Kwa Samia, Harmonize ni muhimu kuliko Wafanyakazi na Mei Mosi!

Kwa Samia, Harmonize ni muhimu kuliko Wafanyakazi na Mei Mosi!

Kwanini asiende? Kwani unawachukuliaje wasanii wewe? Unafahamu mchango wao katika uchumi,utalii pamoja na biashara? U afahamu msanii kama Harmonize ana wafuasi wangapi wanaomfuatilia kila siku? Nani kati yako na Harmonize anaeza kuutangaza vyema utalii wetu na kuwavuta watu wakaja hapa nchini?
Kaigiza movie hadi mwenyewe Rais wa nchi ndio itakuwa Harmonize?
 
Ndo maan ATCL imefuta safari za China ili Maza asafiri na Boeing kwenye misele yake na wasanii wenzake.
 
Acha uchonganishi wako hapa wewe. Kwani nani ambaye hafahamu kuwa siku ya Mei Mosi Mheshimiwa Rais wetu alikuwa nje ya Nchi kuiwakilisha nchi yetu. Laini pia umeona na kushuhudia kule Marekani Marais wakihudhuria matukio kama hayo? Unafahamu mchango wa wasanii katika jamii? Unakuwa msanii anaweza kutumika katika kutangaza utalii na kuwashawishi watalii kuja hapa Nchini?

Embu angalia msanii kama JAY-Z anasikilizwa nawatu zaidi ya millioni 39 kwa mwezi ,hapo bado sijazungumzia wafuasi wake katika mitandao ya kijamii ambao wapo mamilioni kwa mamilioni Duniani kwote. Je unafikiri unafikiri ushawishi wake unaweza kulingana hata na waziri mwandamizi wa wizara gani hapa nchini akiamua kulipa msukumo Jambo fulani?

Shida yenu CHADEMA akili zenu akili zenu ni fupi sana na mnawaza karibu sana.
Be serious bwana, kwamba hawa wasanii wenu wanaoimba chaapati, chaapati... Ndo wanasikilizwa ulaya na marekani?Please be informed kwamba mziki wa bongo unaishia Kenya(our fellow Swahili speakers) , hata Uganda tuu ni kwa mbali sana.
 
Hao wafanyakazi hawana mchango kwenye kusaka kura kwa wananchi, harmonize ni mtaji wa kura, wapiga kura wakisikia atakuwepo kwenye kampeni watajazana kumuona laivu na watasikiliza sera za mgombea atakayepigiwa debe na msanii huyo. Wafanyakazi wao ni kulialia tu wapandishwe mishahara na madaraja ni wasumbufu. Harmonize hana usumbufu, ni mpiga debe mzuri
 
Wafanyakazi wote mtulize akili zenu sasa kuelekea 2025. Mkituliza akili mtatambua kwamba kwa Rais Samia Mwanamziki Hamonaiza ni muhimu sana kuliko nyie na shida zenu. Ndio maana Rais alituma watu kuja kuwasikiliza. Tena kwa dharau zaidi ikaonekana mtumbuizwe na Wadudu 😀😀😀

Ndio maana hata katika mikutano yake yote hajawai kudokeza wala kufafanua hoja zenu. Fikiria Rais anakuwa na mipango na wasanii kuambatana naye nje ya nchi, yaani imekuwa kipaumbele chake, lakini sio kusema chochote kuhusu kikokotoo

Mnataka mfanyiwe nini ili muelewe kwamba mmepuu
Siku ya mei mosi rais alikuwa na mkutano pamoja na maraisi wa east Africa Nairobi Kenya.
 
Eti rais wa nchi anaenda kwenye show ya msanii na kutoka midnight, mbona hapo hakutuma mwakilishi kama anavyofanya kwenye mambo mengine?!
Kwenye mambo ya kipuuzi anaenda. Kwenye mambo ya msingi anatuma muwakikishi duuhh,
 
Najiandaa kumpeleka mualiko bibi kizimkazi wa kuja kizindua Choo cha kisasa kabisa Cha ghorofa nilicho jenga Kijijini kiakankunde itakua sherehe kubwa najua hawezi kuchomoa
 
Wafanyakazi wote mtulize akili zenu sasa kuelekea 2025. Mkituliza akili mtatambua kwamba kwa Rais Samia Mwanamziki Hamonaiza ni muhimu sana kuliko nyie na shida zenu. Ndio maana Rais alituma watu kuja kuwasikiliza. Tena kwa dharau zaidi ikaonekana mtumbuizwe na Wadudu 😀😀😀

Ndio maana hata katika mikutano yake yote hajawai kudokeza wala kufafanua hoja zenu. Fikiria Rais anakuwa na mipango na wasanii kuambatana naye nje ya nchi, yaani imekuwa kipaumbele chake, lakini sio kusema chochote kuhusu kikokotoo

Mnataka mfanyiwe nini ili muelewe kwamba mmepuuzwa?
Lucas Mwashambwa na Chawa Namba Moja na chawa wa mama wengine kibao watasema Hamonaiza naye ni Mtanganyika😀😀😀. Na hiyo ni kweli...

Lakini swali ni priorities za huyu mama ni zipi? Anatakiwa kila kitu kupangwa kwa umuhimu wake..

Tafsiri ya hili ni kuwa, Wafanyakazi wa nchi hii si priority yake kwanza. Kwake burudani ndiyo namba moja..
 
Acha uchonganishi wako hapa wewe. Kwani nani ambaye hafahamu kuwa siku ya Mei Mosi Mheshimiwa Rais wetu alikuwa nje ya Nchi kuiwakilisha nchi yetu. Laini pia umeona na kushuhudia kule Marekani Marais wakihudhuria matukio kama hayo? Unafahamu mchango wa wasanii katika jamii? Unakuwa msanii anaweza kutumika katika kutangaza utalii na kuwashawishi watalii kuja hapa Nchini?

Embu angalia msanii kama JAY-Z anasikilizwa nawatu zaidi ya millioni 39 kwa mwezi ,hapo bado sijazungumzia wafuasi wake katika mitandao ya kijamii ambao wapo mamilioni kwa mamilioni Duniani kwote. Je unafikiri unafikiri ushawishi wake unaweza kulingana hata na waziri mwandamizi wa wizara gani hapa nchini akiamua kulipa msukumo Jambo fulani?

Shida yenu CHADEMA akili zenu akili zenu ni fupi sana na mnawaza karibu sana.
Go to hell chawa, fisadi, tapeli, mbuzi mmoja wewe
 
Uzuri wa CCM wanacheza na akili zetu hadi ikifika 1/5/2025 watumishi bila kulazimishwa mtamsifia wenyewe Samia mana ;
Ataafuta kikotooo
Mishahara ataongeza
Madaraja yatapandishwa

Kwahy hz lawama za watumish saiv ztasahaulika tu...
 
Back
Top Bottom