Kwa sasa, huenda hawa wakawa ndio Wanawake bora wa kuoa

Kwa sasa, huenda hawa wakawa ndio Wanawake bora wa kuoa

Bar maid ni mabinti Kama mabinti wengine tofauti ni Hilo jina bar maid tu mkuu wangu
Mazingira ya kazi yanawaharibu
Hebu fikiria binti wa miaka 18 kila siku anakunywa pombe, analala saa 8, ananyanyasika na wateja wakilewa ambao ni wanaume, bosi wake (meneja). Mshahara usiokidhi mahitaji yake hadi anajiingiza kwenye ukahaba, analala geto. Hadi afikishe miaka 28 atakuwa ametembea na wanaume 3,000+
 
Mazingira ya kazi yanawaharibu
Hebu fikiria binti wa miaka 18 kila siku anakunywa pombe, analala saa 8, ananyanyasika na wateja wakilewa ambao ni wanaume, bosi wake (meneja). Mshahara usiokidhi mahitaji yake hadi anajiingiza kwenye ukahaba, analala geto. Hadi afikishe miaka 28 atakuwa ametembea na wanaume 3,000+
😅😅 Kinacho kutishwa hapo ni wanaume 3000+

Vipi Usha wai kufikilia kuhusu bint wa chuo toka darasa la Saba mpaka Ana maliza chuo +kuajiliwa atakuwa ametembea na wanaume wangapi?

Kuhusu mazingira hapo sikatai mkuu kiukweli ndio msingi wa kuharibikiwa kwao lakini pia kwa kutumia mazingira hayo hayo anaweza kubadilika na kuwa mke mwema mkuu

Pamoja na hayo nikushukulu kwa mchango wako🙏🙏
 
Hao wote uliowataja wametumika Sana. Na kwenye simu zao zimejaa namba za wateja wao. Ni vigumu mhudumu wa hoteli au bar kukataa dau ulilolitangaza kimasihara. Hata kama masharti ya kazi ni magumu kiasi gani atatafuta muundombinu mbabadala hadi alikwapue dau hilo yeye mwenyewe in person. Wapo kwenye risk kubwa ya maambukizi
 
Picha linaanza kabebwa Mwanza kaletwa Mbeya kwa kudanganywa kuwa kuna kazi nzuri,anafika kazi hakuna anaanza kudangishwa,huyo hajitambui,ukioa huyo kwa hiari yako kabisa utakuwa umechagua upande wa vita wa Ukraine.
 
Baada ya vilio vingi kuhusu mabinti zetu kuwatenda vibaya vijana wetu

baadhi kufunga harusi Leo na baada ya wiki ndani hakukaliki Kama sio kukutana mahakamani kupeana taraka

Katika mizunguko yangu nimekuja kugundua Kuna hazina ya mabinti wema nje ya makanisa,misikiti,majumbani,vyuoni na mashuleni

Na mabinti wenyewe ni Hawa wafuatao

1) Bar maid
Hawa niwanawake ambao hupitia changamoto nyingi kwenye maisha yao

Mishahara yao wakati mwingine huwa matumizi ya miili yao au kuuzwa na waajiri wao

Wengi hujikuta katika mazingila hayo kwa kuto kupenda au kushawishiwa na marafiki

Au madarali wa Wana wake na huja kushtuka Wana fanyishwa kazi hizo na hawana jinsi ya kujitoa hapo kufuatana mazingila magumu wanayo wekewa na wamiliki wao

Binti wa mwanza anaweza kuambiwa kwamba Kuna kazi mbeya ya kuuza hotel akatumiwa nauli na huyo aliye mtaftia hiyo kazi na akafika mbeya

Cha ajabu anafika mbeya anajikuta anavalishwa nguo za bar akikataa hata kula na Ana weza kufukuzwa na asijue pa kwenda kwa kutishwa kufanyiwa chochote hivyo hujikuta Hana jinsi

Wana wake Hawa Hukutana na wanaume wa kila aina na huishi nao kufutana na Tabia zao na huachana nao sarama

Niwanawake ambao wengi wao wanakuwa wamesha pitia kila aina ya starehe kwahiyo sio wageni wa starehe Bali wao huwa wageni wa kumpata mtu au watu wanaonwapend kweli

