92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
nilishasema humu ccm inajitahidi sana kutuonyesha kwamba hawafai kupewa madaraka tena ila sisi kila siku tunajitahidi kuwarudisha madarakani ipo siku hii nchi itaanguka vibaya sana..
mpaka sasa kinachofanya nchi iende ninkwamba watu wanaangalia familia zao zinaishi wanaamua kukaa kimya ila watu wana fukuto la kutosha na ni swala la muda tu
mpaka sasa kinachofanya nchi iende ninkwamba watu wanaangalia familia zao zinaishi wanaamua kukaa kimya ila watu wana fukuto la kutosha na ni swala la muda tu