Ktk watu walipotea walikuwa na maslahi gani ambayo wewe unahisi walikuwa nayo.
Mimi naona mafisadi alikuwa nao ofsini na kwenye mawizara, na mataaisi, hata alipoondoka aamebaki wapo tu na wataendelea kuwepo tu.
What a missed Target?
Sasa Kabendera au Lema alikuwa na maslahi gani kwenye sseikali ya ccm?
Mahakama ya uhujumu uchumi imemhukumu Fisadi gani zaidi ya kutumia kutesea watu tena wasio na madhara yoyote.
Askofu Kakobe alikuwa na maslahi gani?
Tanzania tunabahati mbaya sana tunapata Rias Shupavu kama Magufuli lakini Ghafla bin vuu anakosa mwelekeo na kuanza kupamba na watu binafsi badala ya lengo