Kwa sasa kumtetea Rais MAGUFULI (RIP) ni ngumu sana sawa na kuwatetea Single mother kulivyo na ugumu

Kwa sasa kumtetea Rais MAGUFULI (RIP) ni ngumu sana sawa na kuwatetea Single mother kulivyo na ugumu

Mimi nilikuwa na mkubali sana jpm kwa 90% katika utendaji wake wote na hata kifo chake kinaniuma hadi leo.
Mimi sio mtu wa siasa za hapa Tz Maana naona kabisa hii nchi hakuna chama cha upinzani kilicho serious.

Siku mbili hizi Tangu kitabu cha kabendera kiachiwe naona jpm kafukuliwa huko aliko hata mafisadi yamepata pakutemea nyongo.Yaani imekuwa ngumu mno kusimama na kutetea hata ukisema mazuri yake buku anaibuka mtu anakwambia Jpm alimpiga bastola ben saanane hadi akaanza kutetemeka na siraha ikadondoka chini.

Nikweli yanasemwa mengi sana kuhusu ubaya wake na wengi wanasema alikuwa kichaa..... Ningependa hizi tuhuma zithibitishwe kwa ushahidi kama kweli jpm alienda kumbaka makamu wake akiwa kavaa pajama tupu kama mwandishi anavyosema na kwa kuwa makamu yupo aende akatoe ushahidi mahakamani kuwa kweli mimi makamu wake jpm alikuja na pajama akitaka kunibaka nami nikamwambia nitajihudhuru u makamu.

Tofauti na hapo hizi hoja hazina mashiko yoyote. Mimi siamini wala sikatai ila nitaamini na kukubali iwapo ushahindi utatolewa na kuthibitisha kuwa ni kweli aliua.

Nimeona Uzi wa Askofu mwamakula naye katema nyongo yake lakini bado hoja yake zinakoswa mashiko kama alijitoa muhanga ilikuwaje asiyaseme hayo yote kipindi hicho?


Nachojiuliza hadi sasa mbona utekaji na mauaji yamezidi kuliko hata kipindi cha jpm?
Kama Yesu anakosolewa sembuse magufuli
 
Mimi nilikuwa na mkubali sana jpm kwa 90% katika utendaji wake wote na hata kifo chake kinaniuma hadi leo.
Mimi sio mtu wa siasa za hapa Tz Maana naona kabisa hii nchi hakuna chama cha upinzani kilicho serious.

Siku mbili hizi Tangu kitabu cha kabendera kiachiwe naona jpm kafukuliwa huko aliko hata mafisadi yamepata pakutemea nyongo.Yaani imekuwa ngumu mno kusimama na kutetea hata ukisema mazuri yake buku anaibuka mtu anakwambia Jpm alimpiga bastola ben saanane hadi akaanza kutetemeka na siraha ikadondoka chini.

Nikweli yanasemwa mengi sana kuhusu ubaya wake na wengi wanasema alikuwa kichaa..... Ningependa hizi tuhuma zithibitishwe kwa ushahidi kama kweli jpm alienda kumbaka makamu wake akiwa kavaa pajama tupu kama mwandishi anavyosema na kwa kuwa makamu yupo aende akatoe ushahidi mahakamani kuwa kweli mimi makamu wake jpm alikuja na pajama akitaka kunibaka nami nikamwambia nitajihudhuru u makamu.

Tofauti na hapo hizi hoja hazina mashiko yoyote. Mimi siamini wala sikatai ila nitaamini na kukubali iwapo ushahindi utatolewa na kuthibitisha kuwa ni kweli aliua.

Nimeona Uzi wa Askofu mwamakula naye katema nyongo yake lakini bado hoja yake zinakoswa mashiko kama alijitoa muhanga ilikuwaje asiyaseme hayo yote kipindi hicho?


