Kwa raha hizi huko peponi walioahidiwa waislamu na mimi naanza kutafakari

Kwa raha hizi huko peponi walioahidiwa waislamu na mimi naanza kutafakari

Mkuu tendo la ndoa kwa Mungu ni uchafu haijalishi linafanywa na akina nani hivyo haliwezi kuwepo huko mbinguni mahali pake patakatifu, liliwekwa tu hapa duniani kwa ajili ya starehe na kuzaliana na ndio maana hata wanyama na viumbe vingine nao wanalifanya, na pia ndio maana hata Yesu alizaliwa bila baba tena kwa mwanamke Bikira hilo tu lilitosha kuonesha Mungu analichukuliaje tendo la ndoa
Akili kubwa🤒
 
Mkuu tendo la ndoa kwa Mungu ni uchafu haijalishi linafanywa na akina nani hivyo haliwezi kuwepo huko mbinguni mahali pake patakatifu, liliwekwa tu hapa duniani kwa ajili ya starehe na kuzaliana na ndio maana hata wanyama na viumbe vingine nao wanalifanya, na pia ndio maana hata Yesu alizaliwa bila baba tena kwa mwanamke Bikira hilo tu lilitosha kuonesha Mungu analichukuliaje tendo la ndoa
Yesu kwa ukamilifu wake hakudiliki kabisa kufanya tendo la Ndoa.

Kwakuwa kama ulivyosema, limewekwa ili wanyama wazaliane tu.

Tendo la Ndoa ni uchafu mbele za Mungu.
Ndio maana hajaliruhusu kuwa sehemu ya starehe ya mwanadamu.

Inajulikana na wenye ufahamu wote kuwa huyo aliyejiita mtume ni mtu wa namna gani.
Sina haja ya kusema.
 
Mohammed hawezi kuwa mtukufu[emoji26],unakumbuka mauaji ya Khyber? Ambapo waliua wanaume wote wa jamii ya kiyahudi, watoto walikua wanakaguliwa vuzi. Akikutwa vimeanza kuota tu hata kama ni nywele moja iliku anakatwa kichwa.

Kali zaidi walimuua kiongozi wa eneo lile pamoja na mume wa Safiya. Kisha wafuasi wa Mohamed wakagawana wanawake mateka wa vita. Dihya al-Kalbi alimchukua Safiya kama zawadi yake ya vita,kisha mmoja wa wafuasi wa Mohammed akamletea taarifa kwamba Dihya amechukua demu mkali kuliko wote pale Khyber.

Mohammed akatuma ujumbe kwa Dihya kwamba amlete Binti Safiya,akampa chaguo la wanawake mateka wawili wa vita ili yeye abaki na Safiya. Dihya alikubali kwa shingo upande kisha Mohammed akamuoa Safiya siku hiyo hiyo na kumlala usiku wake.

Swali linakuja,nabii gani huyu ambaye unamwita mtakatifu anakua na roho ya kikatili na tamaa za ngono kupitiliza? Unamuoaje mwanamke ambaye umechinja Baba yake,umemtesa mumewe kwa kumchoma na moto kifua kisha ukaamrisha akatwe kichwa?

Nabii ambaye baada ya kusikia uzuri wa Safiya akaingiwa na tamaa na kumnyang'anya mfuasi wake demu ? Nabii ambaye Hana huruma,haya wala binadamu,nawaza tu maumivu na uchungu aliokuwa nao Safiya wakati anapandwa na Mohamed.

Pia Mohammed alivunja sheria yenu inayomtaka mwanamke aliyeachika kukaa miezi mitatu kabla ya kumvulia nguo mume mwingine. Mtume wenu sio mfano wa kuigwa na ndiyo maana hata pepo yenu imejaa fantasy zake za ngono tu. Kusuhu umri wa Mary Mimi sijui labda uniambie wewe,pia usijaribu kuhalalisha makosa ya Mohammed kwa kutafuta makosa ya upande wa pili kwa maana huta yapata.
Mkuu hata kumuoa Safiya ni hikma za Allah zilimuongoza hakuwa anajichukulia mwanamke kwa idhini yake na hiyo ilifanyika ili kupunguza uadui dhidi ya wayahudi


Allah ndo mjuzi zaidi

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
 
Daah tunajarbu kuelemishana kutoka kwenye huu utumwa lakini wenzetu hata hawatuungi mkono so, safari bado ni ndefu mnoo
 
Ndugu zetu waislamu wameahidiwa makubwa pindi watakapofika peponi, na mimi naanza kujitafakari.

