min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
😁😁inabidi vijana wafunge ndoa za mikataba ,kuna kuchokana eti🤔Sisi tena!! Sie hatuna shida kabisa malaika wa watu🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁inabidi vijana wafunge ndoa za mikataba ,kuna kuchokana eti🤔Sisi tena!! Sie hatuna shida kabisa malaika wa watu🤣🤣🤣🤣
Shughuli itaanza pale mwenyekiti na katibu watakapokua na kuamua kuoa🤣🤣🤣
Watapoteana wasiamini majicho yao🤣🤣Mwenyekiti, Muweka hazina, mjumbe na wako hapa wananiomba niwe mshenga Katibu anataka kuoa
Utapigwa nakwambia!Shughuli itaanza pale mwenyekiti na katibu watakapokua na kuamua kuoa🤣🤣🤣
Shindikana na wewe ni kataa ndoa? Tutakutenga kaskazini.😁😁inabidi vijana wafunge ndoa za mikataba ,kuna kuchokana eti🤔
Nina mbio balaaa🤣🤣🤣Utapigwa nakwambia!
Na mimi nataka huo urojoNashukuru mjukuu. Mie siku zote napingana na sera zozote jumuishi. Hauwezi kusema kabila fulsni wako hivi, kundi hili wako vile, wake bora wanapatikana mahali flani, au Wana sifa za aina hii.
Kwanza, binadamu yoyote anabadilika Kwa kadri ya mambo anayokutana nayo na kukabiliana nayo kwenye safari yake ya maisha ( mfano wewe najua fika zamani haukua na mambo ya dog kasoro mkia).
Hivyo, mhudumu wa bar ukimuweka ndani, hakuna guarantee kwamba atakuwa Mke Bora, anaweza kukutoa kipara na mvinza kope vilevile.
Umnyanyase na kumzingua abaki na utiifu kisa ulimtoa bar?
Acha nikatafute urojo forodhani kwanza mjukuu.
Partnership agreement, with renewal provision.😁😁inabidi vijana wafunge ndoa za mikataba ,kuna kuchokana eti🤔
Hapana siwezi kataa wanawake 😅😅Shindikana na wewe ni kataa ndoa? Tutakutenga kaskazini.
Hao kuoa ni ngumu labda kuolewa🤣🤣🤣ndo hivyo tunawasaidia wasiangukie huko nao hawaelewiShughuli itaanza pale mwenyekiti na katibu watakapokua na kuamua kuoa🤣🤣🤣
Bahati yako, yaani Disemba tungekulamba makofi usiamini🤣Hapana siwezi kataa wanawake 😅😅
Hiyo ndo kampeni yao niliwashtukia kitambo sanaHili nalo neno, ukute wamepata ka kichaka ka kufichia uovu wao🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Shetani ashindweeeeee!
Hii ya mpaka kifo kitutenganishe majanga matupu😁Partnership agreement, with renewal provision.
Na mimi nataka huo urojo
Humu kuna wanaume wenye makelele sana na huwezi kuta nafokeana na mtu kama wewe nk, ila wale vichwa panzi lazima tuwakumbushe kidogo ili wakae kwenye mstari waache kuleta sheria na masharti humu sio kwao
Ooooh Lord!! Na ukizingatia huu mtandao ndio faraja yao kwa Tz, maana hawajulikani🙆♀️🙆♀️🙆♀️Hiyo ndo kampeni yao niliwashtukia kitambo sana
Kataa ndoa wazugaji tu 😁Bahati yako, yaani Disemba tungekulamba makofi usiamini🤣
Tulia wewe!Hii ya mpaka kifo kitutenganishe majanga matupu😁