Kwa Rais Samia nchi inakwenda bila makelele

Kwa Rais Samia nchi inakwenda bila makelele

kinachoshangaza ni kujaribu kumpaisha mama kwa kuwashusha wengine...

nijuavyo, mama ana mazurii yake na aliyepita ana mazuri yake pia

nakushauri kama lengo ni kumsifia mama, msifia bila kumlinganisha na watu wengine

usijeumbuka.
Kusema London ni kuzuri kuliko Mahenge ni kuishusha mahenge au ndio ukweli wenyewe? Hivi inapopiga kelele majukwaani ya hela zipo zipo zipo huku watoto wanalala na njaa ndio uongozi? Kila mtu anaweza kununua baiskeli kama ataacha kulipa ada za shule za watoto wake, ataacha kununua chakula cha familia, ataacha kuwalipa wanaomdai, ataacha kuchangia sherehe na misiba ya wengine. Wakati sisi tunashangilia ujenzi wa reli, zahanati na Burigi kuna mambo meeeeeeeeeeengi muhimu sana kwa taifa yaliwekwa makabatini kwa miaka hiyo mitano.
 
Kusema London ni kuzuri kuliko Mahenge ni kuishusha mahenge au ndio ukweli wenyewe? Hivi inapopiga kelele majukwaani ya hela zipo zipo zipo huku watoto wanalala na njaa ndio uongozi? Kila mtu anaweza kununua baiskeli kama ataacha kulipa ada za shule za watoto wake, ataacha kununua chakula cha familia, ataacha kuwalipa wanaomdai, ataacha kuchangia sherehe na misiba ya wengine. Wakati sisi tunashangilia ujenzi wa reli na zahanati kuna mambo meeeeeeeeeeengi muhimu yaliwekwa makabatini kwa miaka hiyo mitano.
naomba unipe jambo moja tangible alilofanya mama kwa watanzania, tangible...
 
Mama alibugudhiwa na kudhihakiwa sana huko nyuma mbele ya kadamnasi, tusimbugudhi tena kama vile. mpaka sana anaupiga mwingi na magoli anafunga.
Mama is doing fine job
just see this 👇

Screenshot_20211005-130647.png
 
Mama is doing fine job
just see this 👇

View attachment 1963781
Shida yetu sisi tangu tupate uhuru ni kuongozwa na wamaume wapenda sifa. Mfano, Nyerere alitaka sifa iliyosasbabisha kutuingiza nchi kwenye vita ya kulikomboa bara lote na dunia nzima eti asiwepo anaeonewa hivyo tukajipeleka Msumbiji, Angola, Namibia, Zimbabwe, SA, Commoro, Uganda, Burundi, Biafra, Palestine, Sudani na kusahau sababu za kudai Uhuru.Kuwachokoza na Kujiingiza kwenye migogoro yao ya hivi ikatulazimisha pia kuwa na majeshi makubwa sana mabalimbali ambayo uchumi wetu unashindwa kuyahudumia mpaka leo hii tunazungumza, kila hatua moja kuna kambi ya jeshi na kila watu 2 mmoja wao ni usalama wa taifa. Majeshi haya hayazalishi wala hayapigani kila siku wanahudumiwa tu. Wanaume wengine wakauza mashira yetu hata yale yaliyokuwa yanafanya vizuri, walitamani wauze hata magereza. Wanaume wengine walituibia mchana kweupe kwenye habari za EPA, Escrow, Richmond, Melemeta, madawa ya kulevya, safari za kila siku nje ya nchi kama Vasco de Gama, kununua ndege ambazo hazina safari yoyote zinasubiri zitumwe zikachukue dawa za corona na kupeleka wacheza mpira nchi za nje. Hivi kama ndege ina route zake na abiria kibao zitawaacha ili zipeleke wacheza mpira congo/nigeria?

Wallah Mama Samia hawezi kutafuta sifa za kijinga kama huzi.
 
Mtu anaejiamini anamfukuza mwizi kimyakimya bila kupiga kelele, hata wanyama wanaojiamini habweki sana wakiona adui yao.

