Kwa sasa, huenda hawa wakawa ndio Wanawake bora wa kuoa

Kwa sasa, huenda hawa wakawa ndio Wanawake bora wa kuoa

Mpaji Mungu yeye alishajisemea kuwa familia tusipomtafutia mke, basi hatoboi. Kwakweli wazee waingilie kati. Tatizo wazee wenyewe sasa ndio kina Grahams na akina ERoni 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
Aaaaah hakuna kutoboa kabisa🤣🤣🤣
Muhimu mi na wewe tunapendana...hayo mengine nakuachia wewe😍
 
Baada ya vilio vingi kuhusu mabinti zetu kuwatenda vibaya vijana wetu

baadhi kufunga harusi Leo na baada ya wiki ndani hakukaliki Kama sio kukutana mahakamani kupeana taraka

Katika mizunguko yangu nimekuja kugundua Kuna hazina ya mabinti wema nje ya makanisa,misikiti,majumbani,vyuoni na mashuleni

Na mabinti wenyewe ni Hawa wafuatao

1) Bar maid
Hawa niwanawake ambao hupitia changamoto nyingi kwenye maisha yao

Mishahara yao wakati mwingine huwa matumizi ya miili yao au kuuzwa na waajiri wao

Wengi hujikuta katika mazingila hayo kwa kuto kupenda au kushawishiwa na marafiki

Au madarali wa Wana wake na huja kushtuka Wana fanyishwa kazi hizo na hawana jinsi ya kujitoa hapo kufuatana mazingila magumu wanayo wekewa na wamiliki wao

Binti wa mwanza anaweza kuambiwa kwamba Kuna kazi mbeya ya kuuza hotel akatumiwa nauli na huyo aliye mtaftia hiyo kazi na akafika mbeya

Cha ajabu anafika mbeya anajikuta anavalishwa nguo za bar akikataa hata kula na Ana weza kufukuzwa na asijue pa kwenda kwa kutishwa kufanyiwa chochote hivyo hujikuta Hana jinsi

Wana wake Hawa Hukutana na wanaume wa kila aina na huishi nao kufutana na Tabia zao na huachana nao sarama

Niwanawake ambao wengi wao wanakuwa wamesha pitia kila aina ya starehe kwahiyo sio wageni wa starehe Bali wao huwa wageni wa kumpata mtu au watu wanaonwapend kweli

Na pia Wana nidhamu ya Hari ya juu niwa skivu wavumilivu na watiifu kwa wateja zao ambao ni wanaume kwa kiasi kikubwa

Basi Kama uta bahatika.kumpata bar maid ambaye anashida na ndoa naludia tena mwenye shida na ndoa

basi nenda nae hospital pimeni afya mwowe huji kujutia kwenye maisha yako

2) Wahudumu wa hotelini
Hawa niwana wake wenye nizamu huamka hasubuhi na mapema kuwa andalia wateja wao mazingira mazuri

Wana rugha Safi na sarama niwa kalimu na wasikivu pia wanajua kuya fanya Mambo makubwa kuwa madogo

Kama uta bahatika kukutana nae mwenye shida na ndoa baada ya kufuata taratibu sahihi weka ndani utakuja unishukuru

3) Wahudumu/wasaidizi migahawani
Hawa niwana wake ambao hulipwa mpaka 2000 kwa siku Kama sio 5000

Hawa niwana wake ambao huwaomba Dada ndugu na marafiki walioko mjini connections za kazi

Baadae huitwa nahao watu lakini baada ya kufika mjini hujikuta wanaona ni Bora maisha ya vijijini waliko toka kuliko maisha ya kazi zao

Wanapitia maisha magumu Sana wakati.mwingine huuzwa na waajiri wao/maboss zao kwa wanaume/wateja zao kitu ambacho sio ridhaa yao

Kama uta bahatika kumpata mwenye shida ya kuolewa katika kundi hili fuata taratibu zote za msingi weka ndani dunia utaiona paradiso

Mwisho nikuombe ndugu mwana jf kwamba ukimkuta mtoto wakike bar,migahawani, hotelini,au popote pale unapo ona au kudhani Pana tweza utu wake

