Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #21
Watanzania wa sasa si wale wa miaka15 iliyopita jpm alituamsha usingizini mno mimi nikiwa mmoja wenu. Leo wa kuja kutulaza usingizi wa pono hayupo.Awamu hii ilipoingia ilitumia nguvu kubwa kumchafua marehemu. Sasa uchaguzi umekarinia wanaanza tena kutumia nguvu kubwa kumchafua Magufuli.
Hakuna cha maana walichofaya tangu waingie sada wanabaki kutumia mgongo wa JPM.