View attachment 2860064
View attachment 2860063
Screenshot_20231202-212400.png
 
Ni kitu kizuri kwamba tayari unakiri utukufu wa Muhammad (SAW) kwa kukiri uwepo wa mengi mazuri aliyofanya, japo unatatazika na kumuoa kwake Aisha katika umri mdogo. Sasa kabla sijakuelemisha naomba kwanza tuambie Mary alipomzaa Jesus alikuwa na miaka mingapi???

Kumbuka tumekubaliana ukubwa unaanzania miaka 18 siku hizi! chini ya hapo ni mtoto na ni unyanyasaji wa haki za watoto, si ndio?
Kipindi analala na aisha alikuwa hajavunja ungo acha maneno
 
Akitamani mwanamke tu anasema hikma za Allah na ole wenu mbishe mtakoma
Hata alipo muoa kwa lazima mke wa mtoto wake wa kufikia Zayd ilisemwa ni hakima za Allah.
Huyo Allah ndiye anayebariki kupora wake za Watu
Huyo mtume ni Kirusi kipenda Ngono
 
Ni vyema kufahamu hivyo hatovipata kila aliyekuwa Muislam, bali Muislam swafi mwenye kutenda mema na kufanya ibada kikamilifu.
Mwenye kuzingatia yale yote yaliyokatazwa, sio rahisi Sheikh!

Hapa tu umeshaanza kutamani hizo ahadi, mitihani mingine utaivuka?
Lakini, karibu katika Uislam.
Wewe utapata nini?
 
Hata alipo muoa kwa lazima mke wa mtoto wake wa kufikia Zayd ilisemwa ni hakima za Allah.
Huyo Allah ndiye anayebariki kupora wake za Watu
Huyo mtume ni Kirusi kipenda Ngono
we hayawani ushazoeleka utumbo wako,hujawahi kuwa na akili hata siku moja
 
Mabikra 7 hivi huko peponi kuna kazi nyingine zaidi ya kuzagamuana?
 
Kwa io huko peponi ni miguno tu full time!
 
Mkuu hata kumuoa Safiya ni hikma za Allah zilimuongoza hakuwa anajichukulia mwanamke kwa idhini yake na hiyo ilifanyika ili kupunguza uadui dhidi ya wayahudi


Allah ndo mjuzi zaidi

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂😂 Hekima zipi? Alimgawa binti wa watu kama mtumwa wa ngono kwa mfuasi wake,aliposikia kwamba ni pisi Kali akamnyang'anya. Sio hivyo tu,wakati anamkula binti wa watu usiku ule kuna mfuasi wa Mohammed hakua na amani,alikesha nje ya turubai la Mohammad mpaka asubuhi.

Mohammed alipomkuta nje asubuhi akamuuliza unafanya nini hapa? Akajibu alikua hana amani na Safiya kwa sababu wameua familia yake yote so alihofia labda angeweza kumdhuru Mohammed usiku ule. Hizi ndiyo hekima za Allah? Kukosa kwake akili kulimfanya mpaka apewe chakula chenye sumu kilichokuja kumuua.
 
Ni vyema kufahamu hivyo hatovipata kila aliyekuwa Muislam, bali Muislam swafi mwenye kutenda mema na kufanya ibada kikamilifu.
Mwenye kuzingatia yale yote yaliyokatazwa, sio rahisi Sheikh!

Hapa tu umeshaanza kutamani hizo ahadi, mitihani mingine utaivuka?
Lakini, karibu katika Uislam.
Sijui kwanini comment yako nimeisoma kwa sauti ya kama ya mashehe hahaha, napendaga sana wanapoanza kwa kusema "Ndugu zangu Waislamu".

Anyway sina noma na usilamu nimekulia familia yenye watu aina zote.
 
Back
Top Bottom