanza kidhihaki kwa kuvipa majina mabaya hilli si tatizo la dini husika hili ni tatizo la mtu kukosa elimu ya dini kujua msongi wa ubaya ni nini na ulianzia wapi.

KUSIFU NA KUABUDU

Mkuu jiyahidi kuwa OPEN-MINDED usifungwe na dini yako itakupa nafasi nzuri kuelewa mambo, Kuabudu ni neno zuri na lina sound good kwa kila mtu mwenye utimamu anayeamini kwenye dini yoyote ile si mkristo, muislam, budha nk...Ila hii si mantiki, mantiki ya hapa je ibada ni nini na kwanini ibada.

Ibada ni mtililiko wa vitu na miongozo tuliyopewa binadamu kufanya hapa duniani kama njia ya kufudhu kwenda kwenye MALIPO, nikirejea swali lako pale juu Jamii yoyote ukiiambia MSIFU NA KUABUDU ni jambo zuri ila waaapi ni hapa Dunaini, ukisema tena na huko mbinguni Kuna KUSIFU NA KUABUDU inareta maswali sana kwanini sehemu ya malipp baada ya Dunia kuwe kuna muendelezo wa ufanyaji kazi (Ibada) ni nini maana ya kufanya ibada hapa duniani sasa...TRY TO THINK.

KUSIFU NA KUABUDU VS KUPEWA MABIKRA
_Kusifu na kuabudu ina sound cool kwasababu tupo Dunaini kwenye mapambano na kusifu na kuabudu ni sehemu ya mpambano lakini tunaongelea maisha ya huko peponi minaita mbinguni Je Kusifu na kuabudu ni malipp kweli ukilinganisha na kupewa wanawake 70....Yes wanawake 70 ina sound vibaya kwasababu upp duniani n duniani wanawake 70 ni Uzinzi, kwasbabu Zinaa ni mbaya nk lakini Je tujiulize hawa 70 unapewa Dunaini, je kufanya mapenzi ni kitu kizuro au kibay, je ni raha au sio raha....sasa kitu ambacho ulifanya unapata raha, kinaruhusiwa, kakupa mwenyewe Mungu kwanini kwako ukiambiwa malipo una twist alili na kuona kibaya....CONFUSED.

Naimani utaelewa ila Dini yako itakufu

MKuu tuwakane sana, naomba soma between line....Tunachanganya ssanavutu.

"Ukisema hakuna jamii itafurahi kupewa wanawake kibao" unamaanisha kupewa wakiwa wapi mfano haipo sawa katika jamii yoyote ile ukimpa mtu wanawake 70 afanyenao mapenzi ni UOVU, UCHAFU na ZINAA hakuna jamii itakukubali na itakutoa akili kwanini uovu ni MUNGU amekataza.

Je hawa wanawake 70 Mungu amekupa Duniani huyu Mungu aliyekuambia kinyume na ndoa ni UCHAFU dniani ndio aliyekupa na kuruhusu wanawake 70 pepeni So mfano wako haupp valid unatolea mfano kwa Duniani huwezi kuwa sahihi....Kama mfano nikurudishie Swali nawewe sijui mengi kuhusu ukristo ila nimeona Mbinguni muta sifu na kuabudu bila kufanya kazi yoyote SWALI..Je jamii gani itakubali kuambiwa isifu na kuabudu bila kufanya kazi si watakufa njaa you see ila mimi siwezi kukuuliza swali kama hilo kwasababu najua ni mbinguni si duniani.

Hivyo tuelewe MSINGI WA MAMBO kabla ya kujadiri mzee.

POMBE
pombe sio kitu kibaya, ni kinywaji kilochokatazwa Duniani tu hili kutimiza dhumuani la kuwepo duniani ambalo ni IBADA, elewa kitu unachokiita kibaya ni kibaya kwasababu Mungu kaamrisha hiki usifanye na akiruhusu si kibaya tena.

Sasa cha ku-note wengi yale yaliyokuwa mabaya Duniani sehemu ya mtihani bado akili zao zinakuwa Confused yakiwa halali peponi na wanaanza kidhihaki kwa kuvipa majina mabaya hilli si tatizo la dini husika hili ni tatizo la mtu kukosa elimu ya dini kujua msongi wa ubaya ni nini na ulianzia wapi.

KUSIFU NA KUABUDU

Mkuu jiyahidi kuwa OPEN-MINDED usifungwe na dini yako itakupa nafasi nzuri kuelewa mambo, Kuabudu ni neno zuri na lina sound good kwa kila mtu mwenye utimamu anayeamini kwenye dini yoyote ile si mkristo, muislam, budha nk...Ila hii si mantiki, mantiki ya hapa je ibada ni nini na kwanini ibada.

Ibada ni mtililiko wa vitu na miongozo tuliyopewa binadamu kufanya hapa duniani kama njia ya kufudhu kwenda kwenye MALIPO, nikirejea swali lako pale juu Jamii yoyote ukiiambia MSIFU NA KUABUDU ni jambo zuri ila waaapi ni hapa Dunaini, ukisema tena na huko mbinguni Kuna KUSIFU NA KUABUDU inareta maswali sana kwanini sehemu ya malipp baada ya Dunia kuwe kuna muendelezo wa ufanyaji kazi (Ibada) ni nini maana ya kufanya ibada hapa duniani sasa...TRY TO THINK.

