Kwa sasa kumtetea Rais MAGUFULI (RIP) ni ngumu sana sawa na kuwatetea Single mother kulivyo na ugumu

Kwa sasa kumtetea Rais MAGUFULI (RIP) ni ngumu sana sawa na kuwatetea Single mother kulivyo na ugumu

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Mimi nilikuwa na mkubali sana jpm kwa 90% katika utendaji wake wote na hata kifo chake kinaniuma hadi leo.
Mimi sio mtu wa siasa za hapa Tz Maana naona kabisa hii nchi hakuna chama cha upinzani kilicho serious.

Siku mbili hizi Tangu kitabu cha kabendera kiachiwe naona jpm kafukuliwa huko aliko hata mafisadi yamepata pakutemea nyongo.Yaani imekuwa ngumu mno kusimama na kutetea hata ukisema mazuri yake buku anaibuka mtu anakwambia Jpm alimpiga bastola ben saanane hadi akaanza kutetemeka na siraha ikadondoka chini.

Nikweli yanasemwa mengi sana kuhusu ubaya wake na wengi wanasema alikuwa kichaa..... Ningependa hizi tuhuma zithibitishwe kwa ushahidi kama kweli jpm alienda kumbaka makamu wake akiwa kavaa pajama tupu kama mwandishi anavyosema na kwa kuwa makamu yupo aende akatoe ushahidi mahakamani kuwa kweli mimi makamu wake jpm alikuja na pajama akitaka kunibaka nami nikamwambia nitajihudhuru u makamu.

Tofauti na hapo hizi hoja hazina mashiko yoyote. Mimi siamini wala sikatai ila nitaamini na kukubali iwapo ushahindi utatolewa na kuthibitisha kuwa ni kweli aliua.

Nimeona Uzi wa Askofu mwamakula naye katema nyongo yake lakini bado hoja yake zinakoswa mashiko kama alijitoa muhanga ilikuwaje asiyaseme hayo yote kipindi hicho?


Nachojiuliza hadi sasa mbona utekaji na mauaji yamezidi kuliko hata kipindi cha jpm?
 
Pamoja na yote baadhi ya watu walistahili kukutwa na yaliyowakuta kipind cha JPM.

Ni wachache Sana walionewa.

Hii nchi imejaa watu wa hovyo Sana na ili kiongozi aweze kuibadili na kuleta maendeleo ni lazima mkono wa chuma utumike.

Naweka hapa baadhi ya mnaoona walionewa.

1. Kipind cha JPM watumishi wa umma kutoongezwa mishahara hawakuonewa maana hili kundi Kwa asilimia kubwa halitimiz majukum ipasavyo .

2. Vyama vya Upinzani kudhibitiwa kipind cha JPM ilikuwa Sawa tu maana tulivyonavyo nchini si Vyama Bali ni magenge ya wenye akili wachache wanaotumia ujinga wa Watanzania kujinufaisha.

3. Erick Kabendera alitumia kalamu yake vibaya kuandika Mambo yasiyonufaisha nchi. Hata hivyo Zaid ya kuwekwa kizuizin hakuna alichotendewa

4. Jaribio la mauaji ya Tundu Lissu. Ukweli ni kwamba utawala ule ulichoshwana chokochoko za Lissu. Hawakuwa na options zingine Zaid ya kujaribu kumuua maana Lissu huwez kumshinda kisheria.

5. Ben Saanane. Hoja yake kuhusu PhD ya JPM ililenga kutaka kumdhalilisha JPM Kwa maslahi yasiyojulikana. Hakustahili kuuwawa lakin kitendo cha Ben Saanane kilistahili adhabu ,, je JP< angefanya nin maana asingeweza kumpeleka mahakani.


Tufahamu sote kwamba Katiba yetu imempa Rais mamlaka makubwa Sana hvyo unapoanzisha mgogoro binafsi na mtu aliye juu ya sheria basi angalau iwe ni Kwa maslahi mapana Sana na ya waziwaz ya taifa.
 
Mimi nilikuwa na mkubali sana jpm kwa 90% katika utendaji wake wote na hata kifo chake kinaniuma hadi leo.
Mimi sio mtu wa siasa za hapa Tz Maana naona kabisa hii nchi hakuna chama cha upinzani kilicho serious.

