Kwa sasa kumtetea Rais MAGUFULI (RIP) ni ngumu sana sawa na kuwatetea Single mother kulivyo na ugumu

Kwa sasa kumtetea Rais MAGUFULI (RIP) ni ngumu sana sawa na kuwatetea Single mother kulivyo na ugumu

Mimi nilikuwa na mkubali sana jpm kwa 90% katika utendaji wake wote na hata kifo chake kinaniuma hadi leo.
Mimi sio mtu wa siasa za hapa Tz Maana naona kabisa hii nchi hakuna chama cha upinzani kilicho serious.

Siku mbili hizi Tangu kitabu cha kabendera kiachiwe naona jpm kafukuliwa huko aliko hata mafisadi yamepata pakutemea nyongo.Yaani imekuwa ngumu mno kusimama na kutetea hata ukisema mazuri yake buku anaibuka mtu anakwambia Jpm alimpiga bastola ben saanane hadi akaanza kutetemeka na siraha ikadondoka chini.

Nikweli yanasemwa mengi sana kuhusu ubaya wake na wengi wanasema alikuwa kichaa..... Ningependa hizi tuhuma zithibitishwe kwa ushahidi kama kweli jpm alienda kumbaka makamu wake akiwa kavaa pajama tupu kama mwandishi anavyosema na kwa kuwa makamu yupo aende akatoe ushahidi mahakamani kuwa kweli mimi makamu wake jpm alikuja na pajama akitaka kunibaka nami nikamwambia nitajihudhuru u makamu.

Tofauti na hapo hizi hoja hazina mashiko yoyote. Mimi siamini wala sikatai ila nitaamini na kukubali iwapo ushahindi utatolewa na kuthibitisha kuwa ni kweli aliua.

Nimeona Uzi wa Askofu mwamakula naye katema nyongo yake lakini bado hoja yake zinakoswa mashiko kama alijitoa muhanga ilikuwaje asiyaseme hayo yote kipindi hicho?


Nachojiuliza hadi sasa mbona utekaji na mauaji yamezidi kuliko hata kipindi cha jpm?
Akili zako ndogo kama .......vi
Unamteteaje mtu aliyekwisha kufa!?
 
Hawa single mam mmevuka nao mwaka🤔😀
 
maana tulivyonavyo nchini si Vyama Bali ni magenge ya wenye akili
Huu ni ukweli unaouma sana...
Alafu mkuu kila mtu ana akili, lakini hao unaowaita wana akili ni kwamba ni wapumbavu, maana akili hata mimi ninazo ila hayo ni mapumbavu tu kama wapumbavu wengine...
Watu kama wale wenye nafasi kubwa serikalini hakuna faida inayowafanya wapige makelele tofauti na kujifaidisha wenyewe,
sizani kama wanafanya vile kusaidia nchi, hii ni HAPANA KUBWA.
Ni kujifaidisha na magenge yao tuu
 
Mimi sio mfuasi wa CCM wala chadema, hayo ni magenge, lakini kuna watu wanachapa kazi vyamani, kinachowabadilisha ni tamaa za pesa na kutii amri za vyama unapofika muda wa ufisadi...
Maskini wengi waliokuwa wachapakazi ndio walimpenda Magufuli, mafisadi 90% yalimchukia
 
Hata mseme nini siwezi amini lolote. Magufuli was the best.
Kweli kabisa, Hakuna Rais aliefanya Mapinduzi makubwa kiuchumi nchini na kuwaamsha wananchi kama Magufuli, toka mimi nizaliwe naziona shida, lakini mzee kaingia madarakani akafumua mirija ya Majitaka
 
Mimi sio mfuasi wa CCM wala chadema, hayo ni magenge, lakini kuna watu wanachapa kazi vyamani, kinachowabadilisha ni tamaa za pesa na kutii amri za vyama unapofika muda wa ufisadi...
Maskini wengi waliokuwa wachapakazi ndio walimpenda Magufuli, mafisadi 90% yalimchukia
Mafisadi ndo yalimchukia kwa 100%
 
Hata Yesu aliambiwa ni mhalifu licha ya kuonekana waziwazi ni mtakatifu lakini wakamuua sembuse binadamu wa kawaida JPM!? Ukitaka uonekane mmbaya fuata haki utapigwa mawe kuliko jambazi au gaidi.
 
Kweli kabisa, Hakuna Rais aliefanya Mapinduzi makubwa kiuchumi nchini na kuwaamsha wananchi kama Magufuli, toka mimi nizaliwe naziona shida, lakini mzee kaingia madarakani akafumua mirija ya Majitaka
Hao waliobakwa watajua wenyewe. Sisi tunachojua ni kwamba nchi iliendeshwa vizuri
 
Back
Top Bottom