Kwa Samia, Harmonize ni muhimu kuliko Wafanyakazi na Mei Mosi!

Kwa Samia, Harmonize ni muhimu kuliko Wafanyakazi na Mei Mosi!

Halafu kuna WAPUUZI wanakwambia eti uchumi wa Tanzania umekua.
TANZANIA NI NCHI YA 31 MASIKINI TENA YENYE UMASIKINI KOMAVU DUNIANI.

Screenshot_2024-05-26-14-49-41-35_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-05-26-14-49-54-85_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-05-26-14-50-54-15_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Kule ndipo mahala pa kampeni, wanasiasa kila waonapo wawili watatu wamekusanyika wanajua kuna kura, hadi misibani wanafanya kampeni, ye asikute ki group cha watu anajua hapa kura zipo.
CCM hawaitaji kura wala kampeni, wanafanya ili mradi kuipitia hatua hiyo au kutimiza wajibu... Utake usitake kura ushapiga na utapiga hata bila wewe mwenyewe kujua 😊
 
Sikupingi huyu mama amewapuuza pakubwa sana watumishi wa umma
Watumishi wa umma wanatambua kuwa Rais Samia abawapenda na kuwajali sana. Kwa kuwa wanafahamu ya kuwa ni Rais Samia ndiye aliyewaongezea mishahara na kuwapandisha madaraja. Wanafahamu ya kuwa ni Rais Samia ambaye amewalipa madaraja mserereko na kuwalipa stahiki zao zote walizokuwa wanazidai.
 
kina bashiru walikua sahihi sana!
huyu mtu hana tofauti na kina wema sepetu
 
Kwanini asiende? Kwani unawachukuliaje wasanii wewe? Unafahamu mchango wao katika uchumi,utalii pamoja na biashara? U afahamu msanii kama Harmonize ana wafuasi wangapi wanaomfuatilia kila siku? Nani kati yako na Harmonize anaeza kuutangaza vyema utalii wetu na kuwavuta watu wakaja hapa nchini?
Nje ya JamiiForums Unanijua vizuri mkuu?!
 
kina bashiru walikua sahihi sana!
huyu mtu hana tofauti na kina wema sepetu
Bora sepetu anaweza tunza hata kile kijibwa huyu sasa ni debe tupu kujiremba na kuzurula ndo ajualo
 
Acha uchonganishi wako hapa wewe. Kwani nani ambaye hafahamu kuwa siku ya Mei Mosi Mheshimiwa Rais wetu alikuwa nje ya Nchi kuiwakilisha nchi yetu. Laini pia umeona na kushuhudia kule Marekani Marais wakihudhuria matukio kama hayo? Unafahamu mchango wa wasanii katika jamii? Unakuwa msanii anaweza kutumika katika kutangaza utalii na kuwashawishi watalii kuja hapa Nchini?

Embu angalia msanii kama JAY-Z anasikilizwa nawatu zaidi ya millioni 39 kwa mwezi ,hapo bado sijazungumzia wafuasi wake katika mitandao ya kijamii ambao wapo mamilioni kwa mamilioni Duniani kwote. Je unafikiri unafikiri ushawishi wake unaweza kulingana hata na waziri mwandamizi wa wizara gani hapa nchini akiamua kulipa msukumo Jambo fulani?

Shida yenu CHADEMA akili zenu akili zenu ni fupi sana na mnawaza karibu sana.
Una mifano ya kizembe sana kama bwana Bumunda. Unawekaje mifano ya watu wa US na nyie mazumbukuku?
Watu wale wanajitambua sio kama nyie ambao hata ukiangalia tuu unajua akili ni mgando.
Nyie zenu zimefiakia hapa;
 

Attachments

  • VID-20240523-WA0005.mp4
    2.2 MB
Wafanyakazi wote mtulize akili zenu sasa kuelekea 2025. Mkituliza akili mtatambua kwamba kwa Rais Samia Mwanamziki Hamonaiza ni muhimu sana kuliko nyie na shida zenu. Ndio maana Rais alituma watu kuja kuwasikiliza. Tena kwa dharau zaidi ikaonekana mtumbuizwe na Wadudu [emoji3][emoji3][emoji3]

Ndio maana hata katika mikutano yake yote hajawai kudokeza wala kufafanua hoja zenu. Fikiria Rais anakuwa na mipango na wasanii kuambatana naye nje ya nchi, yaani imekuwa kipaumbele chake, lakini sio kusema chochote kuhusu kikokotoo

Mnataka mfanyiwe nini ili muelewe kwamba mmepuuzwa?
Mei mosi ni upuuzi tu harmonize ndo mpango mzima
 
Washauri wenyewe wakina Steve nyerere unafiri wataacha kumshauri aende kwenye muziki na sasa wamemshauri awe anawachukua wasanii kila anaposafiri serikali Itawalipia posho na kila kitu
 
Wafanyakazi wote mtulize akili zenu sasa kuelekea 2025. Mkituliza akili mtatambua kwamba kwa Rais Samia Mwanamziki Hamonaiza ni muhimu sana kuliko nyie na shida zenu. Ndio maana Rais alituma watu kuja kuwasikiliza. Tena kwa dharau zaidi ikaonekana mtumbuizwe na Wadudu [emoji3][emoji3][emoji3]

Ndio maana hata katika mikutano yake yote hajawai kudokeza wala kufafanua hoja zenu. Fikiria Rais anakuwa na mipango na wasanii kuambatana naye nje ya nchi, yaani imekuwa kipaumbele chake, lakini sio kusema chochote kuhusu kikokotoo

Mnataka mfanyiwe nini ili muelewe kwamba mmepuuzwa?
Watanzania hasa Wana CCM maisha yetu ni Sawa na maisha ya wanywa gongo maana kila siku ukinywa lazima ufumbe macho.
 
Back
Top Bottom