Babu Marasta
Member
- Nov 2, 2017
- 57
- 91
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi unasoma vizuri namna unavyoandika?Hua spending kuandika monies yanayolenga uchochezi wa kidini, ila pepo ya Walsham imekuwa more TANGIBLE dini yoyote ukimuuliza atakwambia wanapewa mabikra nk nk, vitu vingi vimesemwa ila sijawahi kusikia dini nyingine inanimate details zozote kuhusu wao wanaamini nini baada ya kufa wanaenda wapi.
Kama wewe mkristo naomba nielimkshe mumeahidiwa nini huko
Wewe ndio umepotoka mkuuMungu ndiyo nani ndugu. Acha upotofu
Wewe ndiye Mungu hata ummpangie?.
Hizo ahadi aziwahusu waisilamu wote,mfano wazizi wezi wachawi wasio swali swala 5 nkNdugu zetu waislamu wameahidiwa makubwa pindi watakapofika peponi, na mimi naanza kujitafakari.
View attachment 2860064
View attachment 2860063
Kwenye dini yako amabayo sio ya kukandamiza nitajie Mtume wa kike[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi story zimetungwa na wanaume....elewa Hilo kwanza...dini yenu nzima is based on kukandamiza wanawake unategemea mtume wa kike atoke wapi
Sio michepuko Jambo lakwanza ukikabidhiwa hekalu lako Mungu anakuozesha hao mabikra pamoja na wake zako unakua nao pia tenda wema shekhUnasemaje? Peponi ni mume na mke wake na michepuko 72.
Peponi ni makazi yameandaliwa nyie nendeni pepo yenu ya kuimba na kusifu sisi mtuache Nani anataka kuteseka duniani na peponi tumieni akiliSimpangii Mungu ila hata wewe unaona kabisa it doesn’t make sense. Ni vile tu dini imekutia hofu kuhoji. Peponi (ambapo tunaamini ni mahali patakatifu) tunaenda na nyege?? Yani muwe mnatiana huko mnamwaga manii zenu?!! Hiyo pepo au danguro la uzinzi?
Wide off the mark..Bush alitumia dini kugain American support...alijua alichokuwa anakifanya
Umeongea kimhemko sana pole.Ukichunguza hii dini kwao mwanamke hana thamani zaidi ya chombo cha starehe,rubbish kabsa hawa wafuasi wa mudy wanawaza ngono ngono tu na kumwaga damu.
Kwanini tunakosa akili basic kabla ya kuingia ndani zaidi ya mambo ya kidini...mimi ndhani tuanze kujifunza MSINGI WA MAMBO kwanza hii itafanya mjadara au kuelewa kwa urahisi inaonesha watu wengi kama wewe hamuna BASIC ya mambo na wengi hata ukiamua kuwa in positive way kumfunza anaendela kenehi ndio maana nimeamua nisichangie tu hii mada.Mapenzi ni starehe ya duniani. Mbinguni kuna mfumo tofauti kabisa na wa kidunia. Hamuwezi geuza pepo kuwa danguro. Mwanaume mmoja wanawake 72?! Huo ni umalaya na ni kumdhalilisha mwanamke.
Basi utuambie wewe baba yake Yesu ni nani, na utuambie kwanini waislam wanamuita Issa bin Mariam na siyo Issa bin (Baba yake), Yesu ndio first born wadogo zake wote wana babaSo we kwa akili zako timamu bikra alizaa ..ehe na James kaka yake yesu amezaliwaje
Sasa kama dini ni utapeli mbona unaamini habari za mabikira 70, au mnachagua kuamini vile mnavyoona vina maslahi kwenu tofauti na hapo mnasema ni uongo, kuamini habari za mabikira 70 peponi huna tofauti na wanaoamini bikira alizaa[emoji23]Dini ni utapeli ..mi nikishaona mtu ananiambia "Mungu yupo kila mahali ila amenichagua Mimi kukuambia hivi na anataka hivi" mi naona Hana tofauti na chuma ulete wale
Hivyo vitabu vya dini vina contradictions kemkem, nikikuwekea huwezi kuzipangua hapa.
Bisha halafu taja kitabu chako nikuwekewapi,
Wewe unaamini umetokea wapi, umetokeatokea vipi??
Nini dhumuni la kuishi wewe??