Kwa sasa, huenda hawa wakawa ndio Wanawake bora wa kuoa

Kwa sasa, huenda hawa wakawa ndio Wanawake bora wa kuoa

Babu wa hovyo kwani unamuongelea nani? Halafu mimi niko singo, usiniharibie. Mpare gani kwani unamuongelea🤣🤣🤣
Umeanza lini kuwa Singo andi redi tu mingo Mjukuu??

Usinitie viwashawishi Wazee tukapokea Posa nyingine ya yule Kijana wa Dubai aliyetaka kukuoa last February 😜

Hebu sikiliza ule wimbo wa "Huyo ni Chaguo lako" kama upo karibu na DJ mwambie auweke kwenye "Repeat Mode" 🤗
 
Kuna watu mna mahangaiko ndio mana mnapigwa na mavitu mazito.
 
Umeanza lini kuwa Singo andi redi tu mingo Mjukuu??

Usinitie viwashawishi Wazee tukapokea Posa nyingine ya yule Kijana wa Dubai aliyetaka kukuoa last February 😜

Hebu sikiliza ule wimbo wa "Huyo ni Chaguo lako" kama upo karibu na DJ mwambie auweke kwenye "Repeat Mode" 🤗
Huu wimbo umekaaga kikudaa🤣🤣
 
Hahaha.................. kwahiyo haujaupenda Mjukuu?

Basi sikiliza verse ya kwanza tu pamoja na kiitikio chake 😜🏃🏃🏃🏃
Babu yule mpare mbahilii balaa, atanitoa roho. Sidhani kama alikuwa chaguo langu🙆‍♀️🙆‍♀️
Hebu kumbukeni vizuri, hamkunilazimishia kweli?
 
Babu yule mpare mbahilii balaa, atanitoa roho. Sidhani kama alikuwa chaguo langu🙆‍♀️🙆‍♀️
Hebu kumbukeni vizuri, hamkunilazimishia kweli?
Hahaha.................kwa huyo Mpare hatukukulazimisha Mjukuu, ulituambia eti yeye ni Mpare wa kwanza kukupa password ya akaunti yake ya Benki

Kwahiyo endelea kuburudika na wimbo wa "Huyo ni Chaguo lako" tu 🤗
 
Wanawake anaetunzwa vizuri hufanya umalaya hata na boda boda hawana akili kabisa haijalishi cheo wala kazi hao wote hutapata mwanamke ataekua na wewe pekee hamnaaa...
 
Hahaha.................kwa huyo Mpare hatukukulazimisha Mjukuu, ulituambia eti yeye ni Mpare wa kwanza kukupa password ya akaunti yake ya Benki

Kwahiyo endelea kuburudika na wimbo wa "Huyo ni Chaguo lako" tu 🤗
Babu badili wimbo tafadhali😭😭😭😭
 
Pole Mjukuu....😅

Basi sikiliza wimbo wa "I love you" ulioimbwa na Kwaya ya Mt. Theresia, maana huo wimbo nakumbuka Siku ya harusi yenu na Mpare uliucheza sana 🤗
Basi babu tuachane na haya mambo ya dedication tu😄
 
Baada ya vilio vingi kuhusu mabinti zetu kuwatenda vibaya vijana wetu

baadhi kufunga harusi Leo na baada ya wiki ndani hakukaliki Kama sio kukutana mahakamani kupeana taraka

Katika mizunguko yangu nimekuja kugundua Kuna hazina ya mabinti wema nje ya makanisa,misikiti,majumbani,vyuoni na mashuleni

Na mabinti wenyewe ni Hawa wafuatao

1) Bar maid
Hawa niwanawake ambao hupitia changamoto nyingi kwenye maisha yao

Mishahara yao wakati mwingine huwa matumizi ya miili yao au kuuzwa na waajiri wao

Wengi hujikuta katika mazingila hayo kwa kuto kupenda au kushawishiwa na marafiki

Au madarali wa Wana wake na huja kushtuka Wana fanyishwa kazi hizo na hawana jinsi ya kujitoa hapo kufuatana mazingila magumu wanayo wekewa na wamiliki wao