Nachojiuliza hadi sasa mbona utekaji na mauaji yamezidi kuliko hata kipindi cha jpm?
Ulishajiuliza kwa nini watu wachache ndio wanamsema vibaya Marehemu JPM?, je unafahamu kiongozi yoyote Africa ambaye anazuia wazungu kuchota rasilimali huwa ni adui yao na huwa wanampandikizia watu wa kumpinga na hata kufadhili waandishi kumchafua?, unafahamu moja ya Nchi jirani inaiba Congo na kuwapelekea wao na Inasemekana kiongozi wa hiyo nchi ana mambo mabaya ila wazungu hawashughuliki nayo licha ya kubaka demmokrasia sababu mzigo anaoiba anawapelekea wao? Ni vyema kuchambua maandishi yoyote na sio busara kuyanyonya kama sponji
 
Hawa waandishi kanjanja sio wa kuwazingatia sana yaan alipogusia tu kwamba J alimtomba S nikaona hapa mwandishi hakuna ana njaa tu ya kuuza kitabu cha uongo bongo
Ukaona tu bila kushuhudia au hisia zikakutuma uhisi ni uongo?
 
Magufuli atabaki kuwa Rais shujaa aliyefanya makubwa mazuri kwa nchi yetu.
Siyumbishwi na story za jaba.
bila Magu kusemwa hawana content.

Na kama mnadhani kumchafua mwamba ndio siasa mmefeli pakubwa.
Mtakumbuka shuka kumekucha.
 
Pamoja na yote baadhi ya watu walistahili kukutwa na yaliyowakuta kipind cha JPM.

Ni wachache Sana walionewa.

Hii nchi imejaa watu wa hovyo Sana na ili kiongozi aweze kuibadili na kuleta maendeleo ni lazima mkono wa chuma utumike.

Naweka hapa baadhi ya mnaoona walionewa.

1. Kipind cha JPM watumishi wa umma kutoongezwa mishahara hawakuonewa maana hili kundi Kwa asilimia kubwa halitimiz majukum ipasavyo .

2. Vyama vya Upinzani kudhibitiwa kipind cha JPM ilikuwa Sawa tu maana tulivyonavyo nchini si Vyama Bali ni magenge ya wenye akili wachache wanaotumia ujinga wa Watanzania kujinufaisha.

3. Erick Kabendera alitumia kalamu yake vibaya kuandika Mambo yasiyonufaisha nchi. Hata hivyo Zaid ya kuwekwa kizuizin hakuna alichotendewa

4. Jaribio la mauaji ya Tundu Lissu. Ukweli ni kwamba utawala ule ulichoshwana chokochoko za Lissu. Hawakuwa na options zingine Zaid ya kujaribu kumuua maana Lissu huwez kumshinda kisheria.

5. Ben Saanane. Hoja yake kuhusu PhD ya JPM ililenga kutaka kumdhalilisha JPM Kwa maslahi yasiyojulikana. Hakustahili kuuwawa lakin kitendo cha Ben Saanane kilistahili adhabu ,, je JP< angefanya nin maana asingeweza kumpeleka mahakani.


Tufahamu sote kwamba Katiba yetu imempa Rais mamlaka makubwa Sana hvyo unapoanzisha mgogoro binafsi na mtu aliye juu ya sheria basi angalau iwe ni Kwa maslahi mapana Sana na ya waziwaz ya taifa.
We muuaji kumbe.
 
Mimi nilikuwa na mkubali sana jpm kwa 90% katika utendaji wake wote na hata kifo chake kinaniuma hadi leo.
Mimi sio mtu wa siasa za hapa Tz Maana naona kabisa hii nchi hakuna chama cha upinzani kilicho serious.

Siku mbili hizi Tangu kitabu cha kabendera kiachiwe naona jpm kafukuliwa huko aliko hata mafisadi yamepata pakutemea nyongo.Yaani imekuwa ngumu mno kusimama na kutetea hata ukisema mazuri yake buku anaibuka mtu anakwambia Jpm alimpiga bastola ben saanane hadi akaanza kutetemeka na siraha ikadondoka chini.

