Kwa sasa CHADEMA kuendelea kuwekeza kwa Tundu Lissu ni kupoteza muda

Kwa sasa CHADEMA kuendelea kuwekeza kwa Tundu Lissu ni kupoteza muda

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Siwafundishi kuhusu siasa ila ni bora kama chama kilichokuwa na kinachoishilia katika ushawishi wake kwa wananchi! Iko haja viongozi wandamizi kuketi ili kupiga hesabu za chama kinapashwa kiwe na mwelekeo upi!

Ni ukweli kabisa na kila mwenye jicho la mwewe aliyeko Chadema! Hatazami akaona kama ilivyokuwa jana! Hatazami akaelewa kifuatacho! Wote wenye Maono hayo hawaoni sawasawa hatima ya Chadema na mwendelezo wake!

Ushauri wangu ni kwamba! Dhana ya chama kuwa ndiyo kikubwa kuliko mtu ibaki pale pale, lakini pia kitu kingine kisisahaulike kwamba, kuwa na mtu mwenye ushawishi mkubwa ndani na nje ya chama ni hitimisho la ushindi katika chama!

Tundu Lissu, ni mtu angalau mwenye ushawishi kulikoni wote ndani ya Chadema akifuatiwa na M/kiti wa maisha ambapo kwa sasa naye amekuwa mlevi na haelewi chama kinaelekea wapi!

Watu hawa wawili kati ya Tundu Lissu na Mbowe ni angalau wanaouwezo hata wa kukipasua chama ikiwa hawataelewana na mmoja ataondoka na watu wa kabila lake pekee!

Hoja yangu ni kwamba, Chadema waache sasa kuweka tumaini kubwa kwa Lissu na badala yake watafute mtu ambaye anakubalika angalau kwa kiasi kwa wanachama na kwa wananchi kwa ujumla na wao wamjenge kisiasa ili kuikabili ccm ya majizi!

Mh Lissu kwa sasa hana mwelekeo na hatabiriki iwapo kweli etaendelea kuishi ktk nchi hii ngumu ya watu wasiojua uchungu wa nchi yao!

Yangu ni hayo!
 
Sukuma Gang naona ndiyo mumewekeza katika Lissu maana mnaandika mamia ya nyuzi kumhusu Lissu kila siku. Nyie watu ni wapumbavu sana
Unatibiwa Hospitali gani Bwashee?? Hapo hapo Milembe?

Huo mdomo mchafu si wa mtu mstaarabu hata kidogo!!!
 
Pale Sukuma gang member anapojifanya ana uchungu na CHADEMA kuliko wahusika wa hicho chama.
Je ni kwamba ana wasiwasi uwepo wa Lissu unaua relevance(kama ipo) ya Sukuma gang? Uwepo wake unawakosecha cha kuongea?

Naamini CHADEMA wana vision ndiyo maana kinaendelea kuwa chama pekee cha opposition ambacho kikiongea lazima serikali isikilize.

Unaonaje ukatoa ushauri kwa vyama vinavyochechemea na havisikiki mpaka ukifika muda wa uchaguzi ili tuwe na vyama vya upinzani vingi vyenye nguvu.
 
Pale Sukuma gang member anapojifanya ana uchungu na CHADEMA kuliko wahusika wa hicho chama.
Je ni kwamba ana wasiwasi uwepo wa Lissu unaua relevance(kama ipo) ya Sukuma gang? Uwepo wake unawakosecha cha kuongea?

Naamini CHADEMA wana vision ndiyo maana kinaendelea kuwa chama pekee cha opposition ambacho kikiongea lazima serikali isikilize.

Unaonaje ukatoa ushauri kwa vyama vinavyochechemea na havisikiki mpaka ukifika muda wa uchaguzi ili tuwe na vyama vya upinzani vingi vyenye nguvu.
Pipoziiii!
Nyie subirini kuitwa hivyo tuu!
 
Sukuma Gang naona ndiyo mumewekeza katika Lissu maana mnaandika mamia ya nyuzi kumhusu Lissu kila siku. Nyie watu ni wapumbavu sana
Na Chadema imewekeza kaburini kwa Magufuli!

Mchana mmoja mnafungua nyuzi zaidi ya 10 kila baada ya Masaa 5
 
Ya mwisho mkuu, unataka kusemaje kijana wa pwani na mtani wangu usiye faa kitu
Nimeona umetumia nguvu kubwa, nikadhani ndio unataka kutoka ofisini. Nimepata mashaka utakuwa umeishiwa na nguvu kama utaendelea kubaki ofisini.
 
Nimeona umetumia nguvu kubwa, nikadhani ndio unataka kutoka ofisini. Nimepata mashaka utakuwa umeishiwa na nguvu kama utaendelea kubaki ofisini.
Sawa mkuu, ni ushauri tuu!

Maana upinzani ukiimarika, nchi yetu inasatawi zaidi ya tulipo sasa
 
Hebu tupe viashiria kadhaa vinavyokufanya uamini Chadema inaishilia, ili tuvipime tuone uzito wa hoja yako.
 
Na Chadema imewekeza kaburini kwa Magufuli!

Mchana mmoja mnafungua nyuzi zaidi ya 10 kila baada ya Masaa 5
Hakuna mtu wa Chadema anayefungua thread juu ya huyo shetani,ni nyie wenyewe wafuasi wake mnafanya hivyo na mnasababisha atukanwe bure na kuiachia simanzi familia yake,nyie hamuumii alibagazwa lakini watoto wake wanaumia, mngekuwa na akili za kutosha mngeachana kabisa na mijadala ya huyo mfu
 
Back
Top Bottom