Kwa sasa D Voice anafanya vizuri kimuziki sokoni kuliko Harmonize. Anaburuza kwenye mauzo ya album

Kwa sasa D Voice anafanya vizuri kimuziki sokoni kuliko Harmonize. Anaburuza kwenye mauzo ya album

Mimi sijasikia nyimbo yake hata Moja ikipigwa popote pale.
Usiwe na wasiwasi utafikiwa tu ungekua Instagram au tiktok ungeshamskia au ungekuwa unaenda clubs ungeshamskia ata hivyo ajamaliza wiki mbili toka aachie album subiri utafikiwa jiandae kumskia sana tena kwa miaka mingi
 
Duh
FB_IMG_17015009355030221.jpg
 
Wewe msssssenge innocent dependent unapenda kuongea uongo kisa tu dayamondi anakutatua marinda. Wewe matterco lokole tunakujua vizuri shoga wewe mpigwa miti
 
D Voice jini ametoa album yake ambayo inafanya vizuri sana sokoni mpaka sasa YouTube ndio ipo juu kwa kusikilizwa.

Harmonize naye kaachia album yake lakini pamoja na kiki zake za kupigana uwanjani na kwenda msimbazi kufanya show katikati ya barabara ila album yake imeshindwa kufurukuta mbele ya D Voice.

Mwanzo mzuri mdogo wetu D Voice watanzania wana bahati sana wewe kuzaliwa hii nchi una vingi vya kuofa.
KOMA we pumbavu zako
 
D Voice jini ametoa album yake ambayo inafanya vizuri sana sokoni mpaka sasa YouTube ndio ipo juu kwa kusikilizwa.

Harmonize naye kaachia album yake lakini pamoja na kiki zake za kupigana uwanjani na kwenda msimbazi kufanya show katikati ya barabara ila album yake imeshindwa kufurukuta mbele ya D Voice.

Mwanzo mzuri mdogo wetu D Voice watanzania wana bahati sana wewe kuzaliwa hii nchi una vingi vya kuofa.
Tumekuskia da esma
 
D Voice jini ametoa album yake ambayo inafanya vizuri sana sokoni mpaka sasa YouTube ndio ipo juu kwa kusikilizwa.

Harmonize naye kaachia album yake lakini pamoja na kiki zake za kupigana uwanjani na kwenda msimbazi kufanya show katikati ya barabara ila album yake imeshindwa kufurukuta mbele ya D Voice.

Mwanzo mzuri mdogo wetu D Voice watanzania wana bahati sana wewe kuzaliwa hii nchi una vingi vya kuofa.
Hongera zenu
 
Back
Top Bottom