Na pia Wana nidhamu ya Hari ya juu niwa skivu wavumilivu na watiifu kwa wateja zao ambao ni wanaume kwa kiasi kikubwa

Basi Kama uta bahatika.kumpata bar maid ambaye anashida na ndoa naludia tena mwenye shida na ndoa

basi nenda nae hospital pimeni afya mwowe huji kujutia kwenye maisha yako

2)wahudumu wa hotelini

Hawa niwana wake wenye nizamu huamka hasubuhi na mapema kuwa andalia wateja wao mazingira mazuri

Wana rugha Safi na sarama niwa kalimu na wasikivu pia wanajua kuya fanya Mambo makubwa kuwa madogo

Kama uta bahatika kukutana nae mwenye shida na ndoa baada ya kufuata taratibu sahihi weka ndani utakuja unishukuru

3)wahudumu/wasaidizi migahawani

Hawa niwana wake ambao hulipwa mpaka 2000 kwa siku Kama sio 5000

Hawa niwana wake ambao huwaomba Dada ndugu na marafiki walioko mjini connections za kazi

Baadae huitwa nahao watu lakini baada ya kufika mjini hujikuta wanaona ni Bora maisha ya vijijini waliko toka kuliko maisha ya kazi zao

Wanapitia maisha magumu Sana wakati.mwingine huuzwa na waajiri wao/maboss zao kwa wanaume/wateja zao kitu ambacho sio ridhaa yao

Kama uta bahatika kumpata mwenye shida ya kuolewa katika kundi hili fuata taratibu zote za msingi weka ndani dunia utaiona paradiso

Mwisho nikuombe ndugu mwana jf kwamba ukimkuta mtoto wakike bar,migahawani, hotelini,au popote pale unapo ona au kudhani Pana tweza utu wake

Elewa yupo pale sio kwa sababu anapenda kuwa pale Ila nikwasababu amekosa mtu/maraika wa kumtoa pale alipo

Na mtu/maraika huyo sio mtu mwingine unaweza kuwa niwewe mwenyewe uliye mkuta hapo alipo

Hivyo Basi.

msaidie kifedha hata Kama humtumii au huji kumtumia

msaidie kima wazo hata Kama huna mpango Wala ndoto nae

tafta mda wa kuzungumza nae ili angalau usikilize shida zake au changa Moto zake badara ya kujiangalia wewe binafsi tu

Nina Imani utajifunza mengi utaheshimu kila mwanamke aliyepo mbele yako


maisha nifumbo/kesho nifumbo

Mwisho

Kabla huja changia kaa na mabinti tofauti tofauti wanao
patikana mazingira Kama hayo hapo juu uwaulize ilikuwaje wakafika walipo?

Nina Imani utakuja na mazito hapa
Wanawake wa namna hii penzi sio kitu Cha thaman,,yupo tear kutoa penz ili apate hudumu ya elf 2 au 3 ( boda boda watajivinjari)
 
Baada ya vilio vingi kuhusu mabinti zetu kuwatenda vibaya vijana wetu

baadhi kufunga harusi Leo na baada ya wiki ndani hakukaliki Kama sio kukutana mahakamani kupeana taraka

Katika mizunguko yangu nimekuja kugundua Kuna hazina ya mabinti wema nje ya makanisa,misikiti,majumbani,vyuoni na mashuleni

Na mabinti wenyewe ni Hawa wafuatao

1) Bar maid
Hawa niwanawake ambao hupitia changamoto nyingi kwenye maisha yao

Mishahara yao wakati mwingine huwa matumizi ya miili yao au kuuzwa na waajiri wao

Wengi hujikuta katika mazingila hayo kwa kuto kupenda au kushawishiwa na marafiki

Au madarali wa Wana wake na huja kushtuka Wana fanyishwa kazi hizo na hawana jinsi ya kujitoa hapo kufuatana mazingila magumu wanayo wekewa na wamiliki wao

Binti wa mwanza anaweza kuambiwa kwamba Kuna kazi mbeya ya kuuza hotel akatumiwa nauli na huyo aliye mtaftia hiyo kazi na akafika mbeya

Cha ajabu anafika mbeya anajikuta anavalishwa nguo za bar akikataa hata kula na Ana weza kufukuzwa na asijue pa kwenda kwa kutishwa kufanyiwa chochote hivyo hujikuta Hana jinsi