Binti wa mwanza anaweza kuambiwa kwamba Kuna kazi mbeya ya kuuza hotel akatumiwa nauli na huyo aliye mtaftia hiyo kazi na akafika mbeya

Cha ajabu anafika mbeya anajikuta anavalishwa nguo za bar akikataa hata kula na Ana weza kufukuzwa na asijue pa kwenda kwa kutishwa kufanyiwa chochote hivyo hujikuta Hana jinsi

Wana wake Hawa Hukutana na wanaume wa kila aina na huishi nao kufutana na Tabia zao na huachana nao sarama

Niwanawake ambao wengi wao wanakuwa wamesha pitia kila aina ya starehe kwahiyo sio wageni wa starehe Bali wao huwa wageni wa kumpata mtu au watu wanaonwapend kweli

Na pia Wana nidhamu ya Hari ya juu niwa skivu wavumilivu na watiifu kwa wateja zao ambao ni wanaume kwa kiasi kikubwa

Basi Kama uta bahatika.kumpata bar maid ambaye anashida na ndoa naludia tena mwenye shida na ndoa

basi nenda nae hospital pimeni afya mwowe huji kujutia kwenye maisha yako

2) Wahudumu wa hotelini
Hawa niwana wake wenye nizamu huamka hasubuhi na mapema kuwa andalia wateja wao mazingira mazuri

Wana rugha Safi na sarama niwa kalimu na wasikivu pia wanajua kuya fanya Mambo makubwa kuwa madogo

Kama uta bahatika kukutana nae mwenye shida na ndoa baada ya kufuata taratibu sahihi weka ndani utakuja unishukuru

3) Wahudumu/wasaidizi migahawani
Hawa niwana wake ambao hulipwa mpaka 2000 kwa siku Kama sio 5000

Hawa niwana wake ambao huwaomba Dada ndugu na marafiki walioko mjini connections za kazi

Baadae huitwa nahao watu lakini baada ya kufika mjini hujikuta wanaona ni Bora maisha ya vijijini waliko toka kuliko maisha ya kazi zao

Wanapitia maisha magumu Sana wakati.mwingine huuzwa na waajiri wao/maboss zao kwa wanaume/wateja zao kitu ambacho sio ridhaa yao

Kama uta bahatika kumpata mwenye shida ya kuolewa katika kundi hili fuata taratibu zote za msingi weka ndani dunia utaiona paradiso

Mwisho nikuombe ndugu mwana jf kwamba ukimkuta mtoto wakike bar,migahawani, hotelini,au popote pale unapo ona au kudhani Pana tweza utu wake

Elewa yupo pale sio kwa sababu anapenda kuwa pale Ila nikwasababu amekosa mtu/maraika wa kumtoa pale alipo

Na mtu/maraika huyo sio mtu mwingine unaweza kuwa niwewe mwenyewe uliye mkuta hapo alipo

Hivyo Basi.

msaidie kifedha hata Kama humtumii au huji kumtumia

msaidie kima wazo hata Kama huna mpango Wala ndoto nae

tafta mda wa kuzungumza nae ili angalau usikilize shida zake au changa Moto zake badara ya kujiangalia wewe binafsi tu

Nina Imani utajifunza mengi utaheshimu kila mwanamke aliyepo mbele yako

Maisha nifumbo/kesho nifumbo

Mwisho

Kabla huja changia kaa na mabinti tofauti tofauti wanaopatikana mazingira Kama hayo hapo juu uwaulize ilikuwaje wakafika walipo?

Nina Imani utakuja na mazito hapa.
Hii ni sawa na kumuoa Asha zungu af useme amefanya kila starehe ameamua kutulia😅😅
 
Baada ya vilio vingi kuhusu mabinti zetu kuwatenda vibaya vijana wetu

baadhi kufunga harusi Leo na baada ya wiki ndani hakukaliki Kama sio kukutana mahakamani kupeana taraka

Katika mizunguko yangu nimekuja kugundua Kuna hazina ya mabinti wema nje ya makanisa,misikiti,majumbani,vyuoni na mashuleni

