Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jitahidi kuishi huu mji sio kukaa kaa tu ili usije andika huu upuuzi nxt tymeNimefanya utafiti usio rasmi Kwa kuangalia Matajiri wa Tanzania na Umri wao, na
nimegundua Matajiri wengi Umri wao ni kuanzia miaka 43-90.
Kwa Umri wa Diamond wa Miaka 34, inamfanya yeye kuwa Tajiri namba moja Tanzania Kwa watu wa Umri wake Kwa hapa Tanzania, hapa tungeweza kuweka watoto wa manji lakini wale walishabadili uraia.
Kwa Tanzania matajiri wakubwa kina GSM, MO, Severin Ngalo, Ahmed Shabib, Rostam Aziz, Kusaga, Abdiel Mengi, Ridhwani Mlingo, Elibarik Lasway, Saidi Lugumi, Joseph Msukuma, Abood na kuendelea wengi wao Umri wao ni kuanzia miaka 45 na kuendelea na hivyo kufanya diamond kuwa tajiri namba moja Kwa watu wa Rika lake wa Miaka 35. Hapo nimejumuisha na matajiri wa madini ambao sijawataja
Kuna vijana kama Vunja bei, lakini kipato Chao ni kidogo na hawana Assets za kutosha kuitwa matajiri, Kuna Mzee wa kuigiza Chief God Lov ambaye Hana lolote ni Tapeli, Kuna Jackline Mengi yeye ni mkubwa sana Kwa diamond.
Hivyo nadiriki Kusema kuwa Diamond ndio tajiri namba moja Kwa watu wasiozidi Umri wa Miaka 35
Utafiti wa hisia bila ya takwimu? Kama hadi Jacline Mengi umeonekana ni tajiri kwenye huo utafiti wako, basi lazima umakita umerudi mbali sana na huna mpango wa kufika popote.Nimefanya utafiti usio rasmi Kwa kuangalia Matajiri wa Tanzania na Umri wao, na
nimegundua Matajiri wengi Umri wao ni kuanzia miaka 43-90.
Kwa Umri wa Diamond wa Miaka 34, inamfanya yeye kuwa Tajiri namba moja Tanzania Kwa watu wa Umri wake Kwa hapa Tanzania, hapa tungeweza kuweka watoto wa manji lakini wale walishabadili uraia.
Kwa Tanzania matajiri wakubwa kina GSM, MO, Severin Ngalo, Ahmed Shabib, Rostam Aziz, Kusaga, Abdiel Mengi, Ridhwani Mlingo, Elibarik Lasway, Saidi Lugumi, Joseph Msukuma, Abood na kuendelea wengi wao Umri wao ni kuanzia miaka 45 na kuendelea na hivyo kufanya diamond kuwa tajiri namba moja Kwa watu wa Rika lake wa Miaka 35. Hapo nimejumuisha na matajiri wa madini ambao sijawataja
Kuna vijana kama Vunja bei, lakini kipato Chao ni kidogo na hawana Assets za kutosha kuitwa matajiri, Kuna Mzee wa kuigiza Chief God Lov ambaye Hana lolote ni Tapeli, Kuna Jackline Mengi yeye ni mkubwa sana Kwa diamond.
Hivyo nadiriki Kusema kuwa Diamond ndio tajiri namba moja Kwa watu wasiozidi Umri wa Miaka 35
Utafiti wako sio wa kweli, nenda machimboni huko mfano Chunya kuna watu wana pesa za hatari na ni vijana wadogo kabisa.Nimefanya utafiti usio rasmi Kwa kuangalia Matajiri wa Tanzania na Umri wao, na
nimegundua Matajiri wengi Umri wao ni kuanzia miaka 43-90.
Kwa Umri wa Diamond wa Miaka 34, inamfanya yeye kuwa Tajiri namba moja Tanzania Kwa watu wa Umri wake Kwa hapa Tanzania, hapa tungeweza kuweka watoto wa manji lakini wale walishabadili uraia.
Kwa Tanzania matajiri wakubwa kina GSM, MO, Severin Ngalo, Ahmed Shabib, Rostam Aziz, Kusaga, Abdiel Mengi, Ridhwani Mlingo, Elibarik Lasway, Saidi Lugumi, Joseph Msukuma, Abood na kuendelea wengi wao Umri wao ni kuanzia miaka 45 na kuendelea na hivyo kufanya diamond kuwa tajiri namba moja Kwa watu wa Rika lake wa Miaka 35. Hapo nimejumuisha na matajiri wa madini ambao sijawataja
Kuna vijana kama Vunja bei, lakini kipato Chao ni kidogo na hawana Assets za kutosha kuitwa matajiri, Kuna Mzee wa kuigiza Chief God Lov ambaye Hana lolote ni Tapeli, Kuna Jackline Mengi yeye ni mkubwa sana Kwa diamond.
Hivyo nadiriki Kusema kuwa Diamond ndio tajiri namba moja Kwa watu wasiozidi Umri wa Miaka 35
Kwa hiyo crown nyingi hapa mjini ni za mondi? What a joke!!Mwanzoni diamond alijiwekaga sana kwenye biashara ya daladala, ila nahisi kuna watu walimstua.