Wana wake Hawa Hukutana na wanaume wa kila aina na huishi nao kufutana na Tabia zao na huachana nao sarama

Niwanawake ambao wengi wao wanakuwa wamesha pitia kila aina ya starehe kwahiyo sio wageni wa starehe Bali wao huwa wageni wa kumpata mtu au watu wanaonwapend kweli

Na pia Wana nidhamu ya Hari ya juu niwa skivu wavumilivu na watiifu kwa wateja zao ambao ni wanaume kwa kiasi kikubwa

Basi Kama uta bahatika.kumpata bar maid ambaye anashida na ndoa naludia tena mwenye shida na ndoa

basi nenda nae hospital pimeni afya mwowe huji kujutia kwenye maisha yako

2)wahudumu wa hotelini

Hawa niwana wake wenye nizamu huamka hasubuhi na mapema kuwa andalia wateja wao mazingira mazuri

Wana rugha Safi na sarama niwa kalimu na wasikivu pia wanajua kuya fanya Mambo makubwa kuwa madogo

Kama uta bahatika kukutana nae mwenye shida na ndoa baada ya kufuata taratibu sahihi weka ndani utakuja unishukuru

3)wahudumu/wasaidizi migahawani

Hawa niwana wake ambao hulipwa mpaka 2000 kwa siku Kama sio 5000

Hawa niwana wake ambao huwaomba Dada ndugu na marafiki walioko mjini connections za kazi

Baadae huitwa nahao watu lakini baada ya kufika mjini hujikuta wanaona ni Bora maisha ya vijijini waliko toka kuliko maisha ya kazi zao

Wanapitia maisha magumu Sana wakati.mwingine huuzwa na waajiri wao/maboss zao kwa wanaume/wateja zao kitu ambacho sio ridhaa yao

Kama uta bahatika kumpata mwenye shida ya kuolewa katika kundi hili fuata taratibu zote za msingi weka ndani dunia utaiona paradiso

Mwisho nikuombe ndugu mwana jf kwamba ukimkuta mtoto wakike bar,migahawani, hotelini,au popote pale unapo ona au kudhani Pana tweza utu wake

Elewa yupo pale sio kwa sababu anapenda kuwa pale Ila nikwasababu amekosa mtu/maraika wa kumtoa pale alipo

Na mtu/maraika huyo sio mtu mwingine unaweza kuwa niwewe mwenyewe uliye mkuta hapo alipo

Hivyo Basi.

msaidie kifedha hata Kama humtumii au huji kumtumia

msaidie kima wazo hata Kama huna mpango Wala ndoto nae

tafta mda wa kuzungumza nae ili angalau usikilize shida zake au changa Moto zake badara ya kujiangalia wewe binafsi tu

Nina Imani utajifunza mengi utaheshimu kila mwanamke aliyepo mbele yako


maisha nifumbo/kesho nifumbo

Mwisho

Kabla huja changia kaa na mabinti tofauti tofauti wanao
patikana mazingira Kama hayo hapo juu uwaulize ilikuwaje wakafika walipo?

Nina Imani utakuja na mazito hapa
Namba 3 afadhali, ila iyo namba moja na mbili, mmh ni risk kubwa hiyo Killing machine
 
Wewe unaongelea ma-barmaid wa wapi??
Sinza kitambaa cheupe au wa Hyatt??

Km wa Sinza hao ni ma- afisa utamu wenye maneno km cherehani, ukimtaka umpe pesa manager ili afidie muda wa kazi akafanye kazi nyingine…..

Wewe km unaoa oa kila mwanamke na tabia zake, hata upewe malaika km ww muoaji huna tabulasa ni kazi bure.
 
Kwa akili zako,mwanamke atoke Mwanza aende Mbeya,kwa ridhaa yake,akose nauli ya kurudi,akubali tu kazi aliyoikuta! Umevurugwa wewe.
1. Akienda kwa wanawake wenzake hakosi nauli kwa kuchangiwa.
2. Akimwambia mshikaji amgegede yeye hata siku 2 ampe nauli,atapata.