Nikweli yanasemwa mengi sana kuhusu ubaya wake na wengi wanasema alikuwa kichaa..... Ningependa hizi tuhuma zithibitishwe kwa ushahidi kama kweli jpm alienda kumbaka makamu wake akiwa kavaa pajama tupu kama mwandishi anavyosema na kwa kuwa makamu yupo aende akatoe ushahidi mahakamani kuwa kweli mimi makamu wake jpm alikuja na pajama akitaka kunibaka nami nikamwambia nitajihudhuru u makamu.

Tofauti na hapo hizi hoja hazina mashiko yoyote. Mimi siamini wala sikatai ila nitaamini na kukubali iwapo ushahindi utatolewa na kuthibitisha kuwa ni kweli aliua.

Nimeona Uzi wa Askofu mwamakula naye katema nyongo yake lakini bado hoja yake zinakoswa mashiko kama alijitoa muhanga ilikuwaje asiyaseme hayo yote kipindi hicho?


Nachojiuliza hadi sasa mbona utekaji na mauaji yamezidi kuliko hata kipindi cha jpm?
Bado tu anaendelea kupokea $90,000 za mababeru za kumchafua JPM? Au Bipolar yake imerekebishwa huko UK? Mana ukimtizama ni kama zrzeka! Hata JKNyerere baada ya kufa kwake hao Waingereza walimzodoa kuwa kaacha Taifa masikini ila leo ndio nembo na Baba wa Taifa letu. Zitaandikwa hekaya nyingi ila mwisho mwamba ataibuka shujaa na waandishi wataonekana matahira!
 
Hata Mimi ningekuwa kwenye nafasi yake ningefanya alivyo fanya...kwa usalama wa Nchi, he did all his best.

Kuthibitisha kwamba madai ya Kabendera ni uongo wa kupangwa na pengine ametolewa kafara na kundi fulani ambalo ni chafu lakini linataka kujisafisha kwa kuwatumia watu nature ya Kabendera, ninaamini "Wengi waliokuwa Loyal kwa Magufuli ( tunawajua, Sina sababu ya kuwataja) Kwa sababu ya uwoga, wasingeendelea baada ya kifo chake, lakini tunaona waliomjua kiundani walimpenda zaidi, hasa wale wafuasi wa maendeleo"...

Kwa kweli kabisa, Magufuli hakukosea, ni kiongozi niliyevutiwa naye na itadumu hivyo regardless propaganda hizi ambazo wengi wa wanaojiita wasomi hapa wanapeperushwa nazo kila uchao as if the guy did nothing at all..alilipenda taifa mno...niseme tu, kama kuna mtu ni tishio kwa usalama wa taifa, usalama wafanye kazi yao, afinywe kimyamya na Amani iendelee...

Siku moja huyu Bwana nitamrudishia Legacy yake, anastahili heshima kuu sana.
 
Hata Mimi ningekuwa kwenye nafasi yake ningefanya alivyo fanya...kwa usalama wa Nchi, he did all his best.

Kuthibitisha kwamba madai ya Kabendera ni uongo wa kupangwa na pengine ametolewa kafara na kundi fulani ambalo ni chafu lakini linataka kujisafisha kwa kuwatumia watu nature ya Kabendera, ninaamini "Wengi waliokuwa Loyal kwa Magufuli ( tunawajua, Sina sababu ya kuwataja) Kwa sababu ya uwoga, wasingeendelea baada ya kifo chake, lakini tunaona waliomjua kiundani walimpenda zaidi, hasa wale wafuasi wa maendeleo"...

Kwa kweli kabisa, Magufuli hakukosea, ni kiongozi niliyevutiwa naye na itadumu hivyo regardless propaganda hizi ambazo wengi wa wanaojiita wasomi hapa wanapeperushwa nazo kila uchao as if the guy did nothing at all..alilipenda taifa mno...niseme tu, kama kuna mtu ni tishio kwa usalama wa taifa, usalama wafanye kazi yao, afinywe kimyamya na Amani iendelee...

