Kwa sasa D Voice anafanya vizuri kimuziki sokoni kuliko Harmonize. Anaburuza kwenye mauzo ya album

Kwa sasa D Voice anafanya vizuri kimuziki sokoni kuliko Harmonize. Anaburuza kwenye mauzo ya album

Harmonize ndiyo best sign ever pale wasafi hakuna tena kama yeye
Ndio msanii Wasafi walitumia pesa nyingi na muda mrefu kumfikisha mjini wakati huo mnamponda hana lolote. Leo mpo proud nae anawapoza maumivu ya bakora za WCB 😂😂

Wasafi siku zote wanaona nyinyi macho yenu hayafiki. Endelea kutoa machozi 😂
 
Aiyola peke yake ilitosha kumtambulisha harmonize na ulikua ni wimbo mkubwa kabisa.
Huyu dogo album nzima lakini bado hakuna wimbo wenyewe unaweza kuuweka sawa na aiyola. Mpe harmo heshima yake hata kama wewe ni team WCB
 
Aiyola peke yake ilitosha kumtambulisha harmonize na ulikua ni wimbo mkubwa kabisa.
Huyu dogo album nzima lakini bado hakuna wimbo wenyewe unaweza kuuweka sawa na aiyola. Mpe harmo heshima yake hata kama wewe ni team WCB
Sasa kwani harmo sio WCB? Huna unachokijua
 
Sio Tanzanite tu hata ujinga umezaliwa Tanzania ndio maana tatizo la afya ya akili ni kubwa kuliko zao la mahindi, tuseme tu na wewe ni miongoni mwa hilo tatizo
 
Sio Tanzanite tu hata ujinga umezaliwa Tanzania ndio maana tatizo la afya ya akili ni kubwa kuliko zao la mahindi, tuseme tu na wewe ni miongoni mwa hilo tatizo
Unabishana na takwimu niletee msimamo wa YouTube au boom play au audiomack kama harmonize ajakalishwa na d voice nakurushia laki mbili on the spot
 
Unabishana na takwimu niletee msimamo wa YouTube au boom play au audiomack kama harmonize ajakalishwa na d voice nakurushia laki mbili on the spot

Huko ukikotaja si ndio makazi ya hao Watanzania? Watu si mnazo timu zenu mkishapewa vilaki mnajaza mpaka status zenu na ndio maana hata wewe uko hapa kupiga gitaa na kesho urudishe taarifa baada ya kutuhamasisha tukaangalie usanii wa msanii wenu ili mje haadae mseme kuna views kibao.
 
Huko ukikotaja si ndio makazi ya hao Watanzania? Watu si mnazo timu zenu mkishapewa vilaki mnajaza mpaka status zenu na ndio maana hata wewe uko hapa kupiga gitaa na kesho urudishe taarifa baada ya kutuhamasisha tukaangalie usanii wa msanii wenu ili mje haadae mseme kuna views kibao.
Sikiliza album acha kukunja unajinyima burudani nzuri sana sababu ya chuki tu na roho mbaya.
 
Huko ukikotaja si ndio makazi ya hao Watanzania? Watu si mnazo timu zenu mkishapewa vilaki mnajaza mpaka status zenu na ndio maana hata wewe uko hapa kupiga gitaa na kesho urudishe taarifa baada ya kutuhamasisha tukaangalie usanii wa msanii wenu ili mje haadae mseme kuna views kibao.
Tuletee data za harmonize YouTube,boomplay,audiomark kisha tukuonesha anayeongoza huko. Acha upopoma
 
Tuletee data za harmonize YouTube,boomplay,audiomark kisha tukuonesha anayeongoza huko. Acha upopoma

Wewe naye si ndio wale wagonjwa, hizo data za views ni za kina nani kama sio nyie vikoba wa sijui Wasafi na vitimu vingine vya wajinga? Sasa hizo takwimu mimi ni za nini wakati hata kwa macho tu inaonekana tu huyo Voice sio msanii wa kutuacha tufikirie kivile.
 
Back
Top Bottom