kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Mtu anaejiamini anamfukuza mwizi kimyakimya bila kupiga kelele, hata wanyama wanaojiamini habweki sana wakiona adui yao.
Kuna wakati Watanzania walitaka kuaminishwa kuwa makelele mengi hadharani ni dalili njema za kujiamini na uongozi bora, lakini sasa imedhihilika kuwa sio kelele nyingi zinazoleta matokeo chanya kwenye kila jambo. Watu tumeanza kumuelewa mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Tanzania na ametufundisha somo kuwa mbwembwe nyingi sio sehemu ya uongozi bora.
Viongozi wote hata wa kwenye ngazi ya familia tumepata kiigizo chema na somo kuhusu uongozi. Sisi tunahitaji kuona matokeo maji yakitiririka kwenye mabonda, umeme ukiwaka nchi nzima, barabara zikijengwa, watoto wanakwenda shule na majambazi wakinyang'anya silaha zao hukohuko vichakani walikojificha na sio makelele ya kuyataja majina yote ya Rais mara 100 kwenye kila mkutano wakati output hakuna.
Wanawake jamaniee hawana mambo mengi, wana aibu, hawahongi na wanapenda sifa, hivyo sio wezi kama mijianaumeeee.
Tumechelewa wapi sie kuchagua wapiga dili miaka yote hiyo?? Mungu atusamehe ssi kwa dhambi hiyo.
Mwaka 2025 sintapepesa macho.
Kuna wakati Watanzania walitaka kuaminishwa kuwa makelele mengi hadharani ni dalili njema za kujiamini na uongozi bora, lakini sasa imedhihilika kuwa sio kelele nyingi zinazoleta matokeo chanya kwenye kila jambo. Watu tumeanza kumuelewa mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Tanzania na ametufundisha somo kuwa mbwembwe nyingi sio sehemu ya uongozi bora.
Viongozi wote hata wa kwenye ngazi ya familia tumepata kiigizo chema na somo kuhusu uongozi. Sisi tunahitaji kuona matokeo maji yakitiririka kwenye mabonda, umeme ukiwaka nchi nzima, barabara zikijengwa, watoto wanakwenda shule na majambazi wakinyang'anya silaha zao hukohuko vichakani walikojificha na sio makelele ya kuyataja majina yote ya Rais mara 100 kwenye kila mkutano wakati output hakuna.
Wanawake jamaniee hawana mambo mengi, wana aibu, hawahongi na wanapenda sifa, hivyo sio wezi kama mijianaumeeee.
Tumechelewa wapi sie kuchagua wapiga dili miaka yote hiyo?? Mungu atusamehe ssi kwa dhambi hiyo.
Mwaka 2025 sintapepesa macho.