Elewa yupo pale sio kwa sababu anapenda kuwa pale Ila nikwasababu amekosa mtu/maraika wa kumtoa pale alipo

Na mtu/maraika huyo sio mtu mwingine unaweza kuwa niwewe mwenyewe uliye mkuta hapo alipo

Hivyo Basi.

msaidie kifedha hata Kama humtumii au huji kumtumia

msaidie kima wazo hata Kama huna mpango Wala ndoto nae

tafta mda wa kuzungumza nae ili angalau usikilize shida zake au changa Moto zake badara ya kujiangalia wewe binafsi tu

Nina Imani utajifunza mengi utaheshimu kila mwanamke aliyepo mbele yako

Maisha nifumbo/kesho nifumbo

Mwisho

Kabla huja changia kaa na mabinti tofauti tofauti wanaopatikana mazingira Kama hayo hapo juu uwaulize ilikuwaje wakafika walipo?

Nina Imani utakuja na mazito hapa.
Majuzi niliandika uzi kwamba kuzaliwa mwanaume ni hatia, nikimaanisha kwamba dunia haitajali chochote kuhusu mwanaume, uzi wako umethibista nilichokiandika. Wewe umesukumwa na huruma kwa magumu ya mwanamke na unataka kumuokoa na magumu hayo ili upewe reward ya sex, lakini haujali kwamba kuna wanaume wenzako wanapitia magumu pia.

Kwa kifupi unasema kwamba tuoe wanawake wenye hali ngumu na waliopitia sexual harassment, hao ni hatari sana mzee baba, kwanza wanaishi na trauma za mahusiano yao yaliyopita, to her you will always be a suspect, pili atajishikiza kwako akiwa na shida pale atakapojipata baada ya wewe kumuwezesha ataenda kwa mwanaume wa ndoto zake.

Kama suala ni kumsaidia ilo ni jukumu la wazazi na ndugu zake, acha kimbele mbele cha kubeba jukumu ambalo halikuhusu. Kumbuka mwanamke ana uhuru wa kukuacha bila kukulipa compensation ya gharama ulizoingia kwa ajiri yake, na kama mmefunga ndoa atapata na mgao wa mali zako, yaani mwanamke anakupiga na bado ana reward ya kisheria kwa upigaji aliokufanyia.

Uplift your fellow men, these hoes aint loyal
 
Wakishapata pesa utaona watakavyobadilika
Nb..sio wotee
Wakishapata walichokifuata kwa mwanaume hapo ndipo wanaanza kujiita ferminist, superwoman, malkia wa nguvu, strong woman n.k tena kama uyo mwanamke hana aibu usishangae akasema wewe mwanaume uliemwezesha ndio ulikua kikwazo cha yeye kufanikiwa ndio maana alidai talaka, mfano mzuri ni cristina shusho.
 
Ngoja legend Graham akuthaminishe
Kwa Wajukuu tuliopata Posa nyingi wakati wa kumuozesha ni huyo, mumewe amepata Chuma hasa kuanzia height, namba 8 iliyosimama, rangi ya Dubai bila kusahau brain with beauty🤗

Yule Mumewe Mpare pamoja na ubahili wote ule, lakini alitoa Pochi Nene kwaajili yake 😜
 
Kwa Wajukuu tuliopata Posa nyingi wakati wa kumuozesha ni huyo, mumewe amepata Chuma hasa kuanzia height, namba 8 iliyosimama, rangi ya Dubai bila kusahau brain with beauty🤗

Yule Mumewe Mpare pamoja na ubahili wote ule, lakini alitoa Pochi Nene kwaajili yake 😜
Haaaaaah! Kumbe Mali ipo secured
 
Majuzi niliandika uzi kwamba kuzaliwa mwanaume ni hatia, nikimaanisha kwamba dunia haitajali chochote kuhusu mwanaume, uzi wako umethibista nilichokiandika. Wewe umesukumwa na huruma kwa magumu ya mwanamke na unataka kumuokoa na magumu hayo ili upewe reward ya sex, lakini haujali kwamba kuna wanaume wenzako wanapitia magumu pia.