Siku mbili hizi Tangu kitabu cha kabendera kiachiwe naona jpm kafukuliwa huko aliko hata mafisadi yamepata pakutemea nyongo.Yaani imekuwa ngumu mno kusimama na kutetea hata ukisema mazuri yake buku anaibuka mtu anakwambia Jpm alimpiga bastola ben saanane hadi akaanza kutetemeka na siraha ikadondoka china.

Nikweli yanasemwa mengi sana kuhusu ubaya wake na wengi wanasema alikuwa kichaa..... Ningependa hizi tuhuma zithibitishwe kwa ushauri kama kweli jpm alienda kumbaka makamu wake akiwa kavaa pajama tupu kama mwandishi anavyosema na kwa kuwa makamu yupo aende akatoe ushahidi mahakamani kuwa kweli mimi makamu wake jpm alikuja na pajama akitaka kunibaka nami nikamwambia nitajihudhuru u makamu.

Tofauti na hapo hizi hoja hazina hazina mashiko zote. Mimi siamini wala sikatai ila nitaamini na kukubali iwapo ushahindi utatolewa na kuthibitisha kuwa ni kweli.

Nimeona Uzi wa Askofu mwamakula naye katema nyongo yake lakini bado hoja yake zinakoswa mashiko kama alijitoa muhanga ilikuwaje asiyaseme hayo yote kipindi?


Nachojiuliza hadi sasa mbona utekaji na mauaji yamezidi kuliko hata kipindi cha jpm?
Ebu weka kura ya maoni kati ya wanaomkubali Mwamba Magufuli na wasiomkubali tuone!
 
kuwa kiongozi wa watu zaidi ya milioni 60 sio kazi ndogo, inapobidi kuuwa wachache kwaajili ya wengi ni sahihi kama kiongozi. Kwajinsi nchi hii ilivyo kama nikweli basi Mungu atamsamehe Magufuli huko aliko kwa kuchomoa samaki wachache waliooza kwenye friji ili samaki wengi nao wasioze.
Lolote litakalosemwa kuhusu Magufuli haliwezi kufunika mazuri mengi aliyoyafanya kwenye nchi hii.
 
Pamoja na yote baadhi ya watu walistahili kukutwa na yaliyowakuta kipind cha JPM.

Ni wachache Sana walionewa.

Hii nchi imejaa watu wa hovyo Sana na ili kiongozi aweze kuibadili na kuleta maendeleo ni lazima mkono wa chuma utumike.

Naweka hapa baadhi ya mnaoona walionewa.

1. Kipind cha JPM watumishi wa umma kutoongezwa mishahara hawakuonewa maana hili kundi Kwa asilimia kubwa halitimiz majukum ipasavyo .

2. Vyama vya Upinzani kudhibitiwa kipind cha JPM ilikuwa Sawa tu maana tulivyonavyo nchini si Vyama Bali ni magenge ya wenye akili wachache wanaotumia ujinga wa Watanzania kujinufaisha.

3. Erick Kabendera alitumia kalamu yake vibaya kuandika Mambo yasiyonufaisha nchi. Hata hivyo Zaid ya kuwekwa kizuizin hakuna alichotendewa

4. Jaribio la mauaji ya Tundu Lissu. Ukweli ni kwamba utawala ule ulichoshwana chokochoko za Lissu. Hawakuwa na options zingine Zaid ya kujaribu kumuua maana Lissu huwez kumshinda kisheria.

5. Ben Saanane. Hoja yake kuhusu PhD ya JPM ililenga kutaka kumdhalilisha JPM Kwa maslahi yasiyojulikana. Hakustahili kuuwawa lakin kitendo cha Ben Saanane kilistahili adhabu ,, je JP< angefanya nin maana asingeweza kumpeleka mahakani.


Tufahamu sote kwamba Katiba yetu imempa Rais mamlaka makubwa Sana hvyo unapoanzisha mgogoro binafsi na mtu aliye juu ya sheria basi angalau iwe ni Kwa maslahi mapana Sana na ya waziwaz ya taifa.
Mkuu ungekaa tu kimya,ingekuwa busara kubwa,kuliko hayo uliyoongea.
 