Siku moja huyu Bwana nitamrudishia Legacy yake, anastahili heshima kuu sana.
Popote pale huwa nawaambia jpm nilikuwa namkubali mno. Hizi story zao naamini kabisa sio kweli maana hakuna ushahidi ni upepo tu wa kutengeneza kuelekea uchaguzi 2025.
 
Kama Yesu anakosolewa sembuse magufuli
N ndivyo ilivyo mwamba ameacha alama za kudumu kizazi hadi hadi kizazi jithada zinazofanywa kumchafua wengine ndo kwanza tunakumbuka mazuri yake. Kama ilibidi afe mmoja kwa ajiri ya watu milioni 1 ni bora sana na jema. hata dereva makini hawezi kwepa mtu mmoja anayekatiza barabarani ili ahatarishe uhai wa watu 6o never
 
Ulishajiuliza kwa nini watu wachache ndio wanamsema vibaya Marehemu JPM?, je unafahamu kiongozi yoyote Africa ambaye anazuia wazungu kuchota rasilimali huwa ni adui yao na huwa wanampandikizia watu wa kumpinga na hata kufadhili waandishi kumchafua?, unafahamu moja ya Nchi jirani inaiba Congo na kuwapelekea wao na Inasemekana kiongozi wa hiyo nchi ana mambo mabaya ila wazungu hawashughuliki nayo licha ya kubaka demmokrasia sababu mzigo anaoiba anawapelekea wao? Ni vyema kuchambua maandishi yoyote na sio busara kuyanyonya kama sponji
Kile kitabu siwezi poteza muda kununua na kukisoma maana kwa mtu mwenye akili yake anaona ni uongo waziwazi .

Kuhusu KP ni kweli anatumiwa na jamaa wanamrinda kwa nguvu zote!
 
Uloaandika hii thread wote mmetumwa nyie msitufanye wajinga nyyoko zenuu
 
Kuna mambo yanachekesha, watu wanakosa hata uwezo wa ku reason
Hata wanao shadadia ni kuwa nikweli naona wazi uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana. Haingii akilini uende kwa mtu na kiongozi mwenzio na kaolewa pia kuna ulinzi zaidi ya yote uende na pajama daaah
 
Mimi nilikuwa na mkubali sana jpm kwa 90% katika utendaji wake wote na hata kifo chake kinaniuma hadi leo.
Mimi sio mtu wa siasa za hapa Tz Maana naona kabisa hii nchi hakuna chama cha upinzani kilicho serious.

Siku mbili hizi Tangu kitabu cha kabendera kiachiwe naona jpm kafukuliwa huko aliko hata mafisadi yamepata pakutemea nyongo.Yaani imekuwa ngumu mno kusimama na kutetea hata ukisema mazuri yake buku anaibuka mtu anakwambia Jpm alimpiga bastola ben saanane hadi akaanza kutetemeka na siraha ikadondoka chini.

Nikweli yanasemwa mengi sana kuhusu ubaya wake na wengi wanasema alikuwa kichaa..... Ningependa hizi tuhuma zithibitishwe kwa ushahidi kama kweli jpm alienda kumbaka makamu wake akiwa kavaa pajama tupu kama mwandishi anavyosema na kwa kuwa makamu yupo aende akatoe ushahidi mahakamani kuwa kweli mimi makamu wake jpm alikuja na pajama akitaka kunibaka nami nikamwambia nitajihudhuru u makamu.

Tofauti na hapo hizi hoja hazina mashiko yoyote. Mimi siamini wala sikatai ila nitaamini na kukubali iwapo ushahindi utatolewa na kuthibitisha kuwa ni kweli aliua.

Nimeona Uzi wa Askofu mwamakula naye katema nyongo yake lakini bado hoja yake zinakoswa mashiko kama alijitoa muhanga ilikuwaje asiyaseme hayo yote kipindi hicho?