Kuna wakati Watanzania walitaka kuaminishwa kuwa makelele mengi hadharani ni dalili njema za kujiamini na uongozi bora, lakini sasa imedhihilika kuwa sio kelele nyingi zinazoleta matokeo chanya kwenye kila jambo. Watu tumeanza kumuelewa mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Tanzania na ametufundisha somo kuwa mbwembwe nyingi sio sehemu ya uongozi bora.

Viongozi wote hata wa kwenye ngazi ya familia tumepata kiigizo chema na somo kuhusu uongozi. Sisi tunahitaji kuona matokeo maji yakitiririka kwenye mabonda, umeme ukiwaka nchi nzima, barabara zikijengwa, watoto wanakwenda shule na majambazi wakinyang'anya silaha zao hukohuko vichakani walikojificha na sio makelele ya kuyataja majina yote ya Rais mara 100 kwenye kila mkutano wakati output hakuna.

Wanawake jamaniee hawana mambo mengi, wana aibu, hawahongi na wanapenda sifa, hivyo sio wezi kama mijianaumeeee.

Tumechelewa wapi sie kuchagua wapiga dili miaka yote hiyo?? Mungu atusamehe ssi kwa dhambi hiyo.

Mwaka 2025 sintapepesa macho.
Sasa wewe kelele za nini humu?
 
Mtu anaejiamini anamfukuza mwizi kimyakimya bila kupiga kelele, hata wanyama wanaojiamini habweki sana wakiona adui yao.

Kuna wakati Watanzania walitaka kuaminishwa kuwa makelele mengi hadharani ni dalili njema za kujiamini na uongozi bora, lakini sasa imedhihilika kuwa sio kelele nyingi zinazoleta matokeo chanya kwenye kila jambo. Watu tumeanza kumuelewa mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Tanzania na ametufundisha somo kuwa mbwembwe nyingi sio sehemu ya uongozi bora.

Viongozi wote hata wa kwenye ngazi ya familia tumepata kiigizo chema na somo kuhusu uongozi. Sisi tunahitaji kuona matokeo maji yakitiririka kwenye mabonda, umeme ukiwaka nchi nzima, barabara zikijengwa, watoto wanakwenda shule na majambazi wakinyang'anya silaha zao hukohuko vichakani walikojificha na sio makelele ya kuyataja majina yote ya Rais mara 100 kwenye kila mkutano wakati output hakuna.

Wanawake jamaniee hawana mambo mengi, wana aibu, hawahongi na wanapenda sifa, hivyo sio wezi kama mijianaumeeee.

Tumechelewa wapi sie kuchagua wapiga dili miaka yote hiyo?? Mungu atusamehe ssi kwa dhambi hiyo.

Mwaka 2025 sintapepesa macho.
naona mnajipongeza kwa kutupiga kimya kimya..Kweli nimeamini Mama anaupiga mwingi sana..
 
Gwajima alipotumia mbinu ya kutaka kumpandisha ghadhabu rais Samia alifanikiwa kumpata ndugu yake waziri Gwajima, kwa rais aliishia kumzingua tu akimsanifu mbele ya watu pale Tegeta kwa kumpamba akisema Gwajiboy oyeee. Ile ilikuwa ni mbinu ambaye team JK walimwambia aitumie kupambana na Baba Askofu Gwajima na ikafanikiwa vyema.
 
Sasa wewe kelele za nini humu?
Mama amenikuna sana jamani, kimyakimya nchi inapaa, barabara zinajengwa, reli inajengwa, bwawa linajengwa lakini watumishi wanapandishwa madaraja, wazabuni wanalipwa, utalii unaendelea, mahindi ya wakulima yananunuliwa na bei ya mifugo imepanda. Ni neema TU.

Zamani tulikuwa tunasikia makelele, vitisho Na Tambo kutoka hata kwa wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na mawaziri. Hofu na tabu kila Kona wakati watu wote hawana fedha mifukoni, ajira Wala karatasi za fotocopy maofisini.
 