Kwa kifupi unasema kwamba tuoe wanawake wenye hali ngumu na waliopitia sexual harassment, hao ni hatari sana mzee baba, kwanza wanaishi na trauma za mahusiano yao yaliyopita, to her you will always be a suspect, pili atajishikiza kwako akiwa na shida pale atakapojipata baada ya wewe kumuwezesha ataenda kwa mwanaume wa ndoto zake.

Kama suala ni kumsaidia ilo ni jukumu la wazazi na ndugu zake, acha kimbele mbele cha kubeba jukumu ambalo halikuhusu. Kumbuka mwanamke ana uhuru wa kukuacha bila kukulipa compensation ya gharama ulizoingia kwa ajiri yake, na kama mmefunga ndoa atapata na mgao wa mali zako, yaani mwanamke anakupiga na bado ana reward ya kisheria kwa upigaji aliokufanyia.

Uplift your fellow men, these hoes aint loyal
Sheria ipitiwe upya, wake wataitumia vibaya kujipatia maslahi
 
Kunguru hatufiki!, hao unaosema ni watiifu wameshazoea pesa za ofa zile za keep change, kama ulivyosema wametembea na wanaume wa kila aina, wanawezaje kutulia na mmoja? kuchepuka kwao ni kama 22/7 huwez wabadilisha.

Hakuna wanawake wanaogawa kama hao wasaidizi wa mama ntilie,unajua kuna wanawake walishajichoka hawana future wanakula tu ili waishi kwao A na B yote majibu, kuwa makini.

Tafuta mwanamke unayeona anakufa katika hali zote, usiseme walokole wanafaa, au wahasibu wanafaa biashara itakukata
 
Kumbuka hao maafisa wa huduma ya bia ni vipozeo vya wanaume wengi wenye stress majumbani kwa io unapomwoa mmoja unaacha ukame kwa wanaume wenzako wengi.
mi naonaga apa mtaani akiletwa baamedi mpya mji mzimaunaamia apo, afu we ndo unataka uoe uyo wafikilie ata wanaume wenzako basi[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
 
Natafuta Ajira akiiona hii post Dunia inaweza kupasuka... Yule mwamba terminology ya huruma kwa wanawake alishai-delete kichwani kwake ikaondoka na ubongo... Namkubali sana yule mwamba.
 
Majuzi niliandika uzi kwamba kuzaliwa mwanaume ni hatia, nikimaanisha kwamba dunia haitajali chochote kuhusu mwanaume, uzi wako umethibista nilichokiandika. Wewe umesukumwa na huruma kwa magumu ya mwanamke na unataka kumuokoa na magumu hayo ili upewe reward ya sex, lakini haujali kwamba kuna wanaume wenzako wanapitia magumu pia.

Kwa kifupi unasema kwamba tuoe wanawake wenye hali ngumu na waliopitia sexual harassment, hao ni hatari sana mzee baba, kwanza wanaishi na trauma za mahusiano yao yaliyopita, to her you will always be a suspect, pili atajishikiza kwako akiwa na shida pale atakapojipata baada ya wewe kumuwezesha ataenda kwa mwanaume wa ndoto zake.

Kama suala ni kumsaidia ilo ni jukumu la wazazi na ndugu zake, acha kimbele mbele cha kubeba jukumu ambalo halikuhusu. Kumbuka mwanamke ana uhuru wa kukuacha bila kukulipa compensation ya gharama ulizoingia kwa ajiri yake, na kama mmefunga ndoa atapata na mgao wa mali zako, yaani mwanamke anakupiga na bado ana reward ya kisheria kwa upigaji aliokufanyia.

Uplift your fellow men, these hoes aint loyal
Wakati mwingine mwanamke anaweza kujakwako kwa lengo la.kuku dhuru

Lakini mema yako kwake yaka mbadili hakili aka angukia kupenda nakujitoa bule kuwa mlinzi wako hata kwa gharama ya maisha yake

Na asikuache kamwe
 
Back
Top Bottom