Nachojiuliza hadi sasa mbona utekaji na mauaji yamezidi kuliko hata kipindi cha jpm?
Nimechagua kusimama na the late. Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Kuongoza nchi, ni kazi kubwa sana, sijawahi kuongoza nchi wala kuwa kiongozi mawandamizi, lakini nafahamu kuongoza over 50+ cloud ni kazi inayohitaji, DAMU, JASHO NA MACHOZI.

Serikali kuu (hasa ofisi kuu ya taifa, ofisi namba moja ya taifa) ni taasisi, siyo mtu mmoja. Urais siyo mtu mmoja ni taasisi kubwa ambayo ina kila kitu.

Serikali ya nchi yoyote inaweza kuuwa, kushikilia watu kwa siri, hakuna sehemu katika katiba hivi vitu vimeandikwa. Niamini mimi kuwa hivi vitu vipo na vinafanyika kila nchi, hata ile nchi inayotumia mtawala wa kidini (pope) hivi vitu hufanyika.

Angalieni series ya Tylor inaitwa THE OVAL (Ameongelea white house ya Marekani), baadhi ya matukio ya mauaji yamefanyika in the name of the oval (white hoise ya marekani), wakati ambao hata mkuu wa oval(Rais) hafahamu.

Nenda ukaangalie series ya kikorea inafundisha kuhusu uongozi na namna ya kudeal watu wanaoweza kuangusha serikali inaitwa SHINE OR GO CRAZY.

Machepele, kwa sasa nipo
Nzela, Geita Tanzania.
 
Mimi nilikuwa na mkubali sana jpm kwa 90% katika utendaji wake wote na hata kifo chake kinaniuma hadi leo.
Mimi sio mtu wa siasa za hapa Tz Maana naona kabisa hii nchi hakuna chama cha upinzani kilicho serious.

Siku mbili hizi Tangu kitabu cha kabendera kiachiwe naona jpm kafukuliwa huko aliko hata mafisadi yamepata pakutemea nyongo.Yaani imekuwa ngumu mno kusimama na kutetea hata ukisema mazuri yake buku anaibuka mtu anakwambia Jpm alimpiga bastola ben saanane hadi akaanza kutetemeka na siraha ikadondoka chini.

Nikweli yanasemwa mengi sana kuhusu ubaya wake na wengi wanasema alikuwa kichaa..... Ningependa hizi tuhuma zithibitishwe kwa ushahidi kama kweli jpm alienda kumbaka makamu wake akiwa kavaa pajama tupu kama mwandishi anavyosema na kwa kuwa makamu yupo aende akatoe ushahidi mahakamani kuwa kweli mimi makamu wake jpm alikuja na pajama akitaka kunibaka nami nikamwambia nitajihudhuru u makamu.

Tofauti na hapo hizi hoja hazina mashiko yoyote. Mimi siamini wala sikatai ila nitaamini na kukubali iwapo ushahindi utatolewa na kuthibitisha kuwa ni kweli aliua.

Nimeona Uzi wa Askofu mwamakula naye katema nyongo yake lakini bado hoja yake zinakoswa mashiko kama alijitoa muhanga ilikuwaje asiyaseme hayo yote kipindi hicho?


Nachojiuliza hadi sasa mbona utekaji na mauaji yamezidi kuliko hata kipindi cha jpm?
Uko sahihi mkuu. TB JOSHUA wa Nigeria aliaminika sana kama Nabii Mkuu na marais na wafalme walienda kwake,ikiwa ni pamoja na JPM na Lowassa, kumfuata kwa ushauri na kuombewa, baadae BBC wakatoa documentary kuonyesha alivyokuwa tapeli na bingwa wa kubikiri vibinti na mbakaji mzuri. Waliobakwa walitoa ushahidi pia, wengi waliamini kweli ni Nabii Feki na wengi wakaamini anachafuliwa tu kwa wivu, kanisa lake SCOAN linaendelea kama kawaida huko wengine wakidai kuota maono kutokewa na TB JOSHUA.
 
Back
Top Bottom