Wa kukubali ni mzoefu. Hao wengine wawili,jaribu. Ila mwanamke wa baa,utampa nini hajapewa? Staili gani mpya hajafanywa? Tena hilo kundi,binafsi hata namba sichukui.
 
In most cases utapata mke mzuri akiwa amelelewa vizuri. Amefundishwa thamani yake na thamani ya wengine, aliyelelewa kwa upendo, akawa na upendo ataweza kutoa upendo, mtu hawezi kutoa ambacho hana, hii formula mbona rahisi?

Ukipata aliyelelewa kwa huruma, akawa na huruma atatoa huruma, atakuwa anakuhurumia mumewe, vivo hivyo kwa tabia zingine kama msamaha, heshima, kujitoa etc! and vice versa is true!

Mnaoverlook sana mambo mtalia kila siku!
 
Baada ya vilio vingi kuhusu mabinti zetu kuwatenda vibaya vijana wetu

baadhi kufunga harusi Leo na baada ya wiki ndani hakukaliki Kama sio kukutana mahakamani kupeana taraka

Katika mizunguko yangu nimekuja kugundua Kuna hazina ya mabinti wema nje ya makanisa,misikiti,majumbani,vyuoni na mashuleni

Na mabinti wenyewe ni Hawa wafuatao

1) Bar maid
Hawa niwanawake ambao hupitia changamoto nyingi kwenye maisha yao

Mishahara yao wakati mwingine huwa matumizi ya miili yao au kuuzwa na waajiri wao

Wengi hujikuta katika mazingila hayo kwa kuto kupenda au kushawishiwa na marafiki

Au madarali wa Wana wake na huja kushtuka Wana fanyishwa kazi hizo na hawana jinsi ya kujitoa hapo kufuatana mazingila magumu wanayo wekewa na wamiliki wao

Binti wa mwanza anaweza kuambiwa kwamba Kuna kazi mbeya ya kuuza hotel akatumiwa nauli na huyo aliye mtaftia hiyo kazi na akafika mbeya

Cha ajabu anafika mbeya anajikuta anavalishwa nguo za bar akikataa hata kula na Ana weza kufukuzwa na asijue pa kwenda kwa kutishwa kufanyiwa chochote hivyo hujikuta Hana jinsi

Wana wake Hawa Hukutana na wanaume wa kila aina na huishi nao kufutana na Tabia zao na huachana nao sarama

Niwanawake ambao wengi wao wanakuwa wamesha pitia kila aina ya starehe kwahiyo sio wageni wa starehe Bali wao huwa wageni wa kumpata mtu au watu wanaonwapend kweli

Na pia Wana nidhamu ya Hari ya juu niwa skivu wavumilivu na watiifu kwa wateja zao ambao ni wanaume kwa kiasi kikubwa

Basi Kama uta bahatika.kumpata bar maid ambaye anashida na ndoa naludia tena mwenye shida na ndoa

basi nenda nae hospital pimeni afya mwowe huji kujutia kwenye maisha yako

2)wahudumu wa hotelini

Hawa niwana wake wenye nizamu huamka hasubuhi na mapema kuwa andalia wateja wao mazingira mazuri

Wana rugha Safi na sarama niwa kalimu na wasikivu pia wanajua kuya fanya Mambo makubwa kuwa madogo

Kama uta bahatika kukutana nae mwenye shida na ndoa baada ya kufuata taratibu sahihi weka ndani utakuja unishukuru

3)wahudumu/wasaidizi migahawani

Hawa niwana wake ambao hulipwa mpaka 2000 kwa siku Kama sio 5000

Hawa niwana wake ambao huwaomba Dada ndugu na marafiki walioko mjini connections za kazi

Baadae huitwa nahao watu lakini baada ya kufika mjini hujikuta wanaona ni Bora maisha ya vijijini waliko toka kuliko maisha ya kazi zao

Wanapitia maisha magumu Sana wakati.mwingine huuzwa na waajiri wao/maboss zao kwa wanaume/wateja zao kitu ambacho sio ridhaa yao

Kama uta bahatika kumpata mwenye shida ya kuolewa katika kundi hili fuata taratibu zote za msingi weka ndani dunia utaiona paradiso

Mwisho nikuombe ndugu mwana jf kwamba ukimkuta mtoto wakike bar,migahawani, hotelini,au popote pale unapo ona au kudhani Pana tweza utu wake