KUSIFU NA KUABUDU VS KUPEWA MABIKRA
_Kusifu na kuabudu ina sound cool kwasababu tupo Dunaini kwenye mapambano na kusifu na kuabudu ni sehemu ya mpambano lakini tunaongelea maisha ya huko peponi minaita mbinguni Je Kusifu na kuabudu ni malipp kweli ukilinganisha na kupewa wanawake 70....Yes wanawake 70 ina sound vibaya kwasababu upp duniani n duniani wanawake 70 ni Uzinzi, kwasbabu Zinaa ni mbaya nk lakini Je tujiulize hawa 70 unapewa Dunaini, je kufanya mapenzi ni kitu kizuro au kibay, je ni raha au sio raha....sasa kitu ambacho ulifanya unapata raha, kinaruhusiwa, kakupa mwenyewe Mungu kwanini kwako ukiambiwa malipo una twist alili na kuona kibaya....CONFUSED.

Naimani utaelewa ila Dini yako itakufunga tu.
🚮🚮🚮🚮
 
AND THINKING LOOL LIKE.

Haya mambo yanahitaji uwelewa sana watu wangepata faida sana wangekuwa OPEN-MINDED humu ingekuwa njia ya mtu kujua ipi dini sahihi na kipi kina make sense.

Nimejitahidi sana kuwailimisha watu hiki ulichoandika.
Kama kuelimisha kwenyewe ndiyo hivi we have a very long way to go
 
Kwa sababu kumwabudu Mungu kwako ni adhabu,unaweza sema hivyo.Ila mbingu waliyohaidiwa wakristo haina njaa wala kiu.Mda wote mnafurahi na kuimba.Hivi umeshawahi kwenda kwenye sherehe ?Watu kuimba na kucheza ni raha .Ndo maana katika makabila na jamii zote nyimbo na machezo vinaonyesha furaha.Ila hakuna jamii iliwahi kufurahi kwa kupewa wanawake kibao kama sehemu ya pongezi au kuwa na mito ya pombe maanake pombe kuzidi .walau pepo yenu ingesemekana tu kuna pombe sasa mito huoni matatizo ya duniani utahama nayo?
Hivi unaelewa sifa ya pombe ya peponi? Soma Quran utaipata humo sio waragi au konyagi bro

37;46
ni nyeupe rangi yake, ni tamu kwenye kuinywa

37;47
haina madhara yoyote ya mwili Wala akili


Kifupi hakuna hangover ni pary milele ghorofani daaah alhamdulillah jamn mola atujulie kufika huko aaamin
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo si ili waattract wanaume ..wapate maisha....we kina vera sidika bila ule mwili unadhani angeishi vile...asa huko mbinguni ehe kapewa urembo wat next...bac we mpe demu wako urembo tu afu tuone kama hautapigiwa na wahuni
Mkuu!Hayo ya kupigiwa sijui na nini huko,ni mambo za hapa Dunia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mungu hajawahi niambia hayo Mimi...nimeskia kwa muarabu wenu mwenye nyege za wanaume 30
30 tu roho inakuuma!Vipi Suleiman aliyeewa za wanawake 1000,sindiyo utaweuka kabisa.Mungu apangiwi wewe.
 
Allah aliona njia pekee ya kushawishi wanaume wamuabudu ni kuwaahidi wanawake wazuri mbinguni.

Mbingu ya allah itakua kama danguro, itakua inanuka kyuma muda wote kwa sababu wanaume kazi yao itakua ni mtombo, pombe, mtombo, pombe, mtombo pombe. Mbingu itakua kama danguro.

Mbaya zaidi Allah hana ahadi yoyote aliyowapa wanawake wa hapa Duniani kwani tayari wanaume walishaahidiwa mabikra 72 ila wanawake hakuna kitu.

Hii sio dini, ni hadithi za watu wenye matatizo ya ubongo.
Tafuta pesa alafu ndiyo utajua kwa nini Casino hawaingii masikini.
 
Simpangii Mungu ila hata wewe unaona kabisa it doesn’t make sense. Ni vile tu dini imekutia hofu kuhoji. Peponi (ambapo tunaamini ni mahali patakatifu) tunaenda na nyege?? Yani muwe mnatiana huko mnamwaga manii zenu?!! Hiyo pepo au danguro la uzinzi?
Mkuu,kwani ile harusi ilikwisha andaliwa na Yesu huko Mbinguni, wewe unaona ni utani?.
Sasa kama Yesu alishajiandalia sherehe na anamsubiri Bibiharusi tu,wewe ni nani upinge?.
 
Hii mbingu ina ahadi za ajabu aisee.Imagine pia kutakuwa na mito ya pombe.sasa utakunywa say ngapi na wewe una mabikra 72
Muulize Suleiman aliwezaje na wakati alikuwa na wanawake 1000.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
So ukishawamaliza hapo bikira zoezi ndo limeisha au utapewa Tena wengine au bikira zao zinarudia kuwa bikira tena
Hichi kitabu kina stori za kijinga sana Huwa nacheka tu 😂😂😂

Hata biblia yule punda aliyegoma kutembea akaongea, Huwa inafurahisha sana
 
Niamini au nisiamini bado andiko Hilo la Yesu halifutiki.
Andiko lingine la Yesu anasema mbinguni hakuna kuoa au kuolewa .Endelea kuliamini na hili basi

Luka 20
34 Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa;

35 lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na kule kufufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi;

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom