Kwa sasa huenda 90% ya Degree hazina tena maana, hazikupi ajira wala maarifa ya kupata kipato

Maendeleo ya sayansi na teknolojia yanaua kabisa nafas za watu kufanya kazi. Watu wanazaana sana katika kipindi ambacho Fursa zinazid kuwa finyu.

Leo hii wabeba mizigo hawana ishu sabab ya fokolift. Nyumba zinaprintiwa siku hizi, fundi ujenzi tafuteni chaka mapema. Majiko ya gesi na umeme yanaua sido.

Hii veta pamoja na teknolojia duni Leo inaonekana valid & tentative solution. Miaka yake mitano mbele tu kama haijabadili focus ya teknolojia za kisasa mtaikataa au itabase rural areas tu
 
Kwel nimeamin wew ni sexless. Suala la nchi kuwa na mito na maziwa linahusiana vip na mtu aliyesoma sociology?
 
Acha mambo yako, we si nimesikia ni mama mchungaji🤣
Erin acha mambo yako
Yaani na we mambo ya hapa jf kuitwa mama mchungaji ndo unajua ni Kweli?😅
Hauko serious ndugu yangu

Hata km ingekuwa kweli ,kuwa na kazi yako ni mhimu Ili usikae unategemea sadaka za waumini
 
Kabisa kabisa..na hii ni kwasababu vyuo haviko serious juu ya hatima ya wanafunzi.

Wao nikukusanya watoto madamu wawe na kakitengo kao basi!

They don't care!
 
Pole braza
 
Hao wanao enda Israel, Wanakwenda kufanyishwa kazi mashambani kama vibarua cheap labourers, Wakidanganywa kwamba wanaenda field.
 
Dah! Umeandika Kwa uchungu sana Mkuu!
 
Kuna Prof. Mmoja R.I.P tukiwa Darasani UDSM pale nikiwa mwaka wa pili, nilimuuliza kuwa sisi wanafunzi wako tunalalamikia mfumo, na wewe unalalamikia mfumo tena unawalalamikia vijana uliowafundisha ambao Leo ni mawaziri; je nani wa kutusaidia?

Akaniangaliaaaaa, akanambia kua uyaone mwanangu!

Kafa akiwa na kigari Cha hovyo na nyumba haijaisha kisa anasomesha ndugu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…