King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Sawa mkuu ,wamepata ujumbe wa wanawake wa kuoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]🫱[emoji2532]🫲[emoji2534][emoji958]Wakishapata pesa na maisha ambayo walikuwa hawana wanabadilka pia,wanawake hawana formlar kabisa unaweza mnunulia gari akamtunuku penzi aliyemzibia pancha njiani
Muhimu mi na wewe tunapendana...hayo mengine nakuachia wewe😍Mpaji Mungu yeye alishajisemea kuwa familia tusipomtafutia mke, basi hatoboi. Kwakweli wazee waingilie kati. Tatizo wazee wenyewe sasa ndio kina Grahams na akina ERoni 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Aaaaah hakuna kutoboa kabisa🤣🤣🤣
HIsia za mwanamke sio za kuziwekea dhamanaWakishapata pesa na maisha ambayo walikuwa hawana wanabadilka pia,wanawake hawana formlar kabisa unaweza mnunulia gari akamtunuku penzi aliyemzibia pancha njian
Majuzi niliandika uzi kwamba kuzaliwa mwanaume ni hatia, nikimaanisha kwamba dunia haitajali chochote kuhusu mwanaume, uzi wako umethibista nilichokiandika. Wewe umesukumwa na huruma kwa magumu ya mwanamke na unataka kumuokoa na magumu hayo ili upewe reward ya sex, lakini haujali kwamba kuna wanaume wenzako wanapitia magumu pia.Baada ya vilio vingi kuhusu mabinti zetu kuwatenda vibaya vijana wetu
baadhi kufunga harusi Leo na baada ya wiki ndani hakukaliki Kama sio kukutana mahakamani kupeana taraka
Katika mizunguko yangu nimekuja kugundua Kuna hazina ya mabinti wema nje ya makanisa,misikiti,majumbani,vyuoni na mashuleni
Na mabinti wenyewe ni Hawa wafuatao
1) Bar maid
Hawa niwanawake ambao hupitia changamoto nyingi kwenye maisha yao
Mishahara yao wakati mwingine huwa matumizi ya miili yao au kuuzwa na waajiri wao
Wengi hujikuta katika mazingila hayo kwa kuto kupenda au kushawishiwa na marafiki
Au madarali wa Wana wake na huja kushtuka Wana fanyishwa kazi hizo na hawana jinsi ya kujitoa hapo kufuatana mazingila magumu wanayo wekewa na wamiliki wao
Binti wa mwanza anaweza kuambiwa kwamba Kuna kazi mbeya ya kuuza hotel akatumiwa nauli na huyo aliye mtaftia hiyo kazi na akafika mbeya
Cha ajabu anafika mbeya anajikuta anavalishwa nguo za bar akikataa hata kula na Ana weza kufukuzwa na asijue pa kwenda kwa kutishwa kufanyiwa chochote hivyo hujikuta Hana jinsi
Wana wake Hawa Hukutana na wanaume wa kila aina na huishi nao kufutana na Tabia zao na huachana nao sarama
Niwanawake ambao wengi wao wanakuwa wamesha pitia kila aina ya starehe kwahiyo sio wageni wa starehe Bali wao huwa wageni wa kumpata mtu au watu wanaonwapend kweli
Na pia Wana nidhamu ya Hari ya juu niwa skivu wavumilivu na watiifu kwa wateja zao ambao ni wanaume kwa kiasi kikubwa
Basi Kama uta bahatika.kumpata bar maid ambaye anashida na ndoa naludia tena mwenye shida na ndoa
basi nenda nae hospital pimeni afya mwowe huji kujutia kwenye maisha yako
2) Wahudumu wa hotelini
Hawa niwana wake wenye nizamu huamka hasubuhi na mapema kuwa andalia wateja wao mazingira mazuri
Wana rugha Safi na sarama niwa kalimu na wasikivu pia wanajua kuya fanya Mambo makubwa kuwa madogo
Kama uta bahatika kukutana nae mwenye shida na ndoa baada ya kufuata taratibu sahihi weka ndani utakuja unishukuru
3) Wahudumu/wasaidizi migahawani
Hawa niwana wake ambao hulipwa mpaka 2000 kwa siku Kama sio 5000
Hawa niwana wake ambao huwaomba Dada ndugu na marafiki walioko mjini connections za kazi
Baadae huitwa nahao watu lakini baada ya kufika mjini hujikuta wanaona ni Bora maisha ya vijijini waliko toka kuliko maisha ya kazi zao
Wanapitia maisha magumu Sana wakati.mwingine huuzwa na waajiri wao/maboss zao kwa wanaume/wateja zao kitu ambacho sio ridhaa yao
Kama uta bahatika kumpata mwenye shida ya kuolewa katika kundi hili fuata taratibu zote za msingi weka ndani dunia utaiona paradiso
Mwisho nikuombe ndugu mwana jf kwamba ukimkuta mtoto wakike bar,migahawani, hotelini,au popote pale unapo ona au kudhani Pana tweza utu wake
Elewa yupo pale sio kwa sababu anapenda kuwa pale Ila nikwasababu amekosa mtu/maraika wa kumtoa pale alipo
Na mtu/maraika huyo sio mtu mwingine unaweza kuwa niwewe mwenyewe uliye mkuta hapo alipo
Hivyo Basi.
msaidie kifedha hata Kama humtumii au huji kumtumia
msaidie kima wazo hata Kama huna mpango Wala ndoto nae
tafta mda wa kuzungumza nae ili angalau usikilize shida zake au changa Moto zake badara ya kujiangalia wewe binafsi tu
Nina Imani utajifunza mengi utaheshimu kila mwanamke aliyepo mbele yako
Maisha nifumbo/kesho nifumbo
Mwisho
Kabla huja changia kaa na mabinti tofauti tofauti wanaopatikana mazingira Kama hayo hapo juu uwaulize ilikuwaje wakafika walipo?