Na mabinti wenyewe ni Hawa wafuatao

1) Bar maid
Hawa niwanawake ambao hupitia changamoto nyingi kwenye maisha yao

Mishahara yao wakati mwingine huwa matumizi ya miili yao au kuuzwa na waajiri wao

Wengi hujikuta katika mazingila hayo kwa kuto kupenda au kushawishiwa na marafiki

Au madarali wa Wana wake na huja kushtuka Wana fanyishwa kazi hizo na hawana jinsi ya kujitoa hapo kufuatana mazingila magumu wanayo wekewa na wamiliki wao

Binti wa mwanza anaweza kuambiwa kwamba Kuna kazi mbeya ya kuuza hotel akatumiwa nauli na huyo aliye mtaftia hiyo kazi na akafika mbeya

Cha ajabu anafika mbeya anajikuta anavalishwa nguo za bar akikataa hata kula na Ana weza kufukuzwa na asijue pa kwenda kwa kutishwa kufanyiwa chochote hivyo hujikuta Hana jinsi

Wana wake Hawa Hukutana na wanaume wa kila aina na huishi nao kufutana na Tabia zao na huachana nao sarama

Niwanawake ambao wengi wao wanakuwa wamesha pitia kila aina ya starehe kwahiyo sio wageni wa starehe Bali wao huwa wageni wa kumpata mtu au watu wanaonwapend kweli

Na pia Wana nidhamu ya Hari ya juu niwa skivu wavumilivu na watiifu kwa wateja zao ambao ni wanaume kwa kiasi kikubwa

Basi Kama uta bahatika.kumpata bar maid ambaye anashida na ndoa naludia tena mwenye shida na ndoa

basi nenda nae hospital pimeni afya mwowe huji kujutia kwenye maisha yako

2) Wahudumu wa hotelini
Hawa niwana wake wenye nizamu huamka hasubuhi na mapema kuwa andalia wateja wao mazingira mazuri

Wana rugha Safi na sarama niwa kalimu na wasikivu pia wanajua kuya fanya Mambo makubwa kuwa madogo

Kama uta bahatika kukutana nae mwenye shida na ndoa baada ya kufuata taratibu sahihi weka ndani utakuja unishukuru

3) Wahudumu/wasaidizi migahawani
Hawa niwana wake ambao hulipwa mpaka 2000 kwa siku Kama sio 5000

Hawa niwana wake ambao huwaomba Dada ndugu na marafiki walioko mjini connections za kazi

Baadae huitwa nahao watu lakini baada ya kufika mjini hujikuta wanaona ni Bora maisha ya vijijini waliko toka kuliko maisha ya kazi zao

Wanapitia maisha magumu Sana wakati.mwingine huuzwa na waajiri wao/maboss zao kwa wanaume/wateja zao kitu ambacho sio ridhaa yao

Kama uta bahatika kumpata mwenye shida ya kuolewa katika kundi hili fuata taratibu zote za msingi weka ndani dunia utaiona paradiso

Mwisho nikuombe ndugu mwana jf kwamba ukimkuta mtoto wakike bar,migahawani, hotelini,au popote pale unapo ona au kudhani Pana tweza utu wake

Elewa yupo pale sio kwa sababu anapenda kuwa pale Ila nikwasababu amekosa mtu/maraika wa kumtoa pale alipo

Na mtu/maraika huyo sio mtu mwingine unaweza kuwa niwewe mwenyewe uliye mkuta hapo alipo

Hivyo Basi.

msaidie kifedha hata Kama humtumii au huji kumtumia

msaidie kima wazo hata Kama huna mpango Wala ndoto nae

tafta mda wa kuzungumza nae ili angalau usikilize shida zake au changa Moto zake badara ya kujiangalia wewe binafsi tu

Nina Imani utajifunza mengi utaheshimu kila mwanamke aliyepo mbele yako

Maisha nifumbo/kesho nifumbo

Mwisho

Kabla huja changia kaa na mabinti tofauti tofauti wanaopatikana mazingira Kama hayo hapo juu uwaulize ilikuwaje wakafika walipo?

Nina Imani utakuja na mazito hapa.
Ushaambiwa mwanamke bora anatoka kwa mungu sasa wewe jichanganye🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom