Kwa sasa huenda 90% ya Degree hazina tena maana, hazikupi ajira wala maarifa ya kupata kipato

Ni vizuri vijana wanapochagua fani za kusoma washauriwe pia maana vyuo vinafanya biashara tu mengine hayawahusu.
 
Law Je
 
Kiukweli mm nafanyakaz tofauti na degree niliyosomea na siikumbuki vzr..nikipewa mtihani napata suduria
Ni usenge sana, wanatuchezea tu akili degree degree Sasa hivi wamerudi na six yaan wamekazia six sababu madogo wanaruka hio wanaenda Diploma basi wamebania hapo tunataka walioenda six au wenye vyeti vya six wakaenda degree jinga kabisa ni usenge kwani wote lazima wapite njia moja ndio maana nasema degree ni usenge ni kwa ajili ya watu wachache wanaofanyiwa michongo mtu anaona kazini ili mshahara upande inabidi aongezee degree ndio anaenda kupata degree akirudi mshahara unapanda Sasa huo si usenge hawa wasio na kazi unawafanyaje?
 
Na ukikosa kazi dharau kama zote zinakuhusu, kumbe laiti wangejua....

Watu kama hao ni kuwasamehe tu bure maana hawajui wanachokifanya.
 
Ufahamu bila ya pesa ni upotevu wa muda. Una miaka 35 halafu maisha hayaeleweki lazima utajiona mjinga tu
 
20. Mineral processing engr
21. Bachelor of art with education
22. Fine art and design
23. Statistics
24.Mathematics
25.Physics
26. Civil engr
27. Chemistry
28. Agroeconomy
29. Biochemistry
30. French
31. Arabic
32.
33.
34.
Civil Eng imekukosea nn wee?
Itoe hapo haraka sana
 
Ukweli ndo huu hapa.
 
Ahsantee kwa Somo, at least niliyafanya haya kwa kiasi, leo inasaidia kwa kiasi.
 
Njia pekee ya kutoboa sasa hivi huko vyuoni hakikisha unakuwa kada wa CCM kupitia UVCCM. AIsee ukishaingia huko connection ya kupata kazi ni chapuuuu. Sasa ww jiroge uingie BAVICHA ndio utajua haujui
 
Graph theory, Number theory, partial differential equations, statistical inference etc. Ila kusema kweli Kuna Jambo halipo sawa na Elimu yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…