Nina Imani utakuja na mazito hapa.
Wakishapata walichokifuata kwa mwanaume hapo ndipo wanaanza kujiita ferminist, superwoman, malkia wa nguvu, strong woman n.k tena kama uyo mwanamke hana aibu usishangae akasema wewe mwanaume uliemwezesha ndio ulikua kikwazo cha yeye kufanikiwa ndio maana alidai talaka, mfano mzuri ni cristina shusho.Wakishapata pesa utaona watakavyobadilika
Nb..sio wotee
Kwa Wajukuu tuliopata Posa nyingi wakati wa kumuozesha ni huyo, mumewe amepata Chuma hasa kuanzia height, namba 8 iliyosimama, rangi ya Dubai bila kusahau brain with beauty🤗Ngoja legend Graham akuthaminishe
Muache kwanza aendelee na mawazo yake😂Mleta mada tumwambie au tumuache kwanza?
Haaaaaah! Kumbe Mali ipo securedKwa Wajukuu tuliopata Posa nyingi wakati wa kumuozesha ni huyo, mumewe amepata Chuma hasa kuanzia height, namba 8 iliyosimama, rangi ya Dubai bila kusahau brain with beauty🤗
Yule Mumewe Mpare pamoja na ubahili wote ule, lakini alitoa Pochi Nene kwaajili yake 😜
Huyo kitambo tumekula Mahari yake 🤗Haaaaaah! Kumbe Mali ipo secured
Sheria ipitiwe upya, wake wataitumia vibaya kujipatia maslahiMajuzi niliandika uzi kwamba kuzaliwa mwanaume ni hatia, nikimaanisha kwamba dunia haitajali chochote kuhusu mwanaume, uzi wako umethibista nilichokiandika. Wewe umesukumwa na huruma kwa magumu ya mwanamke na unataka kumuokoa na magumu hayo ili upewe reward ya sex, lakini haujali kwamba kuna wanaume wenzako wanapitia magumu pia.
Kwa kifupi unasema kwamba tuoe wanawake wenye hali ngumu na waliopitia sexual harassment, hao ni hatari sana mzee baba, kwanza wanaishi na trauma za mahusiano yao yaliyopita, to her you will always be a suspect, pili atajishikiza kwako akiwa na shida pale atakapojipata baada ya wewe kumuwezesha ataenda kwa mwanaume wa ndoto zake.
Kama suala ni kumsaidia ilo ni jukumu la wazazi na ndugu zake, acha kimbele mbele cha kubeba jukumu ambalo halikuhusu. Kumbuka mwanamke ana uhuru wa kukuacha bila kukulipa compensation ya gharama ulizoingia kwa ajiri yake, na kama mmefunga ndoa atapata na mgao wa mali zako, yaani mwanamke anakupiga na bado ana reward ya kisheria kwa upigaji aliokufanyia.
Uplift your fellow men, these hoes aint loyal
😅🏃🏃🏃Hofyoooooo😄
Napia mzamia meli timamu hawezi kukosa kujua zilipo boats za emergency za mabahariaMinasema hivi.....
Mzamia meli, hawezi kuwa baharia...
Majivuno ni ya niiniii...Dunia tunapitaaa, kila kitu kitabakiaaa.
Wakati mwingine mwanamke anaweza kujakwako kwa lengo la.kuku dhuruMajuzi niliandika uzi kwamba kuzaliwa mwanaume ni hatia, nikimaanisha kwamba dunia haitajali chochote kuhusu mwanaume, uzi wako umethibista nilichokiandika. Wewe umesukumwa na huruma kwa magumu ya mwanamke na unataka kumuokoa na magumu hayo ili upewe reward ya sex, lakini haujali kwamba kuna wanaume wenzako wanapitia magumu pia.
Kwa kifupi unasema kwamba tuoe wanawake wenye hali ngumu na waliopitia sexual harassment, hao ni hatari sana mzee baba, kwanza wanaishi na trauma za mahusiano yao yaliyopita, to her you will always be a suspect, pili atajishikiza kwako akiwa na shida pale atakapojipata baada ya wewe kumuwezesha ataenda kwa mwanaume wa ndoto zake.
Kama suala ni kumsaidia ilo ni jukumu la wazazi na ndugu zake, acha kimbele mbele cha kubeba jukumu ambalo halikuhusu. Kumbuka mwanamke ana uhuru wa kukuacha bila kukulipa compensation ya gharama ulizoingia kwa ajiri yake, na kama mmefunga ndoa atapata na mgao wa mali zako, yaani mwanamke anakupiga na bado ana reward ya kisheria kwa upigaji aliokufanyia.
Uplift your fellow men, these hoes aint loyal