Kwa Samia, Harmonize ni muhimu kuliko Wafanyakazi na Mei Mosi!

Kaigiza movie hadi mwenyewe Rais wa nchi ndio itakuwa Harmonize?
 
Ndo maan ATCL imefuta safari za China ili Maza asafiri na Boeing kwenye misele yake na wasanii wenzake.
 
Be serious bwana, kwamba hawa wasanii wenu wanaoimba chaapati, chaapati... Ndo wanasikilizwa ulaya na marekani?Please be informed kwamba mziki wa bongo unaishia Kenya(our fellow Swahili speakers) , hata Uganda tuu ni kwa mbali sana.
 
Hao wafanyakazi hawana mchango kwenye kusaka kura kwa wananchi, harmonize ni mtaji wa kura, wapiga kura wakisikia atakuwepo kwenye kampeni watajazana kumuona laivu na watasikiliza sera za mgombea atakayepigiwa debe na msanii huyo. Wafanyakazi wao ni kulialia tu wapandishwe mishahara na madaraja ni wasumbufu. Harmonize hana usumbufu, ni mpiga debe mzuri
 
Siku ya mei mosi rais alikuwa na mkutano pamoja na maraisi wa east Africa Nairobi Kenya.
 
Eti rais wa nchi anaenda kwenye show ya msanii na kutoka midnight, mbona hapo hakutuma mwakilishi kama anavyofanya kwenye mambo mengine?!
Kwenye mambo ya kipuuzi anaenda. Kwenye mambo ya msingi anatuma muwakikishi duuhh,
 
Najiandaa kumpeleka mualiko bibi kizimkazi wa kuja kizindua Choo cha kisasa kabisa Cha ghorofa nilicho jenga Kijijini kiakankunde itakua sherehe kubwa najua hawezi kuchomoa
 
Lucas Mwashambwa na Chawa Namba Moja na chawa wa mama wengine kibao watasema Hamonaiza naye ni Mtanganyika๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€. Na hiyo ni kweli...

Lakini swali ni priorities za huyu mama ni zipi? Anatakiwa kila kitu kupangwa kwa umuhimu wake..

Tafsiri ya hili ni kuwa, Wafanyakazi wa nchi hii si priority yake kwanza. Kwake burudani ndiyo namba moja..
 
Go to hell chawa, fisadi, tapeli, mbuzi mmoja wewe
 
Uzuri wa CCM wanacheza na akili zetu hadi ikifika 1/5/2025 watumishi bila kulazimishwa mtamsifia wenyewe Samia mana ;
Ataafuta kikotooo
Mishahara ataongeza
Madaraja yatapandishwa

Kwahy hz lawama za watumish saiv ztasahaulika tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