Pamoja na yote baadhi ya watu walistahili kukutwa na yaliyowakuta kipind cha JPM.

Ni wachache Sana walionewa.

Hii nchi imejaa watu wa hovyo Sana na ili kiongozi aweze kuibadili na kuleta maendeleo ni lazima mkono wa chuma utumike.

Naweka hapa baadhi ya mnaoona walionewa.

1. Kipind cha JPM watumishi wa umma kutoongezwa mishahara hawakuonewa maana hili kundi Kwa asilimia kubwa halitimiz majukum ipasavyo .

2. Vyama vya Upinzani kudhibitiwa kipind cha JPM ilikuwa Sawa tu maana tulivyonavyo nchini si Vyama Bali ni magenge ya wenye akili wachache wanaotumia ujinga wa Watanzania kujinufaisha.

3. Erick Kabendera alitumia kalamu yake vibaya kuandika Mambo yasiyonufaisha nchi. Hata hivyo Zaid ya kuwekwa kizuizin hakuna alichotendewa

4. Jaribio la mauaji ya Tundu Lissu. Ukweli ni kwamba utawala ule ulichoshwana chokochoko za Lissu. Hawakuwa na options zingine Zaid ya kujaribu kumuua maana Lissu huwez kumshinda kisheria.

5. Ben Saanane. Hoja yake kuhusu PhD ya JPM ililenga kutaka kumdhalilisha JPM Kwa maslahi yasiyojulikana. Hakustahili kuuwawa lakin kitendo cha Ben Saanane kilistahili adhabu ,, je JP< angefanya nin maana asingeweza kumpeleka mahakani.


Tufahamu sote kwamba Katiba yetu imempa Rais mamlaka makubwa Sana hvyo unapoanzisha mgogoro binafsi na mtu aliye juu ya sheria basi angalau iwe ni Kwa maslahi mapana Sana na ya waziwaz ya taifa.
Mimi nilikuwa namkubali mno haijarishi madhaifu yake.Kuhusu mauji mimi sijui kama aliua aliye na ushahidi alete
 
Nguvu Inayotumika Kupambana na Jina la Marehemu Ingetumika Kuipambania Nchi Ingesaisia Kupunguza Shida Hata 45% za Watanzania.
Huu upepo wakila Mjinga Magufuli Magufuli Utawapa Aibu
Mwamba Kajipumzikia na sote Njia Nihiyo hiyo hakuna Atakaye Ishi Milele.
 
kuwa kiongozi wa watu zaidi ya milioni 60 sio kazi ndogo, inapobidi kuuwa wachache kwaajili ya wengi ni sahihi kama kiongozi. Kwajinsi nchi hii ilivyo kama nikweli basi Mungu atamsamehe Magufuli huko aliko kwa kuchomoa samaki wachache waliooza kwenye friji ili samaki wengi nao wasioze.
Lolote litakalosemwa kuhusu Magufuli haliwezi kufunika mazuri mengi aliyoyafanya kwenye nchi hii.
Sahihi kabisa. Mimi kumkoswa jpm inaniuma hadi leo kuona mali za nchi hii alikuwa anazipambania kwa namna ile leo zinapolwa mchana kweupe tena bila woga wala aibu yoyote
 
Nguvu Inayotumika Kupambana na Jina la Marehemu Ingetumika Kuipambania Nchi Ingesaisia Kupunguza Shida Hata 45% za Watanzania.
Huu upepo wakila Mjinga Magufuli Magufuli Utawapa Aibu
Mwamba Kajipumzikia na sote Njia Nihiyo hiyo hakuna Atakaye Ishi Milele.
Uko swa mno mkuu hakuna kitachobadirrika naona mwandishi wa kitabu hicho ameona aseme lolote ili moyo wake upoe kulingana na alichopata kipindi hicho.
 
Awamu hii ilipoingia ilitumia nguvu kubwa kumchafua marehemu. Sasa uchaguzi umekarinia wanaanza tena kutumia nguvu kubwa kumchafua Magufuli.
Hakuna cha maana walichofaya tangu waingie sada wanabaki kutumia mgongo wa JPM.
 
Back
Top Bottom