min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kumbe🤣🤣🤣🤣Babu wa hovyo kwani unamuongelea nani? Halafu mimi niko singo, usiniharibie. Mpare gani kwani unamuongelea🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe🤣🤣🤣🤣Babu wa hovyo kwani unamuongelea nani? Halafu mimi niko singo, usiniharibie. Mpare gani kwani unamuongelea🤣🤣🤣
Sasa shindikana mbona unanicheka!!😥Kumbe🤣🤣🤣🤣
Olewa atoto ,unakwepa majukumu 😅Sasa shindikana mbona unanicheka!!😥
🤣🤣 Natafuta mume wa pili, huyu mmoja hanitoshi.Olewa atoto ,unakwepa majukumu 😅
Hahaha umetisha sana😅🤣🤣 Natafuta mume wa pili, huyu mmoja hanitoshi.
Mume mmoja analemaza akili.Hahaha umetisha sana😅
😅😅😅😅Mume mmoja analemaza akili.
Hao hata kanisani na msikitini wapoUsijaribu wauza baa...kuna mtu namjua alijutaa...
Sina neno we nenda kamuulize baba mchungaji Hali ikoje huko kwenye Mambo ya upata Nishi?Ushaambiwa mwanamke bora anatoka kwa mungu sasa wewe jichanganye🤣🤣🤣
Mwanamke hata umuoe akiwa binti kuzin kukopale palendy ww ambaye ukiwa job demu wako anatubless wahauni wake wa zamani kiroho safi
House girls unawasingizia ingawa Huwa wamejengewa roho ya ukatili kama walikuwa Kwa mabosi wasio n utu.Wenzako walioa ma house girl baada ya kuwaona wanajituma kutunza nyumba,kawaulize kilichowapata baada ya house girl kuwa boss!!
Ao ndo sumu kabisa,Kwanza Wana mabwana kama utitiriMambo Kama haya wanayo Hawa tunao waits wa kuwaowa
Fikilia mwanamke alikuwa anafanya kazi ya usaidizi wa mgahawa analipwa 2000 toka hasubuhi mpaka jioni
Unakuja ku mwoa unamwachia kila siku 10000
Atakudharau kweli ili aludi aliko toka mkuu?