RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Ndio propaganda mnazolishwa ili msione upuuzi unaoendelea sasa hivi hapa nchini.Mzee alijichafua mwenyewe. Haya ni marudio tu ya mule alimopita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio propaganda mnazolishwa ili msione upuuzi unaoendelea sasa hivi hapa nchini.Mzee alijichafua mwenyewe. Haya ni marudio tu ya mule alimopita
Akili zako ndogo kama .......viMimi nilikuwa na mkubali sana jpm kwa 90% katika utendaji wake wote na hata kifo chake kinaniuma hadi leo.
Mimi sio mtu wa siasa za hapa Tz Maana naona kabisa hii nchi hakuna chama cha upinzani kilicho serious.
Siku mbili hizi Tangu kitabu cha kabendera kiachiwe naona jpm kafukuliwa huko aliko hata mafisadi yamepata pakutemea nyongo.Yaani imekuwa ngumu mno kusimama na kutetea hata ukisema mazuri yake buku anaibuka mtu anakwambia Jpm alimpiga bastola ben saanane hadi akaanza kutetemeka na siraha ikadondoka chini.
Nikweli yanasemwa mengi sana kuhusu ubaya wake na wengi wanasema alikuwa kichaa..... Ningependa hizi tuhuma zithibitishwe kwa ushahidi kama kweli jpm alienda kumbaka makamu wake akiwa kavaa pajama tupu kama mwandishi anavyosema na kwa kuwa makamu yupo aende akatoe ushahidi mahakamani kuwa kweli mimi makamu wake jpm alikuja na pajama akitaka kunibaka nami nikamwambia nitajihudhuru u makamu.
Tofauti na hapo hizi hoja hazina mashiko yoyote. Mimi siamini wala sikatai ila nitaamini na kukubali iwapo ushahindi utatolewa na kuthibitisha kuwa ni kweli aliua.
Nimeona Uzi wa Askofu mwamakula naye katema nyongo yake lakini bado hoja yake zinakoswa mashiko kama alijitoa muhanga ilikuwaje asiyaseme hayo yote kipindi hicho?
Nachojiuliza hadi sasa mbona utekaji na mauaji yamezidi kuliko hata kipindi cha jpm?
Miaka karibu minne sasa bado mnahangaika na JPM.Kujibu hilo swali lako la mwisho, wanaofanya hivyo sasa ni masalia ya JPM.
Upo sahihi wanamtukana Magu kuficha udhaifu wa sasa. Watu wanatekwa hovyoNdio propaganda mnazolishwa ili msione upuuzi unaoendelea sasa hivi hapa nchini.
Majitu mapumbavu sana haya. Nchi inaliwa na kikundi cha watu huku kinawalisha propaganda na yenuewe kama mazuzu yanashangilia tu.Upo sahihi wanamtukana Magu kuficha udhaifu wa sasa. Watu wanatekwa hovyo
Tena amshukuru Magu viongozi wengine wanakumaliza kabisaUko swa mno mkuu hakuna kitachobadirrika naona mwandishi wa kitabu hicho ameona aseme lolote ili moyo wake upoe kulingana na alichopata kipindi hicho.
Kama umejua amekufa hapa kimekufikisha nini mkuu kwenye uzi unao muhusu marehemu?Akili zako ndogo kama .......vi
Unamteteaje mtu aliyekwisha kufa!?
Hii Sio sawa kabisa mkuu!!Wanufaika wa propaganda hizi
Huu ni ukweli unaouma sana...maana tulivyonavyo nchini si Vyama Bali ni magenge ya wenye akili
Hivi mkuu umesoma andiko langu au umekabia kwa juu tu? wapi nime mbeza jpm mimi na nimesema wazi nilikuwa namkubali kwa zaidi ya 90% na hadi sasa kifo chake kinaniuma?Tena amshukuru Magu viongozi wengine wanakumaliza kabisa
100%Hata mseme nini siwezi amini lolote. Magufuli was the best.
Mapumbavu sana,Majitu mapumbavu sana haya. Nchi inaliwa na kikundi cha watu huku kinawalisha propaganda na yenuewe kama mazuzu yanashangilia tu.
Mnaleta mapropaganda ya kipuuzi humuHivi mkuu umesoma andiko langu au umekabia kwa juu tu? wapi nime mbeza jpm mimi na nimesema wazi nilikuwa namkubali kwa zaidi ya 90% na hadi sasa kifo chake kinaniuma?
Kweli kabisa, Hakuna Rais aliefanya Mapinduzi makubwa kiuchumi nchini na kuwaamsha wananchi kama Magufuli, toka mimi nizaliwe naziona shida, lakini mzee kaingia madarakani akafumua mirija ya MajitakaHata mseme nini siwezi amini lolote. Magufuli was the best.
Mafisadi ndo yalimchukia kwa 100%Mimi sio mfuasi wa CCM wala chadema, hayo ni magenge, lakini kuna watu wanachapa kazi vyamani, kinachowabadilisha ni tamaa za pesa na kutii amri za vyama unapofika muda wa ufisadi...
Maskini wengi waliokuwa wachapakazi ndio walimpenda Magufuli, mafisadi 90% yalimchukia
Hao waliobakwa watajua wenyewe. Sisi tunachojua ni kwamba nchi iliendeshwa vizuriKweli kabisa, Hakuna Rais aliefanya Mapinduzi makubwa kiuchumi nchini na kuwaamsha wananchi kama Magufuli, toka mimi nizaliwe naziona shida, lakini mzee kaingia madarakani akafumua mirija ya Majitaka