Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Lugharugha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugharugha
Eb mwangilie Atoto kama anafaaa, hv mfano zamani ukiletewa mwanamke hakudharau kwamba ulishindwa kusaka mwenyewe mpaka uletewe? Unaanzaje kugenerate hisia za kumpenda? Sasa mzee Kwa mara ya kwanza unaiombaje na wakati umeletewa😂Kuweni na imani na Wazee 🤗
Tatizo Vijana Hamtaki kututumia Wazee wenu vizuri, sisi kutokana na uzoefu na umri tulionao, tunaweza kuangalia mke mtarajiwa tukasema pale yaliyomo yamo ama hakuna 😜
🤣🤣🤣🤣🤣 weeeeh mangeu gani tena!Dadangu huyo moyo wake una mangeu sana kujifunza mahusiano Kwa gharama sana
Wewe tumeamua ukawe padri.Nafarijika sana kuona ombi langu linakumbukwa, nileteeni huyo mwali na kazi nae
Hofyoooooo😄Kuweni na imani na Wazee 🤗
Tatizo Vijana Hamtaki kututumia Wazee wenu vizuri, sisi kutokana na uzoefu na umri tulionao, tunaweza kuangalia mke mtarajiwa tukasema pale yaliyomo yamo ama hakuna 😜
Raha zote zile niwe padreee? Aweeee! lazima apatikane tukumbatiane mpaka alfajiriWewe tumeamua ukawe padri.
Mie tena! Wife 'material' wa kwendaaaa🤣🤣🤣🤣Eb mwangilie Atoto kama anafaaa, hv mfano zamani ukiletewa mwanamke hakudharau kwamba ulishindwa kusaka mwenyewe mpaka uletewe? Unaanzaje kugenerate hisia za kumpenda? Sasa mzee Kwa mara ya kwanza unaiombaje na wakati umeletewa😂
Una wito, basi tu kiburi. Ngoja kikulambe🤣Raha zote zile niwe padreee? Aweeee! lazima apatikane tukumbatiane mpaka alfajiri
Ngoja legend Graham akuthaminisheMie tena! Wife 'material' wa kwendaaaa🤣🤣🤣🤣
Hisia za Mapenzi huamshwa na vitu vidogo dogo mfano kula pamojaEb mwangilie Atoto kama anafaaa, hv mfano zamani ukiletewa mwanamke hakudharau kwamba ulishindwa kusaka mwenyewe mpaka uletewe? Unaanzaje kugenerate hisia za kumpenda? Sasa mzee Kwa mara ya kwanza unaiombaje na wakati umeletewa😂
Uzuri Atoto yupo kama sehemu ya contingency planUna wito, basi tu kiburi. Ngoja kikulambe🤣
Aseme kijana go ahead binti upstairs zimo, umbo swaaafi, mapishi 100% muonekano full chapati ya kumimina🤣🤣 Aaaah babu wa mchongo Grahams unategemea atasemaje?
Hiiiiii baghoshaaa!Aseme kijana go ahead binti upstairs zimo, umbo swaaafi, mapishi 100% muonekano full chapati ya kumimina
😂😂😂Eb vua nguo ulale bibieHiiiiii baghoshaaa!
Mungu ni wetu soteUshindwe, unyong'onyee na upoteleeee😄
Kwahiyo umesadiki maneno ya Binti kiziwi? Unaniruhusu niweke NIDA hapa mjukuu? Hao wote umewataja hatuachani umri Kwa mbali, amekosekana Watu8 swahiba wangu. Umri umesogea sema tumeamua kukubali matokeo kwamba wakati umetutupa.
Mimi nakazia tu mkongwe...@Kapeace sisi muda si mrefu tunakuwa senior citizens, ila tunashukuru Mungu tu wengine katuumba na udongo mzuri