Katiba mpya ndio lakini sio muhimu sana kuliko kuwa na kiongozi mwadilifu. Mfano, Marekani wana katiba Bora lakini walihenyeshwa na Rais Trump hadi wakakoma, Katiba yetu imeandika vizuri sana namna ya kumpata na kumuondoa CAG, lakini Prof. Assad aliondolewa kihuni kinyume Cha katiba. Hakuna katiba imeandika Rais aibe fedha na kwenda kuzificha huko kwa wazungu lakini Marais wetu wanatuibia sana, hakuna katiba imesema Rais achague watu wa kabila lake, ukoo wake, Kanda yake anakotoka na Mke wake kwenye nafasi za uongozi lakini Marais wetu wanafanya hivyo.
Tunataka Tume mpya ya Uchaguzi na Katiba mpya,muhimu ni Tume huru ya Uchaguzi kwanza.
 
Mama amenikuna sana jamani, kimyakimya nchi inapaa, barabara zinajengwa, reli inajengwa, bwawa linajengwa lakini watumishi wanapandishwa madaraja, wazabuni wanalipwa, utalii unaendelea, mahindi ya wakulima yananunuliwa na bei ya mifugo imepanda. Ni neema TU.

Zamani tulikuwa tunasikia makelele, vitisho Na Tambo kutoka hata kwa wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na mawaziri. Hofu na tabu kila Kona wakati watu wote hawana fedha mifukoni, ajira Wala karatasi za fotocopy maofisini.
Apige kelele kwani kaanzisha nini mpaka kelele zaidi ya Royal Tour!
 
Mtu anaejiamini anamfukuza mwizi kimyakimya bila kupiga kelele, hata wanyama wanaojiamini habweki sana wakiona adui yao.

Kuna wakati Watanzania walitaka kuaminishwa kuwa makelele mengi hadharani ni dalili njema za kujiamini na uongozi bora, lakini sasa imedhihilika kuwa sio kelele nyingi zinazoleta matokeo chanya kwenye kila jambo. Watu tumeanza kumuelewa mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Tanzania na ametufundisha somo kuwa mbwembwe nyingi sio sehemu ya uongozi bora.

Viongozi wote hata wa kwenye ngazi ya familia tumepata kiigizo chema na somo kuhusu uongozi. Sisi tunahitaji kuona matokeo maji yakitiririka kwenye mabonda, umeme ukiwaka nchi nzima, barabara zikijengwa, watoto wanakwenda shule na majambazi wakinyang'anya silaha zao hukohuko vichakani walikojificha na sio makelele ya kuyataja majina yote ya Rais mara 100 kwenye kila mkutano wakati output hakuna.

Wanawake jamaniee hawana mambo mengi, wana aibu, hawahongi na wanapenda sifa, hivyo sio wezi kama mijianaumeeee.

Tumechelewa wapi sie kuchagua wapiga dili miaka yote hiyo?? Mungu atusamehe ssi kwa dhambi hiyo.

Mwaka 2025 sintapepesa macho.

IMG-20211004-WA0025.jpg
 
Hakuna anaetamani kelele za kila kona tena, hata ukinunua kijiko cha kukorogea chai unataka lazima mama na watoto wote wakupigie makofi hadi mikono iote malengelenge wakati ni kazi yako.
Hivi husikii misifa? Husikii tukiambiwa kuwa kila kitu ni kwa fadhila ya kiongozi wetu? Huoni viongozi wetu wanavyochezewa ngoma wakitoka kwenye ziara za kikazi? Hausikii watu wakisema "tumeagizwa kutoka juu"? Hausikii kelele za watu wakipigishwa kwata kwa sababu tu wamevaa T Shirt zinazosema kiongozi wao sio gaidi (mahakama bado haijatoa hukumu kuwa ni gaidi) au kutaka katiba mpya?

Amandla...
 
Hizi sio kelele ni vicheko ??
1. Tozo mihamala na luku
2. Mfumuko wa Bei ya mafuta na vitu vingine
3. Kulazimishana chanjo
4. Miradi kusimama na hatupewi updates
5. Kila mara tunaona na kuambiwa tumepewa matrion ya shilingi ila zinapoelekezwa hatuon wala kuambiwa.


Kama hizo kwako sio kelele basi Mafisad endeleen kuneemeka tu, maana ukiona fisadi linafurahi ujue kuna mnyonge kijijini huko hana amani ya kuishi kila anapogusa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom