Kwa rika lake, Diamond ni Tajiri namba Moja Tanzania

Kwa rika lake, Diamond ni Tajiri namba Moja Tanzania

Salaj
Ni kweli ni tajiri kwenye vijana wa Rika lake lakini namba moja inaleta utata, labda ungeseam kwa vijana wabongo wenye asili ya kiafrika.

huwezi kujisahaulisha walioshika uchumi wa nchi ni wahindi na waarabu, Tumepigwa gap refu mno.

Kuna mdogo wake GSM mmiliki wa Silent Ocean, hakuna haja ya maelezo mengi.

Yupo Benjamin Fernandez Kampuni yake ya Nala ina thamani ya Bilioni 106H

Ni kweli ni tajiri kwenye vijana wa Rika lake lakini namba moja inaleta utata, labda ungeseam kwa vijana wabongo wenye asili ya kiafrika.

huwezi kujisahaulisha walioshika uchumi wa nchi ni wahindi na waarabu, Tumepigwa gap refu mno.

Kuna mdogo wake GSM mmiliki wa Silent Ocean, hakuna haja ya maelezo mengi.

Yupo Benjamin Fernandez Kampuni yake ya Nala ina thamani ya Bilioni 106
Salah huyo ni 40+, may be Kwa Benjamin Fernandes I can agree with u,
 
Nimefanya utafiti usio rasmi Kwa kuangalia Matajiri wa Tanzania na Umri wao, na
nimegundua Matajiri wengi Umri wao ni kuanzia miaka 43-90.

Kwa Umri wa Diamond wa Miaka 34, inamfanya yeye kuwa Tajiri namba moja Tanzania Kwa watu wa Umri wake Kwa hapa Tanzania, hapa tungeweza kuweka watoto wa manji lakini wale walishabadili uraia.

Kwa Tanzania matajiri wakubwa kina GSM, MO, Severin Ngalo, Ahmed Shabib, Rostam Aziz, Kusaga, Abdiel Mengi, Ridhwani Mlingo, Elibarik Lasway, Saidi Lugumi, Joseph Msukuma, Hans Macha, Ernest Massawe, Abood na kuendelea wengi wao Umri wao ni kuanzia miaka 45 na kuendelea na hivyo kufanya diamond kuwa tajiri namba moja Kwa watu wa Rika lake wa Miaka 35. Hapo nimejumuisha na matajiri wa madini ambao sijawataja

Kuna vijana kama Vunja bei, lakini kipato Chao ni kidogo na hawana Assets za kutosha kuitwa matajiri, Kuna Mzee wa kuigiza Chief God Lov ambaye Hana lolote ni Tapeli, Kuna Jackline Mengi yeye ni mkubwa sana Kwa diamond.

Hivyo nadiriki Kusema kuwa Diamond ndio tajiri namba moja Kwa watu wasiozidi Umri wa Miaka 35
Hongera kwa kujipaka manukato ya utajiri, wewe sasa si mwenzetu.
 
Nimefanya utafiti usio rasmi Kwa kuangalia Matajiri wa Tanzania na Umri wao, na
nimegundua Matajiri wengi Umri wao ni kuanzia miaka 43-90.

Kwa Umri wa Diamond wa Miaka 34, inamfanya yeye kuwa Tajiri namba moja Tanzania Kwa watu wa Umri wake Kwa hapa Tanzania, hapa tungeweza kuweka watoto wa manji lakini wale walishabadili uraia.

Kwa Tanzania matajiri wakubwa kina GSM, MO, Severin Ngalo, Ahmed Shabib, Rostam Aziz, Kusaga, Abdiel Mengi, Ridhwani Mlingo, Elibarik Lasway, Saidi Lugumi, Joseph Msukuma, Hans Macha, Ernest Massawe, Abood na kuendelea wengi wao Umri wao ni kuanzia miaka 45 na kuendelea na hivyo kufanya diamond kuwa tajiri namba moja Kwa watu wa Rika lake wa Miaka 35. Hapo nimejumuisha na matajiri wa madini ambao sijawataja

Kuna vijana kama Vunja bei, lakini kipato Chao ni kidogo na hawana Assets za kutosha kuitwa matajiri, Kuna Mzee wa kuigiza Chief God Lov ambaye Hana lolote ni Tapeli, Kuna Jackline Mengi yeye ni mkubwa sana Kwa diamond.

Hivyo nadiriki Kusema kuwa Diamond ndio tajiri namba moja Kwa watu wasiozidi Umri wa Miaka 35
Ko wewe katika hao upo namba ngapi?
 
Kwa "selfmade under 35" kibongobongo diamond namuweka top 3 japo siwezi jua km anaweza kuwa wa ngapi, lakini hizo namba zote tatu anakaa bila wasiwasi

Jamaa kahaso sana kufika alipo... Kiufupi amejipata
 
Nimefanya utafiti usio rasmi Kwa kuangalia Matajiri wa Tanzania na Umri wao, na
nimegundua Matajiri wengi Umri wao ni kuanzia miaka 43-90.

Kwa Umri wa Diamond wa Miaka 34, inamfanya yeye kuwa Tajiri namba moja Tanzania Kwa watu wa Umri wake Kwa hapa Tanzania, hapa tungeweza kuweka watoto wa manji lakini wale walishabadili uraia.

Kwa Tanzania matajiri wakubwa kina GSM, MO, Severin Ngalo, Ahmed Shabib, Rostam Aziz, Kusaga, Abdiel Mengi, Ridhwani Mlingo, Elibarik Lasway, Saidi Lugumi, Joseph Msukuma, Hans Macha, Ernest Massawe, Abood na kuendelea wengi wao Umri wao ni kuanzia miaka 45 na kuendelea na hivyo kufanya diamond kuwa tajiri namba moja Kwa watu wa Rika lake wa Miaka 35. Hapo nimejumuisha na matajiri wa madini ambao sijawataja

Kuna vijana kama Vunja bei, lakini kipato Chao ni kidogo na hawana Assets za kutosha kuitwa matajiri, Kuna Mzee wa kuigiza Chief God Lov ambaye Hana lolote ni Tapeli, Kuna Jackline Mengi yeye ni mkubwa sana Kwa diamond.

Hivyo nadiriki Kusema kuwa Diamond ndio tajiri namba moja Kwa watu wasiozidi Umri wa Miaka 35
 
Nimefanya utafiti usio rasmi Kwa kuangalia Matajiri wa Tanzania na Umri wao, na
nimegundua Matajiri wengi Umri wao ni kuanzia miaka 43-90.

Kwa Umri wa Diamond wa Miaka 34, inamfanya yeye kuwa Tajiri namba moja Tanzania Kwa watu wa Umri wake Kwa hapa Tanzania, hapa tungeweza kuweka watoto wa manji lakini wale walishabadili uraia.

Kwa Tanzania matajiri wakubwa kina GSM, MO, Severin Ngalo, Ahmed Shabib, Rostam Aziz, Kusaga, Abdiel Mengi, Ridhwani Mlingo, Elibarik Lasway, Saidi Lugumi, Joseph Msukuma, Abood na kuendelea wengi wao Umri wao ni kuanzia miaka 45 na kuendelea na hivyo kufanya diamond kuwa tajiri namba moja Kwa watu wa Rika lake wa Miaka 35. Hapo nimejumuisha na matajiri wa madini ambao sijawataja

Kuna vijana kama Vunja bei, lakini kipato Chao ni kidogo na hawana Assets za kutosha kuitwa matajiri, Kuna Mzee wa kuigiza Chief God Lov ambaye Hana lolote ni Tapeli, Kuna Jackline Mengi yeye ni mkubwa sana Kwa diamond.

Hivyo nadiriki Kusema kuwa Diamond ndio tajiri namba moja Kwa watu wasiozidi Umri wa Miaka 35
Hahaha
 
Acha upuuzi wewe, kuna watu wana hela hapo na hawapigi kelele.
 
Nimefanya utafiti usio rasmi Kwa kuangalia Matajiri wa Tanzania na Umri wao, na
nimegundua Matajiri wengi Umri wao ni kuanzia miaka 43-90.

Kwa Umri wa Diamond wa Miaka 34, inamfanya yeye kuwa Tajiri namba moja Tanzania Kwa watu wa Umri wake Kwa hapa Tanzania, hapa tungeweza kuweka watoto wa manji lakini wale walishabadili uraia.

Kwa Tanzania matajiri wakubwa kina GSM, MO, Severin Ngalo, Ahmed Shabib, Rostam Aziz, Kusaga, Abdiel Mengi, Ridhwani Mlingo, Elibarik Lasway, Saidi Lugumi, Joseph Msukuma, Hans Macha, Ernest Massawe, Abood na kuendelea wengi wao Umri wao ni kuanzia miaka 45 na kuendelea na hivyo kufanya diamond kuwa tajiri namba moja Kwa watu wa Rika lake wa Miaka 35. Hapo nimejumuisha na matajiri wa madini ambao sijawataja

Kuna vijana kama Vunja bei, lakini kipato Chao ni kidogo na hawana Assets za kutosha kuitwa matajiri, Kuna Mzee wa kuigiza Chief God Lov ambaye Hana lolote ni Tapeli, Kuna Jackline Mengi yeye ni mkubwa sana Kwa diamond.

Hivyo nadiriki Kusema kuwa Diamond ndio tajiri namba moja Kwa watu wasiozidi Umri wa Miaka 35
Sidhani mkuu,sema huna exposure ndiyo maana umetumia sample size ya kina chief Godlove😂😂😂 Chief Godlove.
Huyo unayemwita chief Godlove akimpeleka Kasumulu Boda...hizo hela zake zote zitawekwa kwenye mfuko wa shati wa machalii wa pale..Kasumu Kuna watu hawajawahi kufika hata Iringa,mwisho wao ni Uyole lakini Kwao kwenda Johannesburg,Beira,Capetown ni kitu Cha kawaida.. Godlove hizo ni mbwembwe tu za kinyakyusa lakini kiukweli bado mtoto sana..Fanya utafiti vizuri..
Wengi huwa mnamwona Masanja mkamdamuzaji kama mtu mwenye hela nyingi sana lakini ukifika Wilaya ya Mbarali/ Mbarari yaani Ubaruku,Chimala, Kapunga( Mapogoro) ndipo utagundua kwamba Masanja ni mtu wa kawaida sana..
Author nakushauri uendelee kufanya utafiti zaidi na zaidi ili ujiridhishe mwisho wa siku ndipo uje na Uzi ulioshiba..
Diamond wako huyo hata hapo Iringa kwa walima miti na wauza mbao anafichwa,Mbeya ndiyo hagusi kabisaaaa..
Kuna mtu Ubaruku anaitwaaaa....au basi nisimtaje Fanya utafiti utamjua mwenyewe
 
Sidhani mkuu,sema huna exposure ndiyo maana umetumia sample size ya kina chief Godlove😂😂😂 Chief Godlove.
Huyo unayemwita chief Godlove akimpeleka Kasumulu Boda...hizo hela zake zote zitawekwa kwenye mfuko wa shati wa machalii wa pale..Kasumu Kuna watu hawajawahi kufika hata Iringa,mwisho wao ni Uyole lakini Kwao kwenda Johannesburg,Beira,Capetown ni kitu Cha kawaida.. Godlove hizo ni mbwembwe tu za kinyakyusa lakini kiukweli bado mtoto sana..Fanya utafiti vizuri..
Wengi huwa mnamwona Masanja mkamdamuzaji kama mtu mwenye hela nyingi sana lakini ukifika Wilaya ya Mbarali/ Mbarari yaani Ubaruku,Chimala, Kapunga( Mapogoro) ndipo utagundua kwamba Masanja ni mtu wa kawaida sana..
Author nakushauri uendelee kufanya utafiti zaidi na zaidi ili ujiridhishe mwisho wa siku ndipo uje na Uzi ulioshiba..
Diamond wako huyo hata hapo Iringa kwa walima miti na wauza mbao anafichwa,Mbeya ndiyo hagusi kabisaaaa..
Kuna mtu Ubaruku anaitwaaaa....au basi nisimtaje Fanya utafiti utamjua mwenyewe
Mmmh
 
Nimefanya utafiti usio rasmi Kwa kuangalia Matajiri wa Tanzania na Umri wao, na
nimegundua Matajiri wengi Umri wao ni kuanzia miaka 43-90.

Kwa Umri wa Diamond wa Miaka 34, inamfanya yeye kuwa Tajiri namba moja Tanzania Kwa watu wa Umri wake Kwa hapa Tanzania, hapa tungeweza kuweka watoto wa manji lakini wale walishabadili uraia.

Kwa Tanzania matajiri wakubwa kina GSM, MO, Severin Ngalo, Ahmed Shabib, Rostam Aziz, Kusaga, Abdiel Mengi, Ridhwani Mlingo, Elibarik Lasway, Saidi Lugumi, Joseph Msukuma, Hans Macha, Ernest Massawe, Abood na kuendelea wengi wao Umri wao ni kuanzia miaka 45 na kuendelea na hivyo kufanya diamond kuwa tajiri namba moja Kwa watu wa Rika lake wa Miaka 35. Hapo nimejumuisha na matajiri wa madini ambao sijawataja

Kuna vijana kama Vunja bei, lakini kipato Chao ni kidogo na hawana Assets za kutosha kuitwa matajiri, Kuna Mzee wa kuigiza Chief God Lov ambaye Hana lolote ni Tapeli, Kuna Jackline Mengi yeye ni mkubwa sana Kwa diamond.

Hivyo nadiriki Kusema kuwa Diamond ndio tajiri namba moja Kwa watu wasiozidi Umri wa Miaka 35
Yule dogo ambaye aliacha kazi kwa Billy gate anaitwaje?
 
Back
Top Bottom