Elewa yupo pale sio kwa sababu anapenda kuwa pale Ila nikwasababu amekosa mtu/maraika wa kumtoa pale alipo

Na mtu/maraika huyo sio mtu mwingine unaweza kuwa niwewe mwenyewe uliye mkuta hapo alipo

Hivyo Basi.

msaidie kifedha hata Kama humtumii au huji kumtumia

msaidie kima wazo hata Kama huna mpango Wala ndoto nae

tafta mda wa kuzungumza nae ili angalau usikilize shida zake au changa Moto zake badara ya kujiangalia wewe binafsi tu

Nina Imani utajifunza mengi utaheshimu kila mwanamke aliyepo mbele yako


maisha nifumbo/kesho nifumbo

Mwisho

Kabla huja changia kaa na mabinti tofauti tofauti wanao
patikana mazingira Kama hayo hapo juu uwaulize ilikuwaje wakafika walipo?

Nina Imani utakuja na mazito hapa
Wakiwa nje wapole subiri waingie ndani. Hakuna rangi utaacha kuona
 
In most cases utapata mke mzuri akiwa amelelewa vizuri. Amefundishwa thamani yake na thamani ya wengine, aliyelelewa kwa upendo, akawa na upendo ataweza kutoa upendo, mtu hawezi kutoa ambacho hana, hii formula mbona rahisi?

Ukipata aliyelelewa kwa huruma, akawa na huruma atatoa huruma, atakuwa anakuhurumia mumewe, vivo hivyo kwa tabia zingine kama msamaha, heshima, kujitoa etc! and vice versa is true!

Mnaoverlook sana mambo mtalia kila siku!
Jibu sahihi
 
Jibu sahihi
Thank you champ! I wish kuna vitu watu waelewe, ama sivyo tukubali kumchukua yeyote na uanze upya kufoster positive behaviors.

Wataalamu watatuambia chances ni ngapi kwa mtu mzima kufundishwa positive behaviors!

Haya mambo ni magumu, kuna muda unawaacha watu wateseke na machaguo yao 😂
 
Thank you champ! I wish kuna vitu watu waelewe, ama sivyo tukubali kumchukua yeyote na uanze upya kufoster positive behaviors.

Wataalamu watatuambia chances ni ngapi kwa mtu mzima kufundishwa positive behaviors!

Haya mambo ni magumu, kuna muda unawaacha watu wateseke na machaguo yao 😂
Mleta mada,amepindishi ukweli. Angesema wana sura na chura, hapo sawa. Wengi wao akimuona,namba anachukua,zigo anapiga,na hapo anahalalisha ndoa. Huyu kaongozwa na nyege. Ataachaje kuziona rangi za kila aina? Ukweli ni kwamba mwanamke mwenye malezi,hawezi kufanya kazi baa. Na akifanya,utaona utofauti na wenzake. Full stop.
 
Mleta mada,amepindishi ukweli. Angesema wana sura na chura, hapo sawa. Wengi wao akimuona,namba anachukua,zigo anapiga,na hapo anahalalisha ndoa. Huyu kaongozwa na nyege. Ataachaje kuziona rangi za kila aina? Ukweli ni kwamba mwanamke mwenye malezi,hawezi kufanya kazi baa. Na akifanya,utaona utofauti na wenzake. Full stop.
Hii elimu utusaidie kuwapa vijana wadogo ambao bado hawajaelewa mambo labda inaweza kuleta positive impacts kwa hizi ziitwazo ndoa za sasa.

Huyu mleta mada tumuache alie.
 
Mambo Kama haya wanayo Hawa tunao waits wa kuwaowa

Fikilia mwanamke alikuwa anafanya kazi ya usaidizi wa mgahawa analipwa 2000 toka hasubuhi mpaka jioni

Unakuja ku mwoa unamwachia kila siku 10000

Atakudharau kweli ili aludi aliko toka mkuu?
Ukiwaoa wewe inatosha
 
Kwani wewe r na l zilikupita mbali wakati tunafundishwa irabu na konsonanti darasa la pili? Dh na Z hujui zatakiwa kutumika wapi na wapi?

Mwl wa kiswahili kapita hapa
 
Back
Top Bottom