Kwa sasa huenda 90% ya Degree hazina tena maana, hazikupi ajira wala maarifa ya kupata kipato

Kwa sasa huenda 90% ya Degree hazina tena maana, hazikupi ajira wala maarifa ya kupata kipato

Tunahitaji mapinduzi halisi ya viwanda(industrial revolution), hatuhitaji kuwa na wahitimu wa vyuo vikuu kwa wingi huo, tunahitaji wahitimu wa vyuo vya kati wafanye kazi kwenye viwanda.

Engineer mwenye shahada na mwenye fani yake kwa level ya diploma au cheti, atakayeleta thamani ni mwenye diploma.

Tunahitaji viwanda, otherwise tuna bomb kubwa.
Mnaweza kuwalipa mishahara kwastahiki naambayo inaendelea na hali ya maisha? Serikali hupenda kukimbilia kuajiri graduates wa diploma mfano kwenye afya wana ajiri CO asilimia 60-70 nasio MD kwasababu mishahara yao ni midogo i.e. 650,000/=. Matokeo yake unayajua, hospitaliza wilaya na rufaa kwenda juu zinafurika watu na foleni zisizo na mbele wala nyuma kwasababu zahanati,kituo cha afya na muda mwingine hospitali ya wilaya hazina wataalamu wakufanya procedures na surgeries zinazohitajika kutibu wagonjwa. Naye mwaajiriwa wa diploma haoni kazi yake ya maana bali assurance tu yakupata kitu chakuingiza kinywani kwakuwa anachopewa hakimsaidii kwanjia yeyote ile kufanya maendeleo hivyo hata vituo hubaki empty mchana mpaka usiku na wagonjwa kukosa huduma.
Ukisema unataka hayo unayoyataka hakikisheni pia mpo tayari kupandisha scale ya mishahara yao, hamna mtu anayependa kuitwa cheap labor. Mapinduzi yasiwe kuwafanyisha kazi watu tu bali pia na kuwalipa mishahara inayowatesheleza kulingana na hali ya maisha.
 
Tulikuwa tunajadili masuala ya Elimu na degree we ukakirupuka na upumbavu wako ukatuletea Quran.

Nani kakwambia huu mjadala wa magaidi?
Kwenye mjadala wa elimu unaachaje kuongelea elimu kuu kuliko zote? Elim Akhera?
 
Kwenye mjadala wa elimu unaachaje kuongelea elimu kuu kuliko zote? Elim Akhera?
Tatizo mnatengeneza majini ndomaana mnayajua majina!

Sasa ukiona dini mashekh wake wanatengeneza mpaka majini kama una akili kimbia huko!

Ugaidi lazima upigwe vita!
 
Tatizo mnatengeneza majini ndomaana mnayajua majina!

Sasa ukiona dini mashekh wake wanatengeneza mpaka majini kama una akili kimbia huko!

Ugaidi lazima upigwe vita!
Jini ni kiumbe Cha Allah, mwenye uwezo wa kukitengeneza ni Allah pekee
 
Haya sasa tuambie, inakuwaje karibu 90% ya wahitimu wa degree wako njia panda kusaka ajira na vipato huku wakiambulia patupu?
Ni kwa sababu (kama umenielewa) pamoja na kuwa na technical (hard) skills, hawana soft (21st century) or lifelong skills. Hizi transferrable/employability/soft/21st century skills etc zinazoongeza thamani ya ajira na, hata kama hutaajiriwa kwa sababu watu ni wengi na wanaotakiwa ni wachache, utaweza kujiajiri au kutengeneza ajira. Yaani, mtu mweye skills za aina zote mbili ni marketable zaidi kuliko aliye na aina moja katika dunia ya sasa. Aina hizi za skills ni kama vile critical thinking, communication skills, digital literacy skills, self-management skills, entrepreneurial skills, innovative and creative skills, problem-solving skills, leadership skills, interactive and collaboration skills etc.
 
Ukweli usemwe na usemwe wazi ili kila mtu aujue. Wigo wa watanzania kusoma mpaka chuo kikuu ili kupata degree umekuwa mkubwa lakini huo mfumo umekuwa ni hasara na upotevu wa rasimali (muda, pesa na nguvu) kwa 90%.

Ajira mtaani kwa 90% hakuna kwa fani nyingi, ni sawa na kucheza kamili, na elimu ya vyeti vya chuo kikuu haina mchango wowote wa mhitimu wa level ya degree kuweza kujiajiri moja kwa moja. Hapa chini ni baadhi ya fani zinazoangukia kwenye kundi hilo.

1. Public administration
2. Political science
3. Business administration
4. Procurement and supply
5. Human resource
6. Sociology
7. Environment
8. Language
9. Mass communication
10. Tourism
11. Banking
12. Accounting
13. Economy
14. Finance
15. History
16. Insurance
17. Tax
18. Cooperative
19. Marketing
20.

Kama wewe ni mhitimu wa hizo fani kwa miaka ya karibuni utaelewa hicho nilichokiandika, na kama wewe ni mwanafunzi wa hizo fani anza kujiandaa kisaikolojia, hali ni mbaya mtaani. Wahitimu ni wengi na hawana ajira yoyote, wamechoka vibaya, wameshazunguka na mabahasha mpaka soli za viatu kuchakaa, wamejitolea mpaka basi, wameshikiza mpaka wamedondoka na wengi wamekata tamaa kabisa, vyeti vyao wamesahau hata vipo wapi, havina msaada.

