Kwa sasa, huenda hawa wakawa ndio Wanawake bora wa kuoa

Kwa sasa, huenda hawa wakawa ndio Wanawake bora wa kuoa

In most cases utapata mke mzuri akiwa amelelewa vizuri. Amefundishwa thamani yake na thamani ya wengine, aliyelelewa kwa upendo, akawa na upendo ataweza kutoa upendo, mtu hawezi kutoa ambacho hana, hii formula mbona rahisi?

Ukipata aliyelelewa kwa huruma, akawa na huruma atatoa huruma, atakuwa anakuhurumia mumewe, vivo hivyo kwa tabia zingine kama msamaha, heshima, kujitoa etc! and vice versa is true!

Mnaoverlook sana mambo mtalia kila siku!
Unamlea binti yako vizuuuuri, halafu anakutana na furushi moja amazing 😜😜😜
 
Kwisha yeye! 😂

Kuna ile meme inasema turudi kwenye utaratibu wakutafutiwa mke yaishe! 🤣
Mpaji Mungu yeye alishajisemea kuwa familia tusipomtafutia mke, basi hatoboi. Kwakweli wazee waingilie kati. Tatizo wazee wenyewe sasa ndio kina Grahams na akina ERoni 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
Aaaaah hakuna kutoboa kabisa🤣🤣🤣
 
Mpaji Mungu yeye alishajisemea kuwa familia tusipomtafutia mke, basi hatoboi. Kwakweli wazee waingilie kati. Tatizo wazee wenyewe sasa ndio kina Grahams na akina ERoni 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
Aaaaah hakuna kutoboa kabisa🤣🤣🤣
Hahaha ngoja waje hao wazee uliowaita!

ERoni awe wa kwanza kupewa kipaza sauti afuatie babu Grahams!
 
Wakishapata pesa na maisha ambayo walikuwa hawana wanabadilka pia,wanawake hawana formlar kabisa unaweza mnunulia gari akamtunuku penzi aliyemzibia pancha njiani
Usimbetie kabisa mwanamke yani saa unamuonesha mapenzi ndio Kila kitu kinaharibika Hawa wanapenda uncertainty Kila wakati
 
Hao viumbe hawatabiriki, ukimkuta mwenye elimu ni mtihani, na asie na elimu ni mtihani, ukimkuta na anapesa ni janga na ukimkuta hana pesa ni janga, omba tu Mungu ukutana na mwenye hofu ya Mungu tu, maana hao wajielewe au wasijielewe ni misiba kwa walio wengi
 
Bado zipo?
Nashindwa kuelewa kabisa mjukuu, shida ni waoaji au waolewaji? Malalamiko kutoka Kwa wanaotarajiwa kuoa yamekua mengi sana.

Nimeona Kuna Chama kipya kimesajiliwa kinaitwa kataa ndoa, na kinavuta wafuasi balaa.
Hivyo ni vivulana vilivyoanza balehe vinakurupukia mambo makubwa kuwazidi hata visikupe kisukari babu
 
Hivyo ni vivulana vilivyoanza balehe vinakurupukia mambo makubwa kuwazidi hata visikupe kisukari babu

Nashukuru mjukuu. Mie siku zote napingana na sera zozote jumuishi. Hauwezi kusema kabila fulsni wako hivi, kundi hili wako vile, wake bora wanapatikana mahali flani, au Wana sifa za aina hii.

Kwanza, binadamu yoyote anabadilika Kwa kadri ya mambo anayokutana nayo na kukabiliana nayo kwenye safari yake ya maisha ( mfano wewe najua fika zamani haukua na mambo ya dog kasoro mkia).

Hivyo, mhudumu wa bar ukimuweka ndani, hakuna guarantee kwamba atakuwa Mke Bora, anaweza kukutoa kipara na mvi za kope vilevile.

Umnyanyase na kumzingua abaki na utiifu kisa ulimtoa bar?

Acha nikatafute urojo forodhani kwanza mjukuu.
 
Back
Top Bottom