Siku hizi naona anawekeza kwenye manyumba, huyu mtoto kanunua nyumba nyingi sana mitaani tena sana.
Diamond hela anayo ndio maana watu wake wengi wanaomzunguka huwa anawanunulia crown, watu waliopewa toyota crown na mondi ni wengi sanaaa hapa mjini(usishangae kuona mji una crown nyingi, nyingi ni za mondi)
Twenzetu na facts zako, I never thought of that dude among the top list. Hebu argue if possible with facts and figures tulinganishe.Sio kweli
Kabisa, kuna madogo wa kihindi ni hatari.Kuna vijana wa kihindi wapo ni balaa , labda useme waswahili
Wataje na at least wanavyovimiliki, nimewahi ki-deal na issues za machimboni hivyo najua mbwembwe na flashing za 'wazungu wa mawe'. Akiwa na milioni 10 utadhani ana bilioni, I've been there.Utafiti wako sio wa kweli, nenda machimboni huko mfano Chunya kuna watu wana pesa za hatari na ni vijana wadogo kabisa.
Good argument, with names at least. Hivyo kwenye moja tumtoe.Ni kweli ni tajiri kwenye vijana wa Rika lake lakini namba moja inaleta utata, labda ungeseam kwa vijana wabongo sisi wabantu.
Kuna mdogo wake GSM mmiliki wa Silent Ocean, hakuna haja ya maelezo mengi.
Yupo Benjamin Fernandez Kampuni yake ya Nala ina thamani ya Bilioni 106
tuanzie na benjamin fernandzNi kweli ni tajiri kwenye vijana wa Rika lake lakini namba moja inaleta utata, labda ungeseam kwa vijana wabongo wabantu.
Kuna mdogo wake GSM mmiliki wa Silent Ocean, hakuna haja ya maelezo mengi.
Yupo Benjamin Fernandez Kampuni yake ya Nala ina thamani ya Bilioni 106
Karudi 34 tena? Sio 38?Nimefanya utafiti usio rasmi Kwa kuangalia Matajiri wa Tanzania na Umri wao, na
nimegundua Matajiri wengi Umri wao ni kuanzia miaka 43-90.
Kwa Umri wa Diamond wa Miaka 34, inamfanya yeye kuwa Tajiri namba moja Tanzania Kwa watu wa Umri wake Kwa hapa Tanzania, hapa tungeweza kuweka watoto wa manji lakini wale walishabadili uraia.
Kwa Tanzania matajiri wakubwa kina GSM, MO, Severin Ngalo, Ahmed Shabib, Rostam Aziz, Kusaga, Abdiel Mengi, Ridhwani Mlingo, Elibarik Lasway, Saidi Lugumi, Joseph Msukuma, Abood na kuendelea wengi wao Umri wao ni kuanzia miaka 45 na kuendelea na hivyo kufanya diamond kuwa tajiri namba moja Kwa watu wa Rika lake wa Miaka 35. Hapo nimejumuisha na matajiri wa madini ambao sijawataja
Kuna vijana kama Vunja bei, lakini kipato Chao ni kidogo na hawana Assets za kutosha kuitwa matajiri, Kuna Mzee wa kuigiza Chief God Lov ambaye Hana lolote ni Tapeli, Kuna Jackline Mengi yeye ni mkubwa sana Kwa diamond.
Hivyo nadiriki Kusema kuwa Diamond ndio tajiri namba moja Kwa watu wasiozidi Umri wa Miaka 35
Unaweza kuwa na wazo zuri la kutaka kumjua tajiri kijana wa Tanzania, lakini ni lazima mambo kadhaa yafanyike ili kumjua kama mtu fulani ni tajiri.Nimefanya utafiti usio rasmi Kwa kuangalia Matajiri wa Tanzania na Umri wao, na
nimegundua Matajiri wengi Umri wao ni kuanzia miaka 43-90.
Kwa Umri wa Diamond wa Miaka 34, inamfanya yeye kuwa Tajiri namba moja Tanzania Kwa watu wa Umri wake Kwa hapa Tanzania, hapa tungeweza kuweka watoto wa manji lakini wale walishabadili uraia.
Kwa Tanzania matajiri wakubwa kina GSM, MO, Severin Ngalo, Ahmed Shabib, Rostam Aziz, Kusaga, Abdiel Mengi, Ridhwani Mlingo, Elibarik Lasway, Saidi Lugumi, Joseph Msukuma, Abood na kuendelea wengi wao Umri wao ni kuanzia miaka 45 na kuendelea na hivyo kufanya diamond kuwa tajiri namba moja Kwa watu wa Rika lake wa Miaka 35. Hapo nimejumuisha na matajiri wa madini ambao sijawataja
Kuna vijana kama Vunja bei, lakini kipato Chao ni kidogo na hawana Assets za kutosha kuitwa matajiri, Kuna Mzee wa kuigiza Chief God Lov ambaye Hana lolote ni Tapeli, Kuna Jackline Mengi yeye ni mkubwa sana Kwa diamond.
Hivyo nadiriki Kusema kuwa Diamond ndio tajiri namba moja Kwa watu wasiozidi Umri wa Miaka 35