Bado wanakula, kulala na kutunzwa na wazazi wao, mashemeji au wajomba. Wengine wameamua kujiajiri katika fani zingine ambazo hazina uhusiano wowote wa fani walizosomea na zenye kuhitaji elimu ya darasa la nne tu.

Wajanja wengine wameamua kurudi chuo, hususani kwa ngazi ya Diploma kusoma fani za ualimu au afya ili kuingia kwenye mkondo wa kuja kupata ajira hapo baadaye.

Jamani hali ni mbaya na tete.
Ukweli usemwe!
Bora kusomea kutengeneza simu, au kutengeneza music niwe DJ, kuliko huu upuuzi
 
Jini ni kiumbe Cha Allah, mwenye uwezo wa kukitengeneza ni Allah pekee
Dada usifiche Ukweli! Hapa Magomen, Pale Mywara Kwa Shekh Kingazi majini kama kawaida yanatengenezwa.

Kuna jini Maimuna, jini Makata, jini kibazili n.k usifiche Ukweli! Na majini ni mashetani tu!
 
Dada usifiche Ukweli! Hapa Magomen, Pale Mywara Kwa Shekh Kingazi majini kama kawaida yanatengenezwa.

Kuna jini Maimuna, jini Makata, jini kibazili n.k usifiche Ukweli! Na majini ni mashetani tu!
Kwahyo binaadamu Wana uwezo wa kuumba kiumbe? Una akili kweli wewe
 
Nakazia,
Na mbaya zaidi kama huna wa kukubeba (network) inakuwa shida mno.
Chinua Achebe aliwahi kusema "A common saying in the country after Independence was that it didn’t matter what you knew but who you knew"
 
Wanamaliza wahitimu zaidi elfu 20 wa Accounting kwa level ya degree hapa Tanzania kila mwaka, lakini ajira rasmi za kudumu za kuwaajiri (tena za mchongo balaa) hazifiki hata 300 kwa mwaka, hao wengine wanakwenda wapi?

Serikali haajiri wengi na wala haajiri kila mwaka, na taasisi binafsi zenye kuajiri ni chache, kwa uchache sana huajiri, tena huajiri wenye uzoefu mkubwa na mzuri. Sasa mhitimu mpya anavukaje hapo?
Njoo nikuoneshe mdogo wangu mmoja mwenye BAF ya IFM na CPA ameamua kufuga ng'ombe wa maziwa Arusha vijijini....lakini ameshajenga na ana maisha tayari

Wenzake bado wanahangaika kusambaza bahasha
 
Elimu ni kutoa ujinga wahitimu waliomaliza wakajiajiri ni tofauti na walio kosa au wenye Elimu ndogo wakajiajiri.
 
Ukweli usemwe na usemwe wazi ili kila mtu aujue. Wigo wa watanzania kusoma mpaka chuo kikuu ili kupata degree umekuwa mkubwa lakini huo mfumo umekuwa ni hasara na upotevu wa rasimali (muda, pesa na nguvu) kwa 90%.

Ajira mtaani kwa 90% hakuna kwa fani nyingi, ni sawa na kucheza kamili, na elimu ya vyeti vya chuo kikuu haina mchango wowote wa mhitimu wa level ya degree kuweza kujiajiri moja kwa moja. Hapa chini ni baadhi ya fani zinazoangukia kwenye kundi hilo.

1. Public administration
2. Political science
3. Business administration
4. Procurement and supply
5. Human resource
6. Sociology
7. Environment
8. Language
9. Mass communication
10. Tourism
11. Banking
12. Accounting
13. Economy
14. Finance
15. History
16. Insurance
17. Tax
18. Cooperative
19. Marketing
20.

Kama wewe ni mhitimu wa hizo fani kwa miaka ya karibuni utaelewa hicho nilichokiandika, na kama wewe ni mwanafunzi wa hizo fani anza kujiandaa kisaikolojia, hali ni mbaya mtaani. Wahitimu ni wengi na hawana ajira yoyote, wamechoka vibaya, wameshazunguka na mabahasha mpaka soli za viatu kuchakaa, wamejitolea mpaka basi, wameshikiza mpaka wamedondoka na wengi wamekata tamaa kabisa, vyeti vyao wamesahau hata vipo wapi, havina msaada.

Bado wanakula, kulala na kutunzwa na wazazi wao, mashemeji au wajomba. Wengine wameamua kujiajiri katika fani zingine ambazo hazina uhusiano wowote wa fani walizosomea na zenye kuhitaji elimu ya darasa la nne tu.

Wajanja wengine wameamua kurudi chuo, hususani kwa ngazi ya Diploma kusoma fani za ualimu au afya ili kuingia kwenye mkondo wa kuja kupata ajira hapo baadaye.

Jamani hali ni mbaya na tete.
Ukweli usemwe!
ELIMU yetu ilishachezewa sana kitambo lilikuwa suala la muda tu.wahuni walioiharibu Elimu yetu wanaendelea kupeta tu.
 